-
Mashujaa hawafi / kuangazia mshikamano wa watumiaji wa X na watu wa Iran baada ya kufa shahidi Raisi na Amir-Abdollahian
Jun 26, 2024 09:47Parstoday - Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa - X walionyesha mshikamano wao na wananchi wa Iran katika radiamali yao ya kufa shahidi Rais Sayyid Ebrahim Raisi na Hussein Amir-Abdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Mwandishi habari wa Kiingereza awahutubu watu wa Magharibi: Mlichoambiwa kuhusu kuchukiwa Raisi ni uongo mtupu
Jun 18, 2024 11:50Pars Today- Richard Medhurst, mwandishi wa Kiingereza na mwandishi wa habari sambamba na kuashiria mahudhurio ya mamilioni ya watu wa Iran katika shughuli ya kuuaga mwili wa shahidi "Sayyid Ebrahim Raisi" rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amekosoa uenezaji uwongo wa vyombo vya Magharibi dhidi ya hayati rais wa Iran.
-
Sema uongo na toa vitisho! Baadhi ya maoni ya watumiaji wa X kushambulia propaganda za Israel
Jun 17, 2024 14:57Parstoday: Mtumiaji mmoja wa mtandao wa kijamii wa X amesema kuwa Israel na Wazayuni wanapenda sana kutumia mbinu hii ya propaganda kila pale wanapobanwa na jinai zao za kuua raia wa kawaida huko Palestina. Wakibanwa sana utawasikia wanasema, tutafanya uchunguzi. Lakini wakati mashinikizo yanapopungua, vyombo vyao vya habari na wanasiasa wao hujielekeza kwenye jinai nyingine na hakuna uchunguzi wowote unaofanyika.