-
Lavrov: Haiyumkiniki Russia kujiunga na shirika la kijeshi la NATO
Dec 28, 2021 02:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema haiyumkiniki nchi hiyo kujiunga na shirika la kijeshi la NATO.
-
Onyo la Rais wa Russia la kutoa jibu kijeshi kwa hatua za Marekani barani Ulaya
Dec 23, 2021 02:50Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, nchi yake ina haki kamili ya kujihami dhidi ya hatua zisizo za kirafiki za Marekani na akabainisha kwamba Moscow itachukua hatua mwafaka za kijeshi na kiufundi juu ya suala hilo.
-
Kuongezeka kwa mzozo kati ya Russia na Magharibi juu ya Ukraine na upanuzi wa NATO kuelekea Mashariki
Dec 04, 2021 14:36Katika wiki za hivi karibuni, makabiliano kati ya Russia na Magharibi kuhusu Ukraine yamechukua sura mpya, huku pande mbili zikitoa maonyo ya mara kwa mara kuhusu hatua zozote za kijeshi.
-
Russia yasisitiza kuizuia Nato ili isipanue uwepo wake mashariki mwa Ulaya
Dec 04, 2021 02:37Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesisitiza kwamba kuna haja ya kuzuia Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) kupanua uwepo wake mashariki mwa bara Ulaya.
-
Kuongezeka mizozo na mivutano baina ya Russia na NATO
Oct 19, 2021 13:06Sambamba na kuongezeka mIzozo na mivutano baina ya Russia na Shirika la Kijeshi la NATO, serikali ya Moscow imetangaza kuwa, itakata uhusiano wake na shirika hilo.
-
Lavrov: Wanachama wa NATO waongoze ujenzi mpya wa Afghanistan
Oct 09, 2021 07:56Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Russia amesema kuwa nchi wanachama katika Shirika la Kijeshi la Nchi za Maghribi (NATO) zinapaswa kubeba jukumu kuu la kuijenga upya Afghanistan.
-
NATO: Ikiwa Taliban itaidhibiti Afghanistan kwa njia ya kijeshi haitatambuliwa kimataifa
Aug 14, 2021 07:44Katibu Mkuu wa shirika la kijeshi la NATO ametangaza kuwa, ikiwa kundi la Taliban litaidhibiti Afghanistan yote kupitia mashambulio yake ya kijeshi halitatambuliwa kimataifa.
-
Safari ya kwanza ya Joe Biden barani Ulaya, mshikamano wa pande mbili za Atlantic na tahadhari kwa Russia
Jun 11, 2021 02:06Rais Joe Biden wa Marekani Jumatano wiki hii aliekelea barani Ulaya ikiwa safari yake ya kwanza nje ya nchi baada ya kushika hatamu za uongozi.
-
Kuanza mchakato wa kuondoka askari wa Marekani na wa NATO kutoka nchini Afghanistan
Apr 27, 2021 04:21Jenerali Austin Scott Miller, kamanda wa askari wa Marekani na wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) nchini Afghanistan alitangaza Jumapili iliyopita katika mkutano wake na waandishi wa habari kwamba, mchakato wa kuondoka wanajeshi wa Marekani na wa NATO huko Afghanistan umeanza katika baadhi ya vituo vya kijeshi nvya nchi hiyo na kwamba, vituo vyote vya kijeshi vitakabidhiwa kwa vikosi vya Kiafghani.
-
Russia: Nato ichague njia ya ama makabiliano au ushirikiano
Mar 25, 2021 11:27Viongozi wa ngazi ya juu wa Russia wamejibu matamshi ya Katibu Mkuu wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) kuhusu eti siasa za hujuma za Moscow na kusema Nato yenyewe ndio kitovi kikuu cha vitisho duniani. Wameongeza kuwa Brussels itatue matatizo yanayozikabili nchi wanachama wa muungano wa NATO na iweke wazi msimamo wake kuhusu Moscow.