-
Kutoweza Afrika Kusini kuachana na Muqawama na ukombozi wa Palestina
Apr 25, 2025 07:17Tarehe 29 Disemba 2023 imerekodiwa katika kumbukumbu za historia ya baada ya mwaka 1994 ya Afrika Kusini kama siku muhimu sana baada ya Pretoria kufungua kesi dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika mahakama ya ICJ, ikiwasilisha hoja za kisheria za kina na zenye mashiko kwamba ukatili wa Israel katika Ukanda wa Ghaza unakanyaga Mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia Mauaji ya Kimbari.
-
Kwa mara nyingine Yemen yayatwanga maeneo ya jeshi la Israel huko Jaffa
Apr 12, 2025 06:41Jeshi la Yemen (YAF) limetangaza habari ya kufanya operesheni nyingine ya ndege zisizo na rubani na kutwanga maeneo mawili ya jeshi la Israel katika eneo Jaffa karibu na Tel Aviv na kusema kuwa hayo ni majibu ya moja kwa moja ya mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina huko Ghaza.
-
Wanamitandao wa Iran: "Trump anasema uwongo", "Marekani Shetani hatoki hatiani kwa mazungumzo"
Apr 08, 2025 10:46Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa X wametuma jumbe mbalimbali za kukosoa sera za Rais wa Marekani dhidi ya Iran na ushirikiano wake na viongozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika kufanya jinai za kivita huko Ghaza.
-
Siku mbaya zaidi: Israeli yaua karibu watu 80 wa Ghaza katika shambulio kwenye zahanati ya UN
Apr 03, 2025 14:26Wimbi jipya la mashambulizi ya anga ya Israel kwenye Ukanda wa Gaza yamesababisha takriban watu 77 kuuawa shahidi, ikiwa ni siku mbaya zaidi kwa Wapalestina tangu utawala katili wa Israel uanze tena mauaji yake ya kijinai na ya umati kwenye ukanda huo uliozingiwa kila upande.
-
Iran: Tumefanya mazungumzo mazuri na IAEA kuhusu nyuklia
Mar 18, 2025 02:13Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya Sheria na ya Kimataifa amesema kuwa, mazungumzo yake na Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA, Rafael Mariano Grossi, yalikuwa ya wazi na ya maana.
-
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Bila shaka yoyote taifa la Yemen litaibuka mshindi
Mar 17, 2025 06:16Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amelipongeza taifa la Yemen kwa Muqawama wake wa kukabiliana na jinai za kinyama za utawala wa Marekani dhidi ya nchi hiyo na kusisitiza kuwa hakuna shaka yoyote taifa la Yemen litaibuka mshindi.
-
Iran: Marekani haina haki ya kutupangia tufuate siasa gani
Mar 16, 2025 06:06Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe akisisitiza kuwa, Marekani haina haki ya kutupangia tufuate siasa gani za kigeni.
-
Iran: Kuruka ndege za Israel jijini Beirut wakati wa mazishi ya Shahidi Nasrallah ni "kitendo cha ugaidi"
Feb 24, 2025 12:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amelaani hatua ya ndege za kivita za utawala haramu wa Israel kuruka juu ya uwanja wa michezo nchini Lebanon, ambako shughuli za mazishi ya viongozi wa Hizbullah waliouawa shahdii zilikuwa zinafanyika, akitaja tukio hilo kama "kitendo cha ugaidi" kilicholenga kuwatisha waombolezaji.
-
"Hapana" ya watumiaji wa X wa Iran kwa ombi la Trump: Hatutazungumza na Marekani kwa sababu hatuiamini!
Feb 14, 2025 14:02Parstoday- Watumiaji wa Kiirani wa mtandao wa kijamii wa "X" wameitaja hatua ya Rais wa Marekani ya kujionyesha kuwa tayari kufanya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ni hadaa na udanganyifu mkubwa wa Washington.
-
"Tutayaunga mkono mapinduzi ya 1979 hadi pumzi ya mwisho"; dondoo za jumbe kutoka kwa watumiaji wa X kwenye maadhimisho ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran
Feb 14, 2025 13:18Parstoday: Watumiaji wa Kiirani wa mtandao wa kijamii wa X wameuchukulia ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu kuwa ni mafanikio makubwa ya taifa la Iran na wakasema: Mapinduzi ya Kiislamu yalikuwa ni alfajiri iliyoondoa pazia la giza Mashariki na Magharibi.