May 05, 2019 02:27
Waziri wa Masuala ya Kiislamu wa Saudi Arabia ametangaza kuwa, makhatibu na watoa mawaidha misikiti katika mwezi mtukufu wa Ramadhani watapaswa kufanya mambo yao kwa mujibu wa siasa za utawala wa Aal Saud; kwani kinyume na hivyo watachukuliwa hatua kali.