Rais wa Niger ametoa wito wa kuuundwa kikosi maalumu katika eneo la magharibi mwa Afrika kwa ajili ya kupambana na mashambulio ya kigaidi.
Polisi nchini Nigeria imethibitisha kujiri shambulizi dhidi ya kituo cha mafuta kinachomilikiwa na shirika la mafuta la Shell katika jimbo la Imo, kusini mashariki mwa nchi hiyo.
Shirika moja lisilo la kiserikali nchini Nigeria kwa kifupi PIN, limeonya juu ya mwenendo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram wa kuwatumia watoto wadogo katika jinai zake.
Wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram wamewaua wanawake 18 kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Waasi wa Ulipizaji Kisasi wa Niger Delta nchini Nigeria wametangaza kuhusika na shambulio dhidi ya bomba la mafuta katika jimbo la Akwa Ibom.
Duru za kieneo nchini Nigeria zimeeleza kuwa wakimbizi 10 hufariki dunia kila siku katika kambi ya wakimbizi nchini humo.
Hatimaye serikali ya Nigeria imewaalika waasi wa Ulipizaji Kisasi wa Niger Delta kwa ajili ya mazungumzo ya kuhitimisha mgogoro wa kusini mwa nchi hiyo.
Kituo cha uratibu cha Waislamu nchini Nigeria kimetangaza kujitolea kugharamia operesheni ya macho kwa raia kwa mnasaba wa kuingia mwezi mtukufu wa Ramdhani.
Serikali ya Nigeria imetangaza kunasa na kudhibiti mali na fedha za umma zinazokaribia Dola bilioni 11 za Marekani zilizokuwa zimeporwa na mafisadi.
Polisi katika jimbo la Niger Delta kusini mwa Nigeria wameeleza wasiwasi wao kuhusu kuongezeka maandamano ya wanaopigania kujitenga eneo hilo.