-
Gaidi wa Boko Haram ajiripua na kuua watu 14 msikitini nchini Nigeria
Jan 03, 2018 12:03Mtu aliyejifunga bomu mwilini amejiripua na kuua watu wasiopungua 14 ndani ya msikiti mmoja katika mji wa Gamboru ulioko kwenye jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria leo.
-
Watu 50 wauawa katika mapigano ya kikabila kaskazini mwa Nigeria
Jan 03, 2018 00:54Watu wasiopungua 50 wameuawa kaskazini mwa Nigeria na makumi ya wengine klujeruhiwa kufuatia mapigano ya kikabila yaliyozuka baina ya makabila mawili.
-
Kiongozi wa Boko Haram aibuka, adai wamehusika katika mashambulizi
Jan 02, 2018 11:30Kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram, Abubakar Shekau ametoa kanda mpya ya video na kudai kuwa kundi hilo ndilo lililohusika na wimbi la mashambulizi ya bomu katika sherehe za kufunga mwaka, kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Watu wenye silaha wawashambulia Wakristo kusini mwa Nigeria, 14 wauawa
Jan 02, 2018 04:25Polisi nchini Nigeria imetangaza kwamba, watu wenye silaha wamewashambulia kwa kuwapiga risasi Wakristo kusini mwa nchi hiyo.
-
Kuendelea mashambulizi ya kigaidi nchini Nigeria; jimbo la Kaduna lashambuliwa
Jan 02, 2018 00:43Polisi ya Nigeria imetangaza kuwa watu wawili wameuawa katika mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea kaskazini mwa nchi hiyo.
-
UNHCR kuimarisha shughuli zake kusini mwa Nigeria
Dec 30, 2017 01:12Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR ametangaza kuwa, shirika hilo limeazimia kuimarisha shughuli zake kusini mwa nchi ya Nigeria ya Magharibi mwa Afrika.
-
Watu wasiopungua 6 wauawa katika mlipuko kaskazini mashariki mwa Nigeria
Dec 29, 2017 00:26Watu wasiopungua sita wameuawa na wengine 13 kujeruhiwa katika shambulio la kujitoa muhanga lililotekelezwa sokoni katika kijiji kimoja karibu na mji wa Maiduguri jimboni Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Watu wenye silaha wauwa wanavijiji 10 nchini Nigeria
Dec 26, 2017 11:30Watu waliokuwa na silaha wamewauwa watu kumi katika mashambulizi yaliyofanywa katika vijiji viwili vya wakazi wa jamii ya Kikristo katika jimbo la Kaduna huko kaskazini mwa Nigeria.
-
Njama za serikali ya Nigeria dhidi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky
Dec 26, 2017 08:53Mjumbe wa ngazi ya juu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kuwa, serikali ya nchi hiyo inatekeleza njama za kumuua shahidi Sheikh Ibrahim Zakzaky kiongozi wa harakati hiyo.
-
Jeshi la Nigeria laua wanamgambo 20 wa kundi la kigaidi la Boko Haram
Dec 20, 2017 12:49Jeshi la Nigeria limetangaza leo kuwa limewaua wanamgambo 20 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika operesheni linazoendelea kufanya ili kutokomeza mabaki ya magaidi hao.