Aug 11, 2016 14:04
Kituo cha masuala ya kijamii ya Waislamu na Kituo cha kulinda haki za Waislamu nchini Nigeria, vimewatala Waislamu wote wa nchi hiyo kusimama kuwatetea Wakristo wanaokabiliwa na vitisho vya kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram.