Jul 03, 2017 03:44
Serikali ya Azerbaijan imeendeleza ukandamizaji wake dhidi ya Waislamu ambapo katika tukio la karibuni kabisa imebomoa msikiti mwingine wa kihistoria wa Baku, mji mkuu wa nchi hiyo kwa kisingizio cha kuwalinda waumini wanaoswali ndani yake.