Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Nigeria yatakiwa irejesha umeme Niger na ipunguze vikwazo

    Nigeria yatakiwa irejesha umeme Niger na ipunguze vikwazo

    Aug 13, 2023 02:35

    Wakili mwandamizi nchini Nigeria na mwanaharakati wa haki za binadamu Femi Falana ametoa wito kwa Jumuiya ya Kiuchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi (ECOWAS) , kurejesha umeme nchini Niger na kupunguza vikwazo vilivyowekwa kwa nchi hiyo kufuatia mapinduzi ya kijeshi ya hivi karibuni.

  • Waislamu Nigeria waandamana kulaani kuchomwa moto Qurani

    Waislamu Nigeria waandamana kulaani kuchomwa moto Qurani

    Jul 27, 2023 10:21

    Waislamu nchini Nigeria wamefanya maandamano kulaani vitendo vya mara kwa mara vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi za Ulaya.

  • Makumi wauawa katika shambulizi la magaidi wa ISWAP Nigeria

    Makumi wauawa katika shambulizi la magaidi wa ISWAP Nigeria

    Jul 27, 2023 10:19

    Makumi ya watu wameuawa nchini Nigeria katika shambulizi la kundi la kigaidi la ISIS au Daesh tawi la Afrika Magharibi (ISWAP).

  • Waislamu Uganda na Nigeria walaani kuchomwa moto Qurani Tukufu Sweden

    Waislamu Uganda na Nigeria walaani kuchomwa moto Qurani Tukufu Sweden

    Jul 04, 2023 07:51

    Baraza Kuu la Waislamu nchini Uganda (UMSC) limelaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Sweden, huku uhalifu huo mkubwa wa kukichoma moto kitabu hicho kitakatifu katika nchi hiyo ya Magharibi ukiendelea kulaaniwa vikali na Waislamu kote duniani.

  • Bomba la shell lachafua mashamba, mto huko Niger Delta, Nigeria

    Bomba la shell lachafua mashamba, mto huko Niger Delta, Nigeria

    Jun 27, 2023 04:40

    Kusambaa mafuta kwa mara nyingine tena kutoka kituo cha Shell nchini Nigeria kumechafua mashamba na mto, na hivyo kukwamisha shughuli za maisha za wavuvi na wakulima katika jimbo la Niger Delta huko Nigeria, raia ambao kwa muda mrefu wamevumilia uchafuzi wa mazingira unaosababishwa na sekta ya mafuta.

  • Rais wa Nigeria afanya mabadiliko makubwa; apangua safu ya wakuu wa usalama

    Rais wa Nigeria afanya mabadiliko makubwa; apangua safu ya wakuu wa usalama

    Jun 20, 2023 06:40

    Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Rais wa Nigeria imeeleza kuwa Rais Bola Ahmed Tinubu wa nchi hiyo amewateua makamanda wapya wa vikosi vya jeshi la taifa, wanamaji na jeshi la anga.

  • Watu 13 wauawa katika mapigano kati ya jamii za wafugaji na wakulima, Nigeria

    Watu 13 wauawa katika mapigano kati ya jamii za wafugaji na wakulima, Nigeria

    Jun 19, 2023 08:52

    Jimbo la Plateau katikati ya Nigeria katika wiki za karibuni lilikumbwa tena na machafuko kati ya jamii za wafugaji na wakulima wakigombania umiliki na ardhi na maliasili.

  • Takriban watu 150 wafariki dunia baada ya boti kuzama nchini Nigeria

    Takriban watu 150 wafariki dunia baada ya boti kuzama nchini Nigeria

    Jun 17, 2023 08:18

    Takriban watu 150 wamepoteza maisha baada ya mashua waliyokuwa wamepanda kupinduka katika jimbo la Kwara, magharibi mwa Nigeria.

  • Rais wa Nigeria amsimamisha kazi mkuu wa kupambana na ufisadi

    Rais wa Nigeria amsimamisha kazi mkuu wa kupambana na ufisadi

    Jun 16, 2023 02:29

    Rais Bola Tinubu wa Nigeria amemsimamisha kazi Mkuu wa Kamisheni ya Kupambana na Ufisadi ya nchi hiyo ambaye alikuwa akichunguzwa kwa tuhuma za kutumia vibaya madaraka. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya serikali ya Nigeria.

  • Rais wa Nigeria awataka wananchi kuwa watulivu kufuatia kuondolewa ruzuku ya mafuta

    Rais wa Nigeria awataka wananchi kuwa watulivu kufuatia kuondolewa ruzuku ya mafuta

    Jun 13, 2023 04:39

    Rais Bola Tinubu wa Nigeria jana aliwatolea wito wananchi kukubali kujitolea zaidi kwa ajili ya uwekezaji wa baadaye baada ya serikali yake kuhitimisha ruzuku ya muda mrefu ya mafuta katika hatua ambayo imesababisha kupanda kwa bei ya petroli, usafiri na vyakula nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS