Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Shambulio la kigaidi laua wanajeshi 70 kaskazini mwa Nigeria

    Shambulio la kigaidi laua wanajeshi 70 kaskazini mwa Nigeria

    Mar 24, 2020 10:14

    Askari wasiopungua 70 wa jeshi la Nigeria wameuawa katika shambulio la kigaidi lililotokea katika jimbo la Borno kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Makamanda na wanachama wa Boko Haram wauawa katika hujuma za anga Nigeria

    Makamanda na wanachama wa Boko Haram wauawa katika hujuma za anga Nigeria

    Mar 20, 2020 08:55

    Wizara ya Ulinzi ya Nigeria imethibitisha habari za kuangamizwa makamanda wa ngazi za juu na wanachama kadhaa wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa nchi.

  • Zarif azungumza na mawaziri wenzake wa Kenya na Nigeria kuhusu Corona

    Zarif azungumza na mawaziri wenzake wa Kenya na Nigeria kuhusu Corona

    Mar 20, 2020 08:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumza kwa njia ya simu na mawaziri wenzake wa mambo ya nje wa Kenya, Nigeria na Bulgaria juu ya mlipuko wa ugonjwa wa Corona unaoendelea kuzisumbua nchi mbali mbali duniani.

  • Watu 15 wauawa katika mlipuko wa bomba la gesi Lagos Nigeria

    Watu 15 wauawa katika mlipuko wa bomba la gesi Lagos Nigeria

    Mar 16, 2020 04:37

    Mlipuko wa bomba la gesi uliotokea katika mji mkuu wa kibiashara wa Lagos nchini Nigeria umepelekea kwa uchache watu 15 kuaga dunia na makumi ya wengine kujeruhiwa.

  • 50 wauawa katika shambulio la watu waliobeba silaha Nigeria

    50 wauawa katika shambulio la watu waliobeba silaha Nigeria

    Mar 02, 2020 23:53

    Watu wasiopungua 50 wameuawa baada ya genge la watu waliobeba silaha kushambulia vijiji kadhaa katika jimbo la Kaduna, kaskazini mwa Nigeria.

  • Kirusi cha corona chazidi kusambaa duniani kwa kutia mguu Magharibi mwa Afrika

    Kirusi cha corona chazidi kusambaa duniani kwa kutia mguu Magharibi mwa Afrika

    Feb 28, 2020 04:49

    Mtu wa kwanza aliye na kirusi cha corona katika eneo la chini ya jangwa la Sahara Magharibi mwa Afrika amegunduliwa nchini Nigeria.

  • Polisi Nigeria wampiga risasi na kumuua shahidi kijana mdogo kwa sababu ya kumuunga mkono Sheikh Zakzaky

    Polisi Nigeria wampiga risasi na kumuua shahidi kijana mdogo kwa sababu ya kumuunga mkono Sheikh Zakzaky

    Feb 27, 2020 23:50

    Askari Polisi wa Nigeria wamemuua shahidi kijana mdogo wa miaka 15 kwa sababu ya kushiriki katika maandamano ya amani ya kuonyesha uungaji mkono kwa kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Mahakama ya Kaduna yawaondoa hatiani wanachama 91 wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria

    Mahakama ya Kaduna yawaondoa hatiani wanachama 91 wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria

    Feb 23, 2020 10:26

    Mahakama Kuu katika jimbo la Kaduna nchini Nigeria imewafutia tuhuma zilizokuwa zikiwakabili wanachama 91 wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo (IMN).

  • Lassa yaingia Lagos, idadi ya waliokufa kwa homa hiyo Nigeria yapindikua 100

    Lassa yaingia Lagos, idadi ya waliokufa kwa homa hiyo Nigeria yapindikua 100

    Feb 20, 2020 23:12

    Kesi ya kwanza ya mlipuko wa homa ya Lassa imethibitishwa katika mji mkuu wa kibiashara wa Nigeria, Lagos huku idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na ugonjwa huo nchini humo ikiongezeka.

  • Makundi yenye silaha yaendelea kumwaga damu Nigeria

    Makundi yenye silaha yaendelea kumwaga damu Nigeria

    Feb 18, 2020 04:35

    Watu waliojizatiti kwa silaha wameshambulia jimbo la Delta kusini mwa Nigeria na kuua watu 10. Mashuhuda wanasema waliotekeleza ukatili huo walikuwa wamevalia magwanda ya kijeshi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS