Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msikiti

  • Wanasiasa wa chama tawala India kizimbani kwa kuchochea kubomolewa msikiti

    Wanasiasa wa chama tawala India kizimbani kwa kuchochea kubomolewa msikiti

    Apr 19, 2017 10:55

    Mahakama ya Juu nchini India imetoa hukumu kwamba wanasiasa wa chama tawala nchini humo cha Bharatiya Janata Party (BJP) wanapaswa kupandishwa kizimbani kwa kuhusika na kitendo cha kubomolewa msikiti wa kihistoria nchini humo.

  • HRW yalaani shambulizi la Marekani dhidi ya msikiti nchini Syria

    HRW yalaani shambulizi la Marekani dhidi ya msikiti nchini Syria

    Apr 18, 2017 11:03

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limelaani shambulizi la anga la Marekani dhidi ya msikiti mmoja nchini Syria mwezi uliopita, ambapo makumi ya watu waliuawa.

  • Waislamu nchini Ufaransa waandamana kulalamikia kufungwa misikiti kadhaa

    Waislamu nchini Ufaransa waandamana kulalamikia kufungwa misikiti kadhaa

    Apr 15, 2017 22:21

    Waislamu nchini Ufaransa wameandamana kulalamikia siasa za chuki dhidi ya Uislamu na kufungwa misikiti kadhaa ndani ya nchi hiyo, kunakofanywa na serikali.

  • Makumi ya Waislamu wajeruhiwa  baada ya msikiti kuchomwa moto Algeria

    Makumi ya Waislamu wajeruhiwa baada ya msikiti kuchomwa moto Algeria

    Apr 15, 2017 09:14

    Makumi ya Waislamu nchini Algeria wamejeruhiwa kwa moto, baada ya msikiti waliokuwa wakishwali ndani yake kuchomwa moto makusudi.

  • Israel yaamuru kubomolewa Msikiti Ukingo wa Magharibi

    Israel yaamuru kubomolewa Msikiti Ukingo wa Magharibi

    Apr 14, 2017 03:17

    Utawala haramu wa Israel umetoa amri ya kubomolewa msikiti katika eneo linalokaliwa kwa mabavu la Quds Mashariki kwa madai kwamba msikiti huo ulijengwa bila ya kupata vibali.

  • Maadui wa Waislamu washambulia msikiti mwingine nchini Marekani

    Maadui wa Waislamu washambulia msikiti mwingine nchini Marekani

    Mar 17, 2017 00:27

    Vyombo vya habari vya nchini Marekani vimeripoti habari ya kushambuliwa msikiti mwingine, kusini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Jeshi la Syria lakomboa misikiti mitatu toka mikononi mwa Daesh

    Jeshi la Syria lakomboa misikiti mitatu toka mikononi mwa Daesh

    Mar 15, 2017 03:38

    Jeshi na vikosi vya kujitolea vya wananchi wa Syria vimekomboa misikiti mitatu iliyokuwa chini ya udhibiti wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, mashariki mwa mji wa Damascus.

  • Msikiti mwingine wachomwa moto Marekani, matamshi ya chuki ya Trump yanaendela kufanya kazi

    Msikiti mwingine wachomwa moto Marekani, matamshi ya chuki ya Trump yanaendela kufanya kazi

    Feb 25, 2017 03:14

    Kundi la waokoaji katika mji wa Hillsboro kwenye jimbo la Florida nchini Marekani wametangaza kuwa Msikiti na Kituo cha Kiislamu cha New Tampa cha mji huo kimechomeka kwa moto na kwamba ushahidi unaonesha uhalifu huo umefanyika kwa makusudi.

  • Misikiti 91 imeshambuliwa na watu wenye chuki dhidi ya Uislamu Ujerumani

    Misikiti 91 imeshambuliwa na watu wenye chuki dhidi ya Uislamu Ujerumani

    Feb 12, 2017 03:48

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ujerumani imesema misikiti 91 na vituo vya dini ya Kiislamu vilishambuliwa nchini humo mwaka jana pekee 2016.

  • Aliyetekeleza mauaji msikitini Canada ni mfuasi sugu wa Trump

    Aliyetekeleza mauaji msikitini Canada ni mfuasi sugu wa Trump

    Feb 01, 2017 00:50

    Mwanafunzi wa chuo kikuu aliyetekeleza mauaji dhidi ya waumini wa Kiislamu waliokuwa wakisali katika msikiti mmoja mjini Quebec nchini Canada siku chache zilizopita ni mtu mwenye misimamo ya mrengo wa kulia na mfuasi sugu wa Donald Trump, Rais wa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS