Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

muqawama

  • HAMAS: UN inapaswa izime mpango wa njama ya Marekani dhidi ya Muqawama wa Palestina

    HAMAS: UN inapaswa izime mpango wa njama ya Marekani dhidi ya Muqawama wa Palestina

    Dec 03, 2018 12:06

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa inapasa Umoja wa Mataifa uzime mpango wa njama ya Marekani dhidi ya Muqawama wa Palestina .

  • Amir Hatami: Iran inatoa uungaji mkono wa kimaanawi kwa mataifa madhulumu

    Amir Hatami: Iran inatoa uungaji mkono wa kimaanawi kwa mataifa madhulumu

    Dec 02, 2018 00:12

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, taifa hili linatoa uungaji mkono wa kimaanawi kwa uwezo wake wote kwa mataifa madhlumu ulimwenguni.

  • Ismail Haniya: Muqawama wa Palestina umevuruga mahesabu yote ya adui Mzayuni

    Ismail Haniya: Muqawama wa Palestina umevuruga mahesabu yote ya adui Mzayuni

    Nov 15, 2018 00:01

    Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema: Muqawama wa Palestina umevuruga mahesabu ya adui na kubadilisha mlingano wa nguvu.

  • Hizbullah: Jeshi la anga la Israel haliwezi kuzuia makombora yetu

    Hizbullah: Jeshi la anga la Israel haliwezi kuzuia makombora yetu

    Sep 12, 2018 22:13

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah nchini Lebanon amesema kuwa, imekwishayalenga kwa makombora yake maeneo yote muhimu ya Israel, na kwamba jeshi la anga la utawala huo, halina uwezo wa kuzuia makombora hayo.

  • Silaha ya Muqawama; wenzo wa kuwahami wananchi wa Palestina

    Silaha ya Muqawama; wenzo wa kuwahami wananchi wa Palestina

    Aug 13, 2018 03:00

    Khalid al-Batsh, kiongozi mwandamizi wa harakati ya Jihadul Islami ya Palestina amesisitiza kuwa silaha ya Muqawama ndio wenzo wa kulihami taifa na wananchi wa Palestina dhidi ya Wazayuni maghasibu.

  • HAMAS: Shambulio dhidi ya wanamapambano wa Muqawama halitaachwa bila kujibiwa

    HAMAS: Shambulio dhidi ya wanamapambano wa Muqawama halitaachwa bila kujibiwa

    Aug 07, 2018 23:45

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema shambulio la ndege za kivita za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza dhidi ya kituo cha brigedi za Izzuddin al-Qassam, tawi la kijeshi la harakati hiyo ambalo limesababisha kuuawa shahidi wanamapambano wawili wa Muqawama halitaachwa bila kujibiwa.

  • Waziri wa vita wa Israel atoa vitisho vipya kwa Wapalestina

    Waziri wa vita wa Israel atoa vitisho vipya kwa Wapalestina

    Jun 04, 2018 22:36

    Waziri wa vita wa utawala wa Kizayuni ametishia kuwa Israel itamalizia hasira zake kwa harakati za Hamas, Jihadul Islam na makundi yote ya muqawama ya Palestina yanayoendesha mapambano dhidi ya utawala vamizi wa Kizayuni.

  • Hizbullah: Taifa la Palestina litegemee muqawama, lisiwategemee viongozi wa Kiarabu wanafiki

    Hizbullah: Taifa la Palestina litegemee muqawama, lisiwategemee viongozi wa Kiarabu wanafiki

    Jun 03, 2018 23:46

    Mjumbe wa Baraza Kuu la Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah, Nabil Qaouk amesisitiza kwamba, taifa la Palestina halitakiwi kuwategemea viongozi wa nchi za Kiarabu na vikao vyao, bali wategemee muqawama na stratijia yake.

  • Israel yahamakishwa na jibu kali lililotolewa na wanamuqawama wa Palestina

    Israel yahamakishwa na jibu kali lililotolewa na wanamuqawama wa Palestina

    May 30, 2018 10:38

    Jibu kali lililotolewa na muqawama wa Palestina kufuatia jinai za kila mara za askari wa Kizayuni la kuvurumisha makombora 22 kulenga kambi kadhaa za utawala huo, limemkasirisha Waziri wa Sheria wa Utawala Haramu wa Israel na kumfanya atishie kwamba ili kutoa pigo kwa uongozi wa muqawama machaguo yote yako mezani hususan la kuvamia na kulikalia kwa mabavu eneo la Ukanda wa Gaza.

  • Utawala wa Kizayuni wa Israel wahujumu Ukanda wa Ghaza

    Utawala wa Kizayuni wa Israel wahujumu Ukanda wa Ghaza

    May 29, 2018 09:36

    Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel leo zimetekeleza mashambulizi dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS