Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

nchi ya Nigeria

  • Rais wa Niger azitaka nchi za Afrika Magharibi kuunda kikosi dhidi ya ugaidi

    Rais wa Niger azitaka nchi za Afrika Magharibi kuunda kikosi dhidi ya ugaidi

    Jul 12, 2016 07:39

    Rais wa Niger ametoa wito wa kuuundwa kikosi maalumu katika eneo la magharibi mwa Afrika kwa ajili ya kupambana na mashambulio ya kigaidi.

  • Watu wasiojulikana washambulia kituo cha mafuta cha Shell Nigeria

    Watu wasiojulikana washambulia kituo cha mafuta cha Shell Nigeria

    Jun 24, 2016 14:28

    Polisi nchini Nigeria imethibitisha kujiri shambulizi dhidi ya kituo cha mafuta kinachomilikiwa na shirika la mafuta la Shell katika jimbo la Imo, kusini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Mashirika ya kijamii Nigeria: Boko Haram ni hatari kwa watoto wadogo

    Mashirika ya kijamii Nigeria: Boko Haram ni hatari kwa watoto wadogo

    Jun 19, 2016 07:55

    Shirika moja lisilo la kiserikali nchini Nigeria kwa kifupi PIN, limeonya juu ya mwenendo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram wa kuwatumia watoto wadogo katika jinai zake.

  • Wanachama wa Boko Haram waua wanawake 18 kaskazini mwa Nigeria

    Wanachama wa Boko Haram waua wanawake 18 kaskazini mwa Nigeria

    Jun 17, 2016 14:44

    Wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram wamewaua wanawake 18 kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Waasi wa Delta: Ni sisi tulishambulia bomba la mafuta la Akwa Ibom

    Waasi wa Delta: Ni sisi tulishambulia bomba la mafuta la Akwa Ibom

    Jun 17, 2016 14:34

    Waasi wa Ulipizaji Kisasi wa Niger Delta nchini Nigeria wametangaza kuhusika na shambulio dhidi ya bomba la mafuta katika jimbo la Akwa Ibom.

  • Wakimbizi 10 hupoteza maisha kila siku nchini Nigeria

    Wakimbizi 10 hupoteza maisha kila siku nchini Nigeria

    Jun 13, 2016 02:48

    Duru za kieneo nchini Nigeria zimeeleza kuwa wakimbizi 10 hufariki dunia kila siku katika kambi ya wakimbizi nchini humo.

  • Serikali ya Nigeria: Tupo tayari kuzungumza na waasi wa Niger Delta

    Serikali ya Nigeria: Tupo tayari kuzungumza na waasi wa Niger Delta

    Jun 08, 2016 06:53

    Hatimaye serikali ya Nigeria imewaalika waasi wa Ulipizaji Kisasi wa Niger Delta kwa ajili ya mazungumzo ya kuhitimisha mgogoro wa kusini mwa nchi hiyo.

  • Kituo cha Kiislamu Nigeria chagharamia  operesheni ya macho katika mwezi wa Ramadhan

    Kituo cha Kiislamu Nigeria chagharamia operesheni ya macho katika mwezi wa Ramadhan

    Jun 07, 2016 03:29

    Kituo cha uratibu cha Waislamu nchini Nigeria kimetangaza kujitolea kugharamia operesheni ya macho kwa raia kwa mnasaba wa kuingia mwezi mtukufu wa Ramdhani.

  • Nigeria: Tumedhibiti mabilioni ya Dola zilizokuwa zimeporwa na mafisadi

    Nigeria: Tumedhibiti mabilioni ya Dola zilizokuwa zimeporwa na mafisadi

    Jun 05, 2016 04:12

    Serikali ya Nigeria imetangaza kunasa na kudhibiti mali na fedha za umma zinazokaribia Dola bilioni 11 za Marekani zilizokuwa zimeporwa na mafisadi.

  • Maandamano ya wanaopigania kujitenga eneo la kusini mwa Nigeria

    Maandamano ya wanaopigania kujitenga eneo la kusini mwa Nigeria

    Jun 01, 2016 06:59

    Polisi katika jimbo la Niger Delta kusini mwa Nigeria wameeleza wasiwasi wao kuhusu kuongezeka maandamano ya wanaopigania kujitenga eneo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS