Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Myanmar

  • UN yatahadharisha kuhusu hali ya wakimbizi laki 8 wa Myanmar waliopo Bangladesh

    UN yatahadharisha kuhusu hali ya wakimbizi laki 8 wa Myanmar waliopo Bangladesh

    Oct 08, 2017 04:37

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa kutoandaliwa kambi kwa ajili ya kuwahifadhi wakimbizi Waislamu wa Rohingya wapatao laki nane huko Bangladesh ni jambo hatari sana.

  • Mauaji ya Waislamu wa Myanmar bado yanaendelea, wakimbizi wakumbwa na maradhi

    Mauaji ya Waislamu wa Myanmar bado yanaendelea, wakimbizi wakumbwa na maradhi

    Oct 06, 2017 20:46

    Duru za habari kutoka Bangladesh zimearifu kwamba hadi sasa jeshi la serikali ya Myanmar kwa kushirikiana na Mabudha magaidi, linaendeleza mauaji na jinai kubwa dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi wa kabila la Rohingywa wa nchi hiyo.

  • Waisraeli wakiri kuhusika na mauaji ya kizazi ya Waislamu wa Rohingya

    Waisraeli wakiri kuhusika na mauaji ya kizazi ya Waislamu wa Rohingya

    Oct 06, 2017 04:36

    Mtaalamu mmoja mashuhuri wa Israeil amesema kuwa Tel Aviv inahusika katika mauaji ya kimbari ya Waislamu wasio na hatia wala ulinzi nchini Myanmar.

  • Ayatullah Shirazi: Iran izidishe mashinikizo dhidi ya serikali ya Myanmar

    Ayatullah Shirazi: Iran izidishe mashinikizo dhidi ya serikali ya Myanmar

    Oct 06, 2017 01:11

    Ayatullah Makarim Shirazi ambaye ni miongoni mwa wanazuoni wakubwa wa Kiislamu nchini Iran ameitaka serikali ya Tehran kuzidisha mashinikizo dhidi ya serikali ya Myanmar kutokana na mauaji yanayoendelea kufanywa na Mabudha wa nchi hiyo wakishirikiana na jeshi la serikali dhidi ya Waislamu wa Rohingya.

  • HRW: Jeshi la Myanmar linawaua na kuwanajisi Waislamu wa Myanmar

    HRW: Jeshi la Myanmar linawaua na kuwanajisi Waislamu wa Myanmar

    Oct 05, 2017 04:26

    Shirika la kutetea haki za binadmau la Human Rights Watch (HRW) limesema jeshi la Myanmar linawaua kiholela na kuwanajisi Waislamu wa jamii ya Rohingya magharibi mwa nchi hiyo.

  • Gazeti la Haaretz lakiri nafasi ya Israel katika mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    Gazeti la Haaretz lakiri nafasi ya Israel katika mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    Oct 02, 2017 10:48

    Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeandika kuwa, utawala haramu wa Israel una nafasi katika mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu Warohingya wa Myanmar yanayoendelea kufanywa na jeshi la nchi hiyo likishirikiana na Mabudha wenye misimamo mikali.

  • Katibu Mkuu wa UN ajibu tuhuma za Myanmar dhidi ya afisa wa umoja huo

    Katibu Mkuu wa UN ajibu tuhuma za Myanmar dhidi ya afisa wa umoja huo

    Sep 30, 2017 12:47

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amezitaja tuhuma zilizotolewa na serikali ya Myanmar dhidi ya Mratibu wa Umoja wa Mataifa kuwa si sahihi.

  • Antonio Guterres: Hali ya mambo magharibi mwa Myanmar ni

    Antonio Guterres: Hali ya mambo magharibi mwa Myanmar ni "jinamizi" la kibinadamu

    Sep 28, 2017 23:58

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameitaka serikali ya Myanmar isitishe mashambulio yake dhidi ya Waislamu magharibi na mwa nchi hiyo na iandae mazingira ya wananchi hao kupatiwa himaya na misaada ya kibinadamu.

  • Waislamu 14 wa Rohingya wafa maji baada ya boti yao kuzama

    Waislamu 14 wa Rohingya wafa maji baada ya boti yao kuzama

    Sep 28, 2017 10:53

    Kwa akali Waislamu 14 wa jamii ya Rohingya wamefariki dunia katika Mto Naf katika mpaka wa Myanmar na Bangladesh baada ya boti yao kuzama, wakikimbia mauaji na ukandamizaji unaofanywa na wanajeshi wa serikali ya nchi hiyo dhidi ya jamii hiyo.

  • Israel inaendelea kulipatia silaha jeshi la Myanmar

    Israel inaendelea kulipatia silaha jeshi la Myanmar

    Sep 27, 2017 00:47

    Utawala haramu wa Kizayuni wa Israel unaendelea kusafirisha silaha kuelekea Myanmar kwa ajili ya jeshi la nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS