-
Mazungumzo ya simu ya Marais wa Iran na Russia
Feb 27, 2022 00:22Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Ebrahim Raisi, na Rais wa Russia, Vladimir Putin, walifanya mazungumza ya simu Alhamisi iliyopita kuhusu masuala ya kimataifa na mazungumzo yanayoendelea huko Vienna kuhusu suala la kuondolewa vikwazo vya nchi za Magharibi dhidi ya Iran.
-
Mkutano usio na matunda wa Russia-NATO na kuongezeka kwa mizozo ya pande mbili
Jan 14, 2022 21:14Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Alexander Grushko, ameuambia mkutano wa waandishi wa habari mjini Brussels mwishoni mwa mkutano wa Russia na NATO siku ya Jumatano kwamba, hitilafu za pande mbili zilikuwa wazi na kwamba katika kikao hicho kumejitokeza hitilafu nyingi.
-
Lavrov: Haiyumkiniki Russia kujiunga na shirika la kijeshi la NATO
Dec 27, 2021 23:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema haiyumkiniki nchi hiyo kujiunga na shirika la kijeshi la NATO.
-
Onyo la Rais wa Russia la kutoa jibu kijeshi kwa hatua za Marekani barani Ulaya
Dec 22, 2021 23:20Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, nchi yake ina haki kamili ya kujihami dhidi ya hatua zisizo za kirafiki za Marekani na akabainisha kwamba Moscow itachukua hatua mwafaka za kijeshi na kiufundi juu ya suala hilo.
-
Kuongezeka kwa mzozo kati ya Russia na Magharibi juu ya Ukraine na upanuzi wa NATO kuelekea Mashariki
Dec 04, 2021 11:06Katika wiki za hivi karibuni, makabiliano kati ya Russia na Magharibi kuhusu Ukraine yamechukua sura mpya, huku pande mbili zikitoa maonyo ya mara kwa mara kuhusu hatua zozote za kijeshi.
-
Russia yasisitiza kuizuia Nato ili isipanue uwepo wake mashariki mwa Ulaya
Dec 03, 2021 23:07Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesisitiza kwamba kuna haja ya kuzuia Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) kupanua uwepo wake mashariki mwa bara Ulaya.
-
Kuongezeka mizozo na mivutano baina ya Russia na NATO
Oct 19, 2021 09:36Sambamba na kuongezeka mIzozo na mivutano baina ya Russia na Shirika la Kijeshi la NATO, serikali ya Moscow imetangaza kuwa, itakata uhusiano wake na shirika hilo.
-
Lavrov: Wanachama wa NATO waongoze ujenzi mpya wa Afghanistan
Oct 09, 2021 04:26Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Russia amesema kuwa nchi wanachama katika Shirika la Kijeshi la Nchi za Maghribi (NATO) zinapaswa kubeba jukumu kuu la kuijenga upya Afghanistan.
-
NATO: Ikiwa Taliban itaidhibiti Afghanistan kwa njia ya kijeshi haitatambuliwa kimataifa
Aug 14, 2021 03:14Katibu Mkuu wa shirika la kijeshi la NATO ametangaza kuwa, ikiwa kundi la Taliban litaidhibiti Afghanistan yote kupitia mashambulio yake ya kijeshi halitatambuliwa kimataifa.
-
Safari ya kwanza ya Joe Biden barani Ulaya, mshikamano wa pande mbili za Atlantic na tahadhari kwa Russia
Jun 10, 2021 21:36Rais Joe Biden wa Marekani Jumatano wiki hii aliekelea barani Ulaya ikiwa safari yake ya kwanza nje ya nchi baada ya kushika hatamu za uongozi.