Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

muqawama

  • Mapigo ya makombora ya Wapalestina katika kujibu mashambulio ya Israel

    Mapigo ya makombora ya Wapalestina katika kujibu mashambulio ya Israel

    Mar 08, 2019 04:15

    Vyombo vya habari vya Kizayuni vimethibitisha habari ya mashambulio ya makombora mawili ya Wapalestina yaliyovurumishwa kutoka Ukanda wa Gaza kuelelekea vitongoji vya walowezi wa Kizayuni.

  • Maduro: Wananchi wa Venezuela watasimama imara kupambana na madola ya kibeberu

    Maduro: Wananchi wa Venezuela watasimama imara kupambana na madola ya kibeberu

    Feb 23, 2019 13:01

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amesema kuwa serikali ya Caracas kwa ushirikiano na wananchi wa nchi hiyo watasimama kidete kupambana na madola ya kibeberu na hawatorudi nyuma katika suala hilo.

  • Hamas: Kujiuzulu kamanda wa makomandoo wa Israel ni ishara ya nguvu ya Wapalestina

    Hamas: Kujiuzulu kamanda wa makomandoo wa Israel ni ishara ya nguvu ya Wapalestina

    Feb 20, 2019 04:36

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kujiuzulu kamanda wa vikosi maalumu vya makomandoo wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya kushindwa na Wapalestina katika oparesheni ya Khan Yunus ni ishara ya nguvu kubwa za harakati za kupigania ukombozi Palestina au muqawama na kusambaratika mahesabu ya wakuu wa utawala wa Kizayuni.

  • Sayyid Hassan Nasrullah: Uwezo wa muqawama wa Hizbullah umeongezeka zaidi

    Sayyid Hassan Nasrullah: Uwezo wa muqawama wa Hizbullah umeongezeka zaidi

    Feb 17, 2019 01:41

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amesema kuwa uwezo wa muqawama ambao unazidi kuongezeka kila siku, ni urithi wa makamanda waliouawa shahidi na alama ya nguvu ya harakati hiyo na kwamba njia hiyo itaendelea daima.

  • Maandamano ya baharini ya kuvunja mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza; nembo nyengine ya mapambano ya Wapalestina

    Maandamano ya baharini ya kuvunja mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza; nembo nyengine ya mapambano ya Wapalestina

    Feb 13, 2019 23:05

    Kamati ya Kitaifa ya Palestina ya kuvunja mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza, imetangaza habari ya kufanyika maandamano ya 23 ya baharini karibu na kambi ya kijeshi ya Zakim, kaskazini mwa ukanda huo.

  • Rais Rouhani: Vita dhidi ya teknolojia na mabadiliko mapya, ni jambo la zamani sana

    Rais Rouhani: Vita dhidi ya teknolojia na mabadiliko mapya, ni jambo la zamani sana

    Jan 21, 2019 13:01

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, sekta ya mawasiliano na tekonolojia ya habari ni nembo ya mabadiliko ya jamii mbalimbali katika suala zima la ustawi wa kisayansi na kusisitiza kwamba, kuwa na welewa sahihi na kuamiliana kwa njia nzuri na uhakika huo, ndiyo njia pekee ya kuweza kudhibiti na kuzuia matatizo yanayotokana na maendeleo ya kiteknolojia.

  • Siku ya Gaza, hatua athirifu katika kuwaunga mkono wananchi wa Palestina

    Siku ya Gaza, hatua athirifu katika kuwaunga mkono wananchi wa Palestina

    Jan 19, 2019 08:31

    Siku ya Gaza ambayo ni nembo ya kuwaunga mkono wakazi wa eneo la Gaza huko Palestina wanaokabiliwa na mzingiro imewadia katika hali ambayo, katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita, Palestina imeshuhudia kuongezeka harakati za wananchi zenye lengo la kuuvunja mzingiro wa Gaza.

  • Ujumbe wa ndege zisizo na rubani za Yemen kwa wavamizi na vibaraka wao ndani ya mwaka 2019

    Ujumbe wa ndege zisizo na rubani za Yemen kwa wavamizi na vibaraka wao ndani ya mwaka 2019

    Jan 11, 2019 23:25

    Katika radiamali yake kufuatia kuendelea uvamizi na ubeberu wa muungano vamizi wa Saudia na vibaraka wake, jeshi la Yemen kwa kushirikiana na kamati za wananchi limeshambulia kambi ya kijeshi ya wavamizi hao kwa kutumia ndege isiyo na rubani (drone).

  • Hamas: Kushiriki kwa wingi Wapalestina katika maadhimisho ya kuasisiwa harakati hiyo ni ishara ya kuungwa mkono muqawama

    Hamas: Kushiriki kwa wingi Wapalestina katika maadhimisho ya kuasisiwa harakati hiyo ni ishara ya kuungwa mkono muqawama

    Dec 17, 2018 04:52

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesisitiza kuwa, kushiriki kwa wingi mamia ya maelfu ya watu katika maadhimisho ya mwaka wa 31 tangu kuasisiwa harakati hiyo ni ishara mpya ya uungaji mkono wa wananchi wa Palestina kwa mapambano ya ukombozi dhidi ya Wazayuni maghasibu.

  • Kuakisiwa gwaride la vikosi vya muqawama vya Palestina mjini Ghaza + Picha

    Kuakisiwa gwaride la vikosi vya muqawama vya Palestina mjini Ghaza + Picha

    Dec 16, 2018 07:38

    Bridegi za Izuddin Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS jana Jumamosi zilifanya gwaride kubwa lililofana la kijeshi katika Ukanda wa Ghaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS