Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

nchi ya Nigeria

  • Indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na hali mbaya ya kibinadamu kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na hali mbaya ya kibinadamu kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Oct 02, 2016 07:57

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kwamba, iwapo nchi wafadhili hazitaisadia serikali ya Nigeria katika kuishughulikia hali mbaya ya kimaisha wanayokabiliwa nayo wakazi wa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo, basi ulimwengu utashuhudia mgogoro mbaya zaidi wa kibinadamu katika eneo hilo la magharibi mwa Afrika.

  • Vijana kadhaa wa Chad warejea nchini kutoka katika kambi za Boko Haram

    Vijana kadhaa wa Chad warejea nchini kutoka katika kambi za Boko Haram

    Sep 29, 2016 04:39

    Duru za kuaminika zimearifu habari ya kurejea nchini vijana kadhaa wa Chad kutoka katika kambi za wanamgambo wa kundi la Boko Haram huko Nigeria.

  • Mwanasiasa: Uchochezi wa Saudia Nigeria, ndio chanzo cha kushambuliwa Mashia

    Mwanasiasa: Uchochezi wa Saudia Nigeria, ndio chanzo cha kushambuliwa Mashia

    Sep 26, 2016 04:39

    Mtaalamu mashuhuri wa masuala ya kisiasa nchini Nigeria amesema kuwa, upenyaji wa utawala wa Aal-Saud nchini humo, ndio chanzo cha kushambuliwa Waislamu wa Kishia.

  • Jeshi la Nigeria lauwa Boko Haram 15 jimboni Borno

    Jeshi la Nigeria lauwa Boko Haram 15 jimboni Borno

    Sep 23, 2016 14:22

    Msemaji wa Jeshi la Nigeria ameripoti kuwa wanamgambo 15 wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameuawa na jeshi katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa nchi.

  • Machafuko yashtadi eneo la Niger Delta huko nchini Nigeria

    Machafuko yashtadi eneo la Niger Delta huko nchini Nigeria

    Sep 21, 2016 07:12

    Hali ya wasi wasi na machafuko vimeshtadi katika eneo lenye utajiri wa mafuta la Niger Delta, kusini mwa Nigeria kutokana na kundi la ulipizaji kisasi la Niger Delta kuongeza hujuma zake za kushtukiza.

  • Waislamu Nigeria waandamana wakitaka Sheikh Zakzaky aachiwe huru

    Waislamu Nigeria waandamana wakitaka Sheikh Zakzaky aachiwe huru

    Sep 15, 2016 15:57

    Waislamu nchini Nigeria kwa mara nyingine tena wameandamana wakitaka kuachiwa huru haraka iwezekanavyo Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Jeshi la Nigeria: Tumeazimia kurejesha usalama eneo la Niger Delta

    Jeshi la Nigeria: Tumeazimia kurejesha usalama eneo la Niger Delta

    Sep 11, 2016 04:34

    Jeshi ya Nigeria limetangaza kuwa, licha ya kushadidi mashambulizi ya waasi wa Ulipizaji Kisasi katika eneo la Niger Delta kusini mwa nchi hiyo, lakini limeazimia kurejesha usalama ana amani eneo hilo.

  • HRW: Wapiganaji wa Niger Delta wasisamehewe kwa jinai zao

    HRW: Wapiganaji wa Niger Delta wasisamehewe kwa jinai zao

    Sep 07, 2016 07:51

    Taasisi moja ya kutetea haki za binaadamu nchini Nigeria imetaka kutosamehewa na rais wapiganaji wa kundi la ulipizaji kisasi la Niger Delta nchini humo.

  • Uchumi wa taifa la Nigeria waporomoka

    Uchumi wa taifa la Nigeria waporomoka

    Sep 01, 2016 03:41

    Takwimu zilizotolewa kuhusu pato la ndani la taifa zinaonyesha kuwa, uchumi wa nchi ya Kiafrika ya Nigeria umeporomoka. Takwimu hizo zinaonesha kuwa, uchumi wa taifa hilo lenye uchumi mkubwa barani Afrika ulishuka kwa zaidi ya asilimia 2% katika robo ya pili ya mwaka huu.

  • Buhari: Kiongozi wa Boko Haram amejeruhiwa katika mashambulizi ya anga

    Buhari: Kiongozi wa Boko Haram amejeruhiwa katika mashambulizi ya anga

    Aug 28, 2016 14:16

    Rais wa Nigeria ameeleza kuwa waasi wa eneo la Niger Delta na wanamgambo wa kundi la Boko Haram wanatambuliwa hivi sasa kuwa matishio mawili hatari.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS