Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

onyo

  • Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya yatoa onyo kwa wapinzani

    Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya yatoa onyo kwa wapinzani

    Apr 01, 2016 04:25

    Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa imeonya kuwa itakabidhi majina ya wapinzani wa serikali hiyo kwa Polisi ya Kimataifa Interpol na kuwahusisha na "ugaidi" endapo hawatotoa ushirikiano kwa serikali hiyo.

  • WFP latahadharisha kuhusiana na uhaba wa chakula nchini Yemen

    WFP latahadharisha kuhusiana na uhaba wa chakula nchini Yemen

    Mar 24, 2016 01:53

    Shirika la Mpango wa Chakula Duniani WFP limetahadharisha kuhusiana na uhaba mkubwa wa chakula unaoikabili nchi ya Yemen.

  • Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusiana na kuongezeka machafuko nchini Burundi

    Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusiana na kuongezeka machafuko nchini Burundi

    Mar 19, 2016 16:51

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusiana na kuongezeka utumiaji mabavu na vitendo vya utesaji katika nchi ya Burundi.

  • Mtaalamu wa UN atoa indhari kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Mtaalamu wa UN atoa indhari kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Mar 13, 2016 03:30

    Marie-Thérèse Keita-Bocoum, mtaalamu wa Umoja wa Mataifa wa haki za binadamu amesema hali ya haki za binadamu nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati inatia wasiwasi.

  • Kenya yatangaza hali ya tahadhari

    Kenya yatangaza hali ya tahadhari

    Mar 01, 2016 12:12

    Kenya imetangaza hali ya tahadhari kutokana na wasiwasi wa uwezekano wa kutokea mashambulio ya kigaidi katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Syria yatoa tena onyo kali kwa Saudia

    Syria yatoa tena onyo kali kwa Saudia

    Feb 21, 2016 16:01

    Spika wa Bunge la Syria ametoa onyo kali kwa ukoo wa Aal Saud unaojigamba kuwa utatuma wanajeshi wake nchini Syria.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS