Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Morocco

  • Raia wa Italia anayeaminika kuwa Daesh akamatwa Morocco

    Raia wa Italia anayeaminika kuwa Daesh akamatwa Morocco

    Jun 13, 2016 15:20

    Vyombo vya usalama nchini Morocco vimesema kuwa vimemtia nguvuni raia wa Italia anayeaminika kuwa na mafungamano na kundi la kigaidi la Daesh.

  • Hatimaye Marekani yaiomba radhi serikali ya Morocco kwa ripoti yake ya hivi karibuni

    Hatimaye Marekani yaiomba radhi serikali ya Morocco kwa ripoti yake ya hivi karibuni

    May 22, 2016 07:20

    Marekani imeiomba rasmi msamaha serikali ya Morocco kufuatia ripoti yake ya hivi karibuni inayohusu masuala ya haki za binaadamu nchini humo.

  • UN yataka kuongezwa muda askari wake wa Sahara Magharibi

    UN yataka kuongezwa muda askari wake wa Sahara Magharibi

    Apr 20, 2016 07:50

    Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuongezewa muda wa kuhudumu askari wa kulinda amani wa umoja huo katika eneo la Sahara Magharibi MINURSO, akionya kuwa, iwapo vikosi hivyo vitaondolewa kikamilifu, eneo hilo litakuwa katika hatari ya kushuhudia migogoro zaidi.

  • Mvutano katika uhusiano wa Morocco na Umoja wa Mataifa

    Mvutano katika uhusiano wa Morocco na Umoja wa Mataifa

    Mar 24, 2016 07:47

    Baada ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon kuuelezea uwepo wa vikosi vya Morocco katika eneo la Sahara Magharibi kuwa ni "ukaliaji wa mabavu", mivutano na mikwaruzano katika uhusiano wa umoja huo na Morocco imeongezeka kufikia hadi Umoja wa Mataifa kutangaza kuwa, kwa wito wa serikali ya Rabat, imefunga ofisi yake ya mawasiliano ya kijeshi katika eneo la Sahara Magharibi na kuwaondoa waangalizi watatu wa kijeshi waliokuwepo katika ofisi hiyo.

  • Morocco yaendelea kulalamika dhidi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa

    Morocco yaendelea kulalamika dhidi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa

    Mar 18, 2016 16:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Morocco Salahuddin Mizwar, amesema nchi yake ina hitilafu na malalamiko dhidi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa binafsi.

  • Morocco yazima shambulio la Daesh, magaidi kadhaa wakamatwa

    Morocco yazima shambulio la Daesh, magaidi kadhaa wakamatwa

    Feb 21, 2016 16:01

    Morocco imesema kuwa imefanikiwa kuzima shambulio la kemikali lililokuwa limepangwa kufanywa na mtandao mmoja wa kigaidi unaohusishwa na kundi la kitakfiri la Daesh.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS