Nov 10, 2016 03:02
Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imesisitiza juu ya kuachiliwa huru mara moja Sheikh Ibrahim Zakzaky kiongozi wa harakati hiyo na wakati huo huo kutoa wito wa kuendelezwa maandamano ya amani kwa ajili ya kufuatilia matakwa ya harakati hiyo.