-
Waziri Mkuu wa Pakistan atahadharisha kuhusu uwezekano wa kutokea vita na India
Aug 07, 2019 03:30Waziri Mkuu wa Pakistan ametahadharisha kuwa, kuna uwezekano wa kutokea vita baina ya nchi yake na India baada ya New Delhi kufuta kifungu cha katiba kinacholipa mamlaka ya utawala wa ndani jimbo linalozozaniwa na Kashmir.
-
India yatayarisha mazingira ya kulitwaa kikamilifu eneo la Kashmir
Aug 05, 2019 21:57Serikali ya India imefuta sheria inayolipa hali makhsusi eneo la Kashmir linalozozaniwa baina ya nchi hiyo na Pakistan katika jitihada za kuliunganisha kikamilifu na ardhi ya India.
-
Pakistan: Tupo tayari kufanya mazungumzo na India
Jul 26, 2019 23:42Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Pakistan amesema kuwa Islamabad ipo tayari kwa ajili ya kufanya mazungumzo ya amani na India.
-
Magaidi wawaua shahidi askari 2 wa Iran katika mpaka wa Pakistan
Jul 21, 2019 08:01Wanachama wawili wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) wameuawa shahidi katika makabiliiano na magaidi kusini mashariki mwa nchi, karibu na mpaka wa Pakistan.
-
Waziri Mkuu wa Pakistan: Umma upambane na chuki dhidi ya Uislamu
Jun 01, 2019 06:55Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan ametoa mwito kwa umma wa Kiislamu kupambana na dhulma na chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu duniani.
-
Zarif akutana na Waziri Mkuu wa Pakistan mjini Islamabad
May 24, 2019 07:24Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran yuko safarini nchini Pakistan, ambapo amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa nchi hiyo mjini Islamabad.
-
Zarif: Vikwazo vya Marekani vimevuruga mfumo wa dunia
May 24, 2019 02:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vikwazo vya Marekani vinalenga kuvuruga mfumo na nidhamu ya kimataifa.
-
India na Pakistan zatangaza azma ya kutatua tofauti baina yao
May 23, 2019 03:17Mawaziri wa Mambo ya Nje wa India na Pakistan wametangaza azma ya kutatua tofauti za nchi zao kufuatia mgogoro ulioibuka hivi karibuni.
-
Baqeri: Marekani lazima iombe idhini kwa jeshi la Iran la SEPAH kuweza kupita Hormuz
Apr 28, 2019 23:40Mkuu wa Majeshi ya Iran amesema kuwa meli za Marekani haziwezi kupita katika Lango Bahari la Hormuz bila ya kuomba idhini kwanza kutoka kwa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH.
-
Waziri Mkuu wa Pakistan awasili Iran kwa ziara rasmi
Apr 21, 2019 09:30Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan leo Jumapili amewasili katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Mashhad kaskazini mashariki mwa Iran na kulakiwa rasmi na mkuu wa mkoa pamoja na maafisa wa ngazi za juu wa mkoa wa Khurassan Razavi.