-
Baqeri: Marekani lazima iombe idhini kwa jeshi la Iran la SEPAH kuweza kupita Hormuz
Apr 28, 2019 23:40Mkuu wa Majeshi ya Iran amesema kuwa meli za Marekani haziwezi kupita katika Lango Bahari la Hormuz bila ya kuomba idhini kwanza kutoka kwa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH.
-
Waziri Mkuu wa Pakistan awasili Iran kwa ziara rasmi
Apr 21, 2019 09:30Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan leo Jumapili amewasili katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Mashhad kaskazini mashariki mwa Iran na kulakiwa rasmi na mkuu wa mkoa pamoja na maafisa wa ngazi za juu wa mkoa wa Khurassan Razavi.
-
Safari ya Waziri Mkuu wa Pakistan mjini Tehran; ukurasa mpya wa ushirikiano wa pande mbili
Apr 21, 2019 09:12Imran Khan, Waziri Mkuu wa Pakistan leo Jumapili ameanza safari ya siku mbili humu nchini kwa mwaliko rasmi wa Rais Hassan Rouhani wa Iran.
-
Waziri Mkuu wa Pakistan kuitembelea Iran, atoa wito wa uhusiano bora
Apr 18, 2019 22:33Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amesema nchi yake inalipa umuhimu mkubwa suala la uhusiano wake na Iran na kuongeza kuwa analenga kuimarisha uhusiano wa nchi hizi mbili jirani katika safari yake tarajiwa mjini Tehran.
-
Serikali ya Pakistan yakiri kwamba Waislamu wa Shia wanafanyiwa dhulma na ukandamizaji
Apr 16, 2019 03:00Serikali ya Pakistan imetuma mawaziri wawili kwenda jimbo la Balochistan kwa ajili ya kuonyesha mshikamano na familia za wahanga wa shambulizi la kigaidi la siku ya Ijumaa iliyopita ambalo lilitekelezwa na genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) katika soko la matunda la mji wa Quetta.
-
Tuhuma mpya za Marekani kwa Pakistan kuhusiana na uungaji mkono ugaidi
Mar 11, 2019 09:42Kwa mara nyingine Kamanda Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Marekani ameituhumu serikali ya Pakistan kwamba inaunga mkono makundi ya kigaidi na kuyapa hifadhi.
-
'Utawala wa Kizayuni wa Israel ni adui namba moja wa Pakistan'
Mar 09, 2019 00:52Waziri wa Nchi wa Pakistan anayehusika na masuala ya Bunge amesema, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ni adui namba moja wa nchi hiyo.
-
Rais Arif Alvi wa Pakistan aonya juu ya uwezekano wa kutokea vita kati ya nchi yake na India
Mar 06, 2019 23:23Rais Arif Alvi wa Pakistan ametoa onyo kali juu ya uwezekano wa kutokea vita na mapigano makali kati ya nchi yake na India.
-
Mafuriko yaua watu 45 Afghanistan na Pakistan
Mar 05, 2019 23:16Kwa akali watu 45 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika nchi za Afghanistan na Pakistan.
-
Pakistan yatimua nyambizi za jeshi la India, hali ingali tete
Mar 05, 2019 10:50Pakistan inasema imeitimua kwa mafanikio nyambizi ya Jeshi la Majini la India ambayo ilijaribu kuingia katika mipaka yake ya baharini huku hali ikiwa bado ni tete baina ya madola hayo jirani yanayohasimiana na ambayo yana silaha za nyuklia.