Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Mgogoro wa Kashmir.. Imran Khan atahadharisha juu ya kutokea vita vya dunia vya nyuklia

    Mgogoro wa Kashmir.. Imran Khan atahadharisha juu ya kutokea vita vya dunia vya nyuklia

    Aug 31, 2019 22:13

    Waziri Mkuu wa Pakistan ameeleza wasiwasi wake kuhusu mgogoro unaoendelea kushadidi baina ya nchi hiyo na India na kutahadharisha kwamba, kuna uwezekano wa kutokea vita vipya vya dunia kwa kutumia silaha za nyuklia baina ya nchi hizo mbili.

  • Kikao cha Baraza la Usalama  kuhusu eneo la Kashmir chamalizika bila ya natija yoyote

    Kikao cha Baraza la Usalama kuhusu eneo la Kashmir chamalizika bila ya natija yoyote

    Aug 17, 2019 03:41

    Kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilichoitshwa kujadili uamuzi ulioibua makelele wa serikali ya India wa kubatilisha mamlaka maalumu ya utawala wa ndani eneo la Kashmir kimemalizika bila ya matunda yoyote.

  • Mashauriano ya Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan na Russia kuhusiana na Kashmir

    Mashauriano ya Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan na Russia kuhusiana na Kashmir

    Aug 15, 2019 22:05

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan Shah Mehmood Qureshi amefanya mazungumzo ya simu na mwenzake wa Russia, Sergey Lavrov kuhusiana na hali ya eneo la Kashmir linalodhibitiwa na India.

  • Serikali ya India na mbinyo wa kidini katika eneo la Kashmir

    Serikali ya India na mbinyo wa kidini katika eneo la Kashmir

    Aug 14, 2019 02:27

    Hatua ya serikali ya India ya kuweka vizuizi na kubana shughuli za kidini katika eneo la Kashmir imekabiliwa na radiamali kali ya Pakistan.

  • Pakistan yaiomba Iran isaidie utatuzi wa amani wa mgogoro wa Kashmir

    Pakistan yaiomba Iran isaidie utatuzi wa amani wa mgogoro wa Kashmir

    Aug 11, 2019 02:16

    Pakistan imetoa wito kwa jamii ya kimataifa, ikiwemo Iran, kusaidia katika kutafutia suluhisho la amani mgogoro wa Kashmir baada ya kuibuka uhasama mpya baina ya India na Pakistan kuhusu eneo hilo linalozozaniwa.

  • Waziri Mkuu wa Pakistan atahadharisha kuhusu uwezekano wa kutokea vita na India

    Waziri Mkuu wa Pakistan atahadharisha kuhusu uwezekano wa kutokea vita na India

    Aug 07, 2019 03:30

    Waziri Mkuu wa Pakistan ametahadharisha kuwa, kuna uwezekano wa kutokea vita baina ya nchi yake na India baada ya New Delhi kufuta kifungu cha katiba kinacholipa mamlaka ya utawala wa ndani jimbo linalozozaniwa na Kashmir.

  • India yatayarisha mazingira ya kulitwaa kikamilifu eneo la Kashmir

    India yatayarisha mazingira ya kulitwaa kikamilifu eneo la Kashmir

    Aug 05, 2019 21:57

    Serikali ya India imefuta sheria inayolipa hali makhsusi eneo la Kashmir linalozozaniwa baina ya nchi hiyo na Pakistan katika jitihada za kuliunganisha kikamilifu na ardhi ya India.

  • Pakistan: Tupo tayari kufanya mazungumzo na India

    Pakistan: Tupo tayari kufanya mazungumzo na India

    Jul 26, 2019 23:42

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Pakistan amesema kuwa Islamabad ipo tayari kwa ajili ya kufanya mazungumzo ya amani na India.

  • Magaidi wawaua shahidi askari 2 wa Iran katika mpaka wa Pakistan

    Magaidi wawaua shahidi askari 2 wa Iran katika mpaka wa Pakistan

    Jul 21, 2019 08:01

    Wanachama wawili wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) wameuawa shahidi katika makabiliiano na magaidi kusini mashariki mwa nchi, karibu na mpaka wa Pakistan.

  • Waziri Mkuu wa Pakistan: Umma upambane na chuki dhidi ya Uislamu

    Waziri Mkuu wa Pakistan: Umma upambane na chuki dhidi ya Uislamu

    Jun 01, 2019 06:55

    Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan ametoa mwito kwa umma wa Kiislamu kupambana na dhulma na chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS