-
Jamii ya kimataifa yatakiwa kuvunja kimya chake mbele ya mauaji ya Waislamu Myanmar
Aug 31, 2017 23:44Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kutetea Haki za Waislamu wa jamii ya Rohingya yenye makao yake nchini Uingereza amekosoa vikali kimya cha jamii ya kimataifa mbele ya mauaji yanayoendelea kufanywa na Mabudha wenye misimamo mikali dhidi ya Waisalmu nchini Myanmar
-
Warohingya 17 waghariki katika mpaka wa Myanmar na Bangladesh
Aug 31, 2017 09:10Kwa akali wakimbizi 17 Waislamu wa kabila la Rohingya wamekufa maji katika mpaka wa Myanmar na Bangladesh wakikimbia jinai wanazofanyiwa na Mabudha wenye misimamo ya kuchupa mipaka na jeshi la Myanmar.
-
Baraza la Ulaya lataka kusitishwa mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Myanmar
Aug 30, 2017 03:03Baraza la Ulaya limetoa wito wa kukomeshwa mauaji ya kimbari yanayofanywa na mabudha wenye misimamo ya kufurutu ada wa Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya wa nchi hiyo.
-
Iran yaitaka serikali ya Myanmar izuie ukiukwaji haki za Waislamu wa Rohingya
Aug 28, 2017 23:18Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imebainisha wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya Waislamu wa jamii ya Rohingya huko Myanmar na imeitaka serikali ya nchi hiyo izuie ukiukwaji wa haki za Waislamu nchini humo.
-
Al Azhar yalaani mauaji ya Waislamu wa Rohingya, Myanmar
Aug 28, 2017 02:27Taasisi ya Al Azhar nchini Misri imelaani vikali mauaji yanayoendelea kufanywa na Mabudha wenye misimamo mikali wa Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini humo.
-
Papa asisitiza kusitishwa mashambulizi dhidi ya Waislamu wa Rohingya
Aug 27, 2017 10:09Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani amesisitiza kusitishwa mashambulizi na utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya huko Myanmar.
-
Umoja wa Mataifa walaani mauaji dhidi ya Waislamu wa Myanmar
Aug 25, 2017 23:23Umoja wa Mataifa umelaani vikali mauaji na vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar.
-
Waislamu 21 wauawa Myanmar katika mapigano jimboni Rakhine
Aug 25, 2017 03:13Waislamu 21 wameuawa katika mapigano yaliyozuka usiku wa kuamkia leo nchini Myanmar katika jimbo la Rakhine la magharibi mwa nchi hiyo.
-
Kuendelea kunyanyaswa Waislamu wa Rohingya
Aug 24, 2017 22:17Serikali ya Myanmar imeamua kuongeza idadi ya wanajeshi wake katika jimbo la Rakhine la magharibi mwa nchi hiyo suala ambalo limetajwa kuwa na kwa lengo la kuzidi kuwakandamiza Waislamu wa kabila ya Rohingya. Maelefu ya Waislamu hao wamelazimika kukimbilia Bangladesh kuokoa maisha yao.
-
Koffi Annan: Haki za Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar ziheshimiwe
Aug 24, 2017 09:13Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali mauaji ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar na kusisitiza kuwa, utumiaji wa mabavu na nguvu kupita kiasi dhidi yao hakuwezi kusaidia kuupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo.