Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msikiti

  • Misikiti yafungwa Uholanzi kufuatia shambulizi la Quebec, Canada

    Misikiti yafungwa Uholanzi kufuatia shambulizi la Quebec, Canada

    Jan 31, 2017 09:54

    Misikiti minne ya Jamia nchini Uholanzi inatazamiwa kufungwa kutokana na kushadidi chuki dhidi ya Waislamu, siku mbili baada ya shambulizi la kikatili dhidi ya msikiti na kituo cha kidini mjini Quebec nchini Canada.

  • Kuongezeka chuki dhidi ya Waislamu Amerika Kaskazini

    Kuongezeka chuki dhidi ya Waislamu Amerika Kaskazini

    Jan 31, 2017 00:39

    Baada ya kuongezeka hisia za chuki na uadui dhidi ya Waislamu huko Amerika Kaskazini hususan baada ya kuingia madarakani Rais Donald Trump nchini Marekani, hivi sasa matokeo mabaya ya jambo hilo yameanza kuonekana.

  • 5 wauawa kwa risasi kwenye hujuma dhidi ya msikiti Quebec, Canada

    5 wauawa kwa risasi kwenye hujuma dhidi ya msikiti Quebec, Canada

    Jan 30, 2017 04:08

    Kwa akali watu watano wameuawa katika hujuma ya kikatili dhidi ya msikiti mmoja katika mji wa Quebec nchini Canada usiku wa kuamkia leo.

  • Hujuma za uchomaji moto misikiti zaendelea nchini Marekani

    Hujuma za uchomaji moto misikiti zaendelea nchini Marekani

    Jan 29, 2017 04:22

    Katika muendelezo wa sera za chuki dhidi ya Uislamu na hujuma zinazolenga misikiti nchini Marekani, vyombo vya usalama vya nchi hiyo vimeripoti kuwa msikiti mwingine mmoja umechomwa moto katika jimbo la Texas.

  • Pua ya nguruwe na damu vyatapakazwa mbele ya msikiti Afrika Kusini

    Pua ya nguruwe na damu vyatapakazwa mbele ya msikiti Afrika Kusini

    Jan 09, 2017 03:47

    Baraza la Sharia la Waislamu wa Afrika Kusini (MJC) limelaani kitendo cha chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu kilichofanywa kwenye msikiti wa mji wa Simon katika jimbo la Cape Town cha kuweka pua ya nguruwe na kumwaga damu kwenye mlango wa msikiti huo.

  • Polisi ya Uganda yafanya msako katika msikiti wa Nakasero

    Polisi ya Uganda yafanya msako katika msikiti wa Nakasero

    Dec 27, 2016 23:21

    Kikosi cha Kupambana na Ugaidi cha Jeshi la Polisi nchini Uganda (JATT) jana Jumanne asubuhi kilifanya msako mkali katika msikiti wa Nakasero ulioko katika barabara ya Snay bin Amin jijini Kampala na kukamata watu kadhaa wakiwemo walinzi wa msikiti huo.

  • Kadhaa wajeruhiwa baada ya msikiti kuhujumiwa Zurich, Uswisi

    Kadhaa wajeruhiwa baada ya msikiti kuhujumiwa Zurich, Uswisi

    Dec 20, 2016 04:33

    Watu watatu wamejeruhiwa baada ya mtu aliyekuwa na bunduki kushambulia msikiti na kufyatua risasi ovyo akiwalenga waumini waliokuwa wakitekeleza ibada zao katika mji wa Zurich nchini Uswisi usiku wa kuamkia leo.

  • Zaidi ya Misikiti 100 yahujumiwa nchini Uingereza, kuanzia Mei 2013

    Zaidi ya Misikiti 100 yahujumiwa nchini Uingereza, kuanzia Mei 2013

    Nov 23, 2016 00:47

    Zaidi ya ya vituo vya Kiislamu na misikiti 100 imehujumiwa nchini Uingereza katika kipindi cha miaka minne iliyopita.

  • Gaidi mmoja atishia kuripua msikiti mjini Michigan, Marekani

    Gaidi mmoja atishia kuripua msikiti mjini Michigan, Marekani

    Oct 07, 2016 00:56

    Vitendo vya chuki dhidi ya Waislamu na maeneo yao ya ibada vimezidi kuongezeka nchini Marekani, na habari za karibuni kabisa zinasema kuwa gaidi mmoja ametoa ametoa matamshi ya vitisho dhidi ya misikiti nchini humo.

  • Shambulio la kigaidi msikitini laua makumi ya watu Pakistan

    Shambulio la kigaidi msikitini laua makumi ya watu Pakistan

    Sep 16, 2016 22:10

    Watu wasiopungua 23 wameuawa na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililofanywa ndani ya msikiti katika Sala ya Ijumaa wilayani Mohmand nchini Pakistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS