-
Waasi wa Nigeria watishia kuhujumu vituo vya mafuta
Apr 20, 2016 10:12Waasi wa eneo lenye utajiri wa mafuta la Niger Delta kusini mwa Nigeria wametishia kwamba watazidisha mashambulizi yao dhidi mabomba na vituo vya uzalishaji mafuta ghafi ya petroli nchini humo.
-
Waasi wa Nigeria watishia kushambulia taasisi za mafuta
Apr 19, 2016 11:51Waasi wa eneo lenye utajiri wa mafuta la Niger Delta nchini Nigeria wametishia kwamba watazidisha mashambulizi yao dhidi mabomba na taasisi za mafuta ya petroli nchini humo.
-
Miaka miwili yapita tangu Boko Haram kuteka wasichana Chibok
Apr 15, 2016 03:30Ni miaka miwili sasa tangu magaidi wakufurishaji wa Boko Haram walipowateka nyara wasichana wa shule ya serikali katika mji wa Chibok, kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Nigeria yasisitiza udharura wa kupambana na ugaidi
Apr 14, 2016 23:46Wizara ya Mambo ya Nje ya Nigeria imesisitiza udharura wa kuzidishwa ushirikiano unaohitajika kati ya nchi za eneo la magharibi mwa Afrika kwa ajili ya kupambana na kundi la Boko Haram.
-
Amnesty International yataka kufanyike uchunguzi wa mauaji ya Waislamu Nigeria
Apr 14, 2016 00:56Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu mauaji ya wanachama wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria.
-
NIgeria: Upo udharura wa kuzidishwa mawasiliano na ushirikiano ili kupambana na ugaidi
Apr 13, 2016 23:23Wizara ya Mambo ya Nje ya Nigeria imesisitiza juu ya ulazima wa kuzidishwa mawasiliano na ushirikiano unaohitajika kati ya nchi za eneo ili kupambana na kundi la Boko Haram.
-
Kaburi la Umati la Waislamu lagundiliwa nchini Nigeria
Apr 12, 2016 23:53Karibu miili 350 ya Waislamu imepatikana ikiwa imezikwa kwa siri katika kaburi la umati kaskazini mwa Nigeria.
-
Boko Haram wanatumia watoto katika hujuma za kigaidi
Apr 12, 2016 11:56Kundi la magaidi wakufurishaji wa Boko Haram nchini Nigeria wanazidi kuwatumia watoto wadogo kusheheni bomu na kujiripua katika hujuma za kigaidi.
-
Nigeria: Harakati ya Biafra imehusika na mauaji ya watu 55
Apr 11, 2016 03:28Polisi ya Nigeria imedai kuwa harakati ya Biafra ndiyo iliyohusika na mauaji ya hivi karibuni ya watu 55, baada ya kugundua kaburi la umati kusini mashariki mwa nchi.
-
Naibu kinara wa Boko Haram akamatwa
Apr 03, 2016 09:12Naibu kinara wa kundi la kigaidi la Boko Haram nchini Nigeria amekamatwa katika oparesheni ya vikosi vya usalama nchini humo.