Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Rais Arif Alvi wa Pakistan aonya juu ya uwezekano wa kutokea vita kati ya nchi yake na India

    Rais Arif Alvi wa Pakistan aonya juu ya uwezekano wa kutokea vita kati ya nchi yake na India

    Mar 06, 2019 23:23

    Rais Arif Alvi wa Pakistan ametoa onyo kali juu ya uwezekano wa kutokea vita na mapigano makali kati ya nchi yake na India.

  • Mafuriko yaua watu 45 Afghanistan na Pakistan

    Mafuriko yaua watu 45 Afghanistan na Pakistan

    Mar 05, 2019 23:16

    Kwa akali watu 45 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika nchi za Afghanistan na Pakistan.

  • Pakistan yatimua nyambizi za jeshi la India, hali ingali tete

    Pakistan yatimua nyambizi za jeshi la India, hali ingali tete

    Mar 05, 2019 10:50

    Pakistan inasema imeitimua kwa mafanikio nyambizi ya Jeshi la Majini la India ambayo ilijaribu kuingia katika mipaka yake ya baharini huku hali ikiwa bado ni tete baina ya madola hayo jirani yanayohasimiana na ambayo yana silaha za nyuklia.

  • OIC yazitaka India na Pakistan zitatue mgogoro kwa njia za amani

    OIC yazitaka India na Pakistan zitatue mgogoro kwa njia za amani

    Mar 03, 2019 04:12

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu (OIC) imepasisha azimio linalozitaka India na Pakistan zijiepushe na vitendo vinavyoweza kuendelea kuchochea taharuki baina yao, sambamba na kuupatia ufumbuzi mgogoro baina ya nchi mbili hizo jirani kwa njia za amani.

  • Pakistan yaiomba Iran ipatanishe mzozo kati yake na India

    Pakistan yaiomba Iran ipatanishe mzozo kati yake na India

    Mar 01, 2019 23:18

    Ubalozi wa Pakistan mjini Tehran umeiomba Jamhuri ya Kiislamu ya Kiislamu ya Iran itumie ushawishi wake kusaidia utatuzi wa amani wa mzozo uliozuka baina ya nchi yake na India.

  • Katibu Mkuu wa UN ataka India, Pakistan zipunguze uhasama

    Katibu Mkuu wa UN ataka India, Pakistan zipunguze uhasama

    Feb 20, 2019 04:31

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito kwa India na Pakistan zichukue hatua za haraka kupunguza uhasama baina yao kufuatia hujuma mbaya ya kigaidi huko Kashmir ambayo imepelekea kuwepo hatari ya kuibuka mapigano baina ya nchi hizo mbili zenye silaha za nyuklia.

  • India yaituhumu Pakistan kwa kuhusika na shambulizi la Kashmir

    India yaituhumu Pakistan kwa kuhusika na shambulizi la Kashmir

    Feb 19, 2019 12:21

    Kamanda wa jeshi la India katika eneo la Kashmir Luteni Jenerali G S Dhillon amesema kuwa shirika la ujasusi la Pakistan limehusika katika hujuma iliyolenga msafara wa askari usalama wa nchi hiyo wiki iliyopita ambayo imeua zaidi ya askari 40 wa India.

  • Bahram Qassemi: Madola ya Ulaya hayapaswi kufuatilia kukamilisha matakwa yao kutoka kwa Iran

    Bahram Qassemi: Madola ya Ulaya hayapaswi kufuatilia kukamilisha matakwa yao kutoka kwa Iran

    Feb 18, 2019 11:44

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, subira na uvumilivu wa wananchi na serikali ya Iran una mipaka na kwamba, madola ya Ulaya hayapaswi kutumia muda kwa ajili ya kufuatilia kukamilisha matakwa yao kutoka kwa Iran.

  • Safari ya Bin Salman nchini Pakistan, mgeni aliyesusiwa na wenyeji

    Safari ya Bin Salman nchini Pakistan, mgeni aliyesusiwa na wenyeji

    Feb 18, 2019 07:29

    Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman aliwasili jana Jumapili nchini Pakistan akiandamana na ndege saba na akisindikizwa na ndege kadhaa za kijeshi za Pakistan. Safari hiyo inafanyika chini ya ulinzi mkali.

  • Mazungumzo ya Waziri Mkuu wa Pakistan na viongozi wa Qatar mjini Doha

    Mazungumzo ya Waziri Mkuu wa Pakistan na viongozi wa Qatar mjini Doha

    Jan 22, 2019 23:17

    Katika safari yake ya kwanza rasmi nchini Qatar, Waziri Mkuu wa Pakistan Jumatatu usiku alikutana na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake Abdullah bin Nasser bin Khalifa Al Thani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS