Sep 01, 2016 03:41
Takwimu zilizotolewa kuhusu pato la ndani la taifa zinaonyesha kuwa, uchumi wa nchi ya Kiafrika ya Nigeria umeporomoka. Takwimu hizo zinaonesha kuwa, uchumi wa taifa hilo lenye uchumi mkubwa barani Afrika ulishuka kwa zaidi ya asilimia 2% katika robo ya pili ya mwaka huu.