-
Rais Arif Alvi wa Pakistan aonya juu ya uwezekano wa kutokea vita kati ya nchi yake na India
Mar 06, 2019 23:23Rais Arif Alvi wa Pakistan ametoa onyo kali juu ya uwezekano wa kutokea vita na mapigano makali kati ya nchi yake na India.
-
Mafuriko yaua watu 45 Afghanistan na Pakistan
Mar 05, 2019 23:16Kwa akali watu 45 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika nchi za Afghanistan na Pakistan.
-
Pakistan yatimua nyambizi za jeshi la India, hali ingali tete
Mar 05, 2019 10:50Pakistan inasema imeitimua kwa mafanikio nyambizi ya Jeshi la Majini la India ambayo ilijaribu kuingia katika mipaka yake ya baharini huku hali ikiwa bado ni tete baina ya madola hayo jirani yanayohasimiana na ambayo yana silaha za nyuklia.
-
OIC yazitaka India na Pakistan zitatue mgogoro kwa njia za amani
Mar 03, 2019 04:12Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu (OIC) imepasisha azimio linalozitaka India na Pakistan zijiepushe na vitendo vinavyoweza kuendelea kuchochea taharuki baina yao, sambamba na kuupatia ufumbuzi mgogoro baina ya nchi mbili hizo jirani kwa njia za amani.
-
Pakistan yaiomba Iran ipatanishe mzozo kati yake na India
Mar 01, 2019 23:18Ubalozi wa Pakistan mjini Tehran umeiomba Jamhuri ya Kiislamu ya Kiislamu ya Iran itumie ushawishi wake kusaidia utatuzi wa amani wa mzozo uliozuka baina ya nchi yake na India.
-
Katibu Mkuu wa UN ataka India, Pakistan zipunguze uhasama
Feb 20, 2019 04:31Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito kwa India na Pakistan zichukue hatua za haraka kupunguza uhasama baina yao kufuatia hujuma mbaya ya kigaidi huko Kashmir ambayo imepelekea kuwepo hatari ya kuibuka mapigano baina ya nchi hizo mbili zenye silaha za nyuklia.
-
India yaituhumu Pakistan kwa kuhusika na shambulizi la Kashmir
Feb 19, 2019 12:21Kamanda wa jeshi la India katika eneo la Kashmir Luteni Jenerali G S Dhillon amesema kuwa shirika la ujasusi la Pakistan limehusika katika hujuma iliyolenga msafara wa askari usalama wa nchi hiyo wiki iliyopita ambayo imeua zaidi ya askari 40 wa India.
-
Bahram Qassemi: Madola ya Ulaya hayapaswi kufuatilia kukamilisha matakwa yao kutoka kwa Iran
Feb 18, 2019 11:44Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, subira na uvumilivu wa wananchi na serikali ya Iran una mipaka na kwamba, madola ya Ulaya hayapaswi kutumia muda kwa ajili ya kufuatilia kukamilisha matakwa yao kutoka kwa Iran.
-
Safari ya Bin Salman nchini Pakistan, mgeni aliyesusiwa na wenyeji
Feb 18, 2019 07:29Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman aliwasili jana Jumapili nchini Pakistan akiandamana na ndege saba na akisindikizwa na ndege kadhaa za kijeshi za Pakistan. Safari hiyo inafanyika chini ya ulinzi mkali.
-
Mazungumzo ya Waziri Mkuu wa Pakistan na viongozi wa Qatar mjini Doha
Jan 22, 2019 23:17Katika safari yake ya kwanza rasmi nchini Qatar, Waziri Mkuu wa Pakistan Jumatatu usiku alikutana na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake Abdullah bin Nasser bin Khalifa Al Thani.