-
Muqawama: Hatutaruhusu Palestina iwe ngome ya mamluki wa Kizayuni
Oct 16, 2025 02:28Makundi ya Muqawama ya Palestina yamepongeza operesheni ya kuzisafisha taasisi za usalama katika Ukanda wa Ghaza, na kutangaza kuwa Palestina kamwe haitakuwa kimbilio na ngome ya mamluki wa adui Mzayuni.
-
Jihadul Islami: Muqawama haujaafiki kipengee cha kuweka chini silaha
Oct 15, 2025 11:20Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Jihadul Islami ya Palestina amepuuzilia mbali wazo la kupokonywa silaha wanamuqawama na kusema kuwa, makundi ya mapambano ya Kiislamu ya Palestina hayajaafiki kipengele kinachohusiana na upokonyaji silaha.
-
Sheikh Naim Qassem: Kama alivyokuwa Shahidi Nasrullah hatutaweka chini katu silaha za Muqawama
Sep 28, 2025 03:35Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, amehutubia mjini Beirut maadhimisho ya mwaka wa kwanza wa kuuawa shahidi Sayyid Hassan Nasrullah na Sayyid Hashem Safiyyuddin na kumhutubu Shahidi Nasrullah kwa kusema: "Ewe Nasrullah, kama ulivyotufunza, hatutaziacha katu silaha za Muqawama."
-
Somalia, Muqawama walaani shambulio dhidi ya Hamas nchini Qatar
Sep 10, 2025 07:04Somalia imelaani shambulio la Israel katika mji mkuu wa Qatar, Doha ambalo liliwalenga viongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas, ikisema kuwa hujuma hiyo ni "ukiukwaji mkubwa wa sheria za kimataifa" na tishio kwa amani na usalama wa kikanda na kimataifa.
-
Baa la njaa lashadidi Ghaza, Wapalestina waliouliwa shahidi na jeshi la kizayuni wakaribia 62,300
Aug 23, 2025 10:59Wizara ya Afya ya Palestina imeeleza katika takwimu zake za hivi karibuni kwamba, Wapalestina wasiopungua 62,263 wameuawa shahidi katika vita vya mauaji ya kimbari vilivyoanzishwa na utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza Oktoba 2023.
-
Hamas yaapa: Tutaendelea kuwaua wanajeshi wa Israel baada ya shambulizi la kuvizia kuwaua 7 huko Gaza
Jun 26, 2025 16:01Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeapa kuendelea kuwashambulia wanajeshi wa utawala wa Kizayuni baada ya shambulizi la kuvizia lilitotekelezwa na wanamuwawama wa harakati hiyo na kuangamiza wanajeshi saba kusini mwa Ukanda wa Gaza.
-
Tamasha la Asubuhi: Sauti ya Muqawama dhidi ya ubeberu wa kimataifa, linaendelea Tehran
May 07, 2025 06:37Tamasha la tatu la vyombo vya habari la "Sobh", (Asubuhi) kwa ajili ya kuwaenzi watu mashuhuri wanaopinga ubeberu, kuanzia wabunge wa zamani wa mabunge ya Ulaya na Uingereza hadi mwandishi wa habari wa Palestina kutoka Gaza, linaendelea kupaza sauti ya mapambano na Muqawama dhidi ya ukandamizaji wa kimataifa.
-
Abu Ubaidah: Wapalestina hawatosahau Wayemen walivyosimama nao bega kwa bega
Apr 14, 2025 06:11Msemaji wa Brigedi za Izzuddinul-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, Wapalestina hawatosahau namna Wayemen walivyosimama imara na bega kwa bega pamoja nao katika Jihadi ya kuikomboa ardhi ya Palestina.
-
Wanazuoni wa Kiislamu watoa fatwa; Mataifa ya Kiislamu yaunge mkono Muqawama wa Palestina
Apr 05, 2025 07:19Umoja wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) umetoa fatwa (agizo la kidini) ukizitaka nchi za Kiislamu kutoa msaada wa haraka wa kijeshi, kifedha na silaha kwa mrengo wa Muqawama wa Palestina, ili kukabiliana na mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na utawala katili wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
Iran, Lebanon, Iraq, Yemen zaanza luteka ya kuwaunga mkono Wapalestina Gaza
Mar 27, 2025 11:30Vikosi vya Baharini vya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) pamoja na vikosi kutoka Lebanon, Iraq na Yemen, vinafanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya majini katika 'maonyesho ya nguvu' dhidi ya Israel na kutangaza mshikamano na Wapalestina huko Gaza.