Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msikiti

  • Iran yalaani shambulizi dhidi ya Waislamu msikitini Afrika Kusini

    Iran yalaani shambulizi dhidi ya Waislamu msikitini Afrika Kusini

    May 12, 2018 03:05

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali shambulizi la hivi karibuni dhidi ya msikiti mmoja karibu na mji wa Durban nchini Afrika Kusini.

  • Mashambulizi pacha ya mabomu yaua kadhaa msikitini Nigeria

    Mashambulizi pacha ya mabomu yaua kadhaa msikitini Nigeria

    Apr 22, 2018 09:31

    Mashambulizi pacha ya mabomu yameua waumini watatu wa Kiislamu msikitini katika mji wa Bama jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Mzozo wa uongozi wapelekea msikiti kufungwa na kuzingirwa Uganda

    Mzozo wa uongozi wapelekea msikiti kufungwa na kuzingirwa Uganda

    Mar 23, 2018 02:52

    Wanajeshi na maafisa wa polisi wameufunga na kuuzingira Msikiti wa Basajjabalaba katika Manispaa ya Bushenyi-Ishaka magharibi mwa Uganda kutokana na mzozo miongoni mwa Waislamu katika eneo hilo.

  • Msikiti mwingine washambuliwa kwa bomu nchini Ujerumani

    Msikiti mwingine washambuliwa kwa bomu nchini Ujerumani

    Mar 20, 2018 12:23

    Msikiti mmoja katika mji wa Ulm, kusini mwa Ujerumani umeshambuliwa kwa bomu na watu wasiojulikana, chini ya wiki mbili baada ya msikiti mwingine kuteketezwa kwa moto katika mji mkuu wa nchi hiyo ya Ulaya, Berlin.

  • Maadui watangaza

    Maadui watangaza "Siku ya Kumwadhibu Muislamu" nchini Uingereza

    Mar 11, 2018 23:00

    Taharuki imetanda miongoni mwa Waislamu nchini Uingereza baada ya kundi lenye chuki dhidi ya Uislamu kusambaza barua za kutaka kushambuliwa Waislamu na misikiti nchini humo.

  • Wenye chuki dhidi ya Uislamu wachoma moto msikiti nchini Ujerumani

    Wenye chuki dhidi ya Uislamu wachoma moto msikiti nchini Ujerumani

    Mar 11, 2018 12:58

    Katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa matukio ya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu barani Ulaya, wavamizi wasiojulikana wameuteketeza moto msikiti mmoja katika mji mkuu wa Ujerumani, Berlin.

  • Saudia yahujumu na kuvunja misikiti katika mashambulio yake mapya nchini Yemen

    Saudia yahujumu na kuvunja misikiti katika mashambulio yake mapya nchini Yemen

    Feb 25, 2018 12:06

    Ndege za kivita za utawala wa Aal-Saud zimelenga misikiti na vituo vingine vya Kiislamu katika hujuma zake mpya za anga nchini Yemen.

  • Waziri Mkuu wa Uingereza atembelea msikiti akiwa amevaa mtandio kichwani

    Waziri Mkuu wa Uingereza atembelea msikiti akiwa amevaa mtandio kichwani

    Feb 19, 2018 12:09

    Waziri Mkuu wa Uingereza, Theresa May ametembelea msikiti mmoja mjini London akiwa amevaa mtandio kichwani ikiwa ni sehemu ya kushiriki katika kampeni maalumu ya Waislamu wa Uingereza inayoendeshwa chini ya kaulimbiu ya "Tembelea Msikiti Wangu."

  • Waislamu wazidi kunyanyaswa barani Ulaya; msikiti wachomwa moto Uholanzi

    Waislamu wazidi kunyanyaswa barani Ulaya; msikiti wachomwa moto Uholanzi

    Feb 12, 2018 04:19

    Ikiwa ni katika kuendeleza vitendo vya unyanyasaji dhidi ya Waislamu, watu wenye chuki za kidini wameuchoma moto msikiti mmoja katika mji wa Drachten wa kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Hujuma ya kigaidi msikitini Benghazi, Libya, watu kadhaa wauawa au kujeruhiwa

    Hujuma ya kigaidi msikitini Benghazi, Libya, watu kadhaa wauawa au kujeruhiwa

    Feb 09, 2018 11:48

    Watu kadhaa wanaripotiwa kupoteza maisha au kujeruhiwa katika mji wa Benghazi nchini Libya kufuatia hujuma ya kigadi wakati wa Sala ya Ijumaa hii leo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS