-
Nigeria yatakiwa irejesha umeme Niger na ipunguze vikwazo
Aug 13, 2023 02:35Wakili mwandamizi nchini Nigeria na mwanaharakati wa haki za binadamu Femi Falana ametoa wito kwa Jumuiya ya Kiuchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi (ECOWAS) , kurejesha umeme nchini Niger na kupunguza vikwazo vilivyowekwa kwa nchi hiyo kufuatia mapinduzi ya kijeshi ya hivi karibuni.
-
Waislamu Nigeria waandamana kulaani kuchomwa moto Qurani
Jul 27, 2023 10:21Waislamu nchini Nigeria wamefanya maandamano kulaani vitendo vya mara kwa mara vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi za Ulaya.
-
Makumi wauawa katika shambulizi la magaidi wa ISWAP Nigeria
Jul 27, 2023 10:19Makumi ya watu wameuawa nchini Nigeria katika shambulizi la kundi la kigaidi la ISIS au Daesh tawi la Afrika Magharibi (ISWAP).
-
Waislamu Uganda na Nigeria walaani kuchomwa moto Qurani Tukufu Sweden
Jul 04, 2023 07:51Baraza Kuu la Waislamu nchini Uganda (UMSC) limelaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Sweden, huku uhalifu huo mkubwa wa kukichoma moto kitabu hicho kitakatifu katika nchi hiyo ya Magharibi ukiendelea kulaaniwa vikali na Waislamu kote duniani.
-
Bomba la shell lachafua mashamba, mto huko Niger Delta, Nigeria
Jun 27, 2023 04:40Kusambaa mafuta kwa mara nyingine tena kutoka kituo cha Shell nchini Nigeria kumechafua mashamba na mto, na hivyo kukwamisha shughuli za maisha za wavuvi na wakulima katika jimbo la Niger Delta huko Nigeria, raia ambao kwa muda mrefu wamevumilia uchafuzi wa mazingira unaosababishwa na sekta ya mafuta.
-
Rais wa Nigeria afanya mabadiliko makubwa; apangua safu ya wakuu wa usalama
Jun 20, 2023 06:40Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Rais wa Nigeria imeeleza kuwa Rais Bola Ahmed Tinubu wa nchi hiyo amewateua makamanda wapya wa vikosi vya jeshi la taifa, wanamaji na jeshi la anga.
-
Watu 13 wauawa katika mapigano kati ya jamii za wafugaji na wakulima, Nigeria
Jun 19, 2023 08:52Jimbo la Plateau katikati ya Nigeria katika wiki za karibuni lilikumbwa tena na machafuko kati ya jamii za wafugaji na wakulima wakigombania umiliki na ardhi na maliasili.
-
Takriban watu 150 wafariki dunia baada ya boti kuzama nchini Nigeria
Jun 17, 2023 08:18Takriban watu 150 wamepoteza maisha baada ya mashua waliyokuwa wamepanda kupinduka katika jimbo la Kwara, magharibi mwa Nigeria.
-
Rais wa Nigeria amsimamisha kazi mkuu wa kupambana na ufisadi
Jun 16, 2023 02:29Rais Bola Tinubu wa Nigeria amemsimamisha kazi Mkuu wa Kamisheni ya Kupambana na Ufisadi ya nchi hiyo ambaye alikuwa akichunguzwa kwa tuhuma za kutumia vibaya madaraka. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya serikali ya Nigeria.
-
Rais wa Nigeria awataka wananchi kuwa watulivu kufuatia kuondolewa ruzuku ya mafuta
Jun 13, 2023 04:39Rais Bola Tinubu wa Nigeria jana aliwatolea wito wananchi kukubali kujitolea zaidi kwa ajili ya uwekezaji wa baadaye baada ya serikali yake kuhitimisha ruzuku ya muda mrefu ya mafuta katika hatua ambayo imesababisha kupanda kwa bei ya petroli, usafiri na vyakula nchini humo.