Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Takwa la Pakistan kwa Taliban la kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na serikali ya Afghanistan

    Takwa la Pakistan kwa Taliban la kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na serikali ya Afghanistan

    Jan 12, 2019 23:26

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan amelitaka kundi la wanamgambo wa Taliban kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na serikali ya Afghanistan bila ya kupitia kwa mtu mwingine ili kufanikisha malengo ya amani.

  • Jibu la Pakistan kwa matamshi ya hivi karibuni ya Waziri Mkuu wa India

    Jibu la Pakistan kwa matamshi ya hivi karibuni ya Waziri Mkuu wa India

    Jan 04, 2019 04:33

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Pakistan amelaani vikali vitisho na matamshi yaliyotolewa hivi karibuni ya Waziri Mkuu wa India dhidi ya Pakistan.

  • Sisitizo la maulamaa wa Pakistan la kuwa kitu kimoja Waislamu wa Kishia na Kisuni

    Sisitizo la maulamaa wa Pakistan la kuwa kitu kimoja Waislamu wa Kishia na Kisuni

    Dec 22, 2018 21:36

    Maulamaa wa Kishia na Kisuni wa Pakistan wametilia mkazo kuwepo umoja kati ya Waislamu nchini humo ili kukabiliana na njama za maadui wa Uislamu.

  • Rouhani: Madola ya kibeberu ndiyo yaliyounda makundi ya kigaidi duniani

    Rouhani: Madola ya kibeberu ndiyo yaliyounda makundi ya kigaidi duniani

    Dec 09, 2018 00:05

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema madola ya kibeberu ndiyo yaliyounda na kuyafadhili kwa hali na mali makundi ya kigaidi duniani, na kwamba irada thabiti na jitihada za pamoja zinahitajika ili kulitokomeza jinamizi hilo linalotishia usalama wa dunia.

  • Mkutano wa maspika wa mabunge ya nchi sita wamalizika mjini Tehran kwa kutoa taarifa

    Mkutano wa maspika wa mabunge ya nchi sita wamalizika mjini Tehran kwa kutoa taarifa

    Dec 08, 2018 12:07

    Maspika wa mabunge ya nchi sita za Iran, Russia, Uturuki, China, Pakistan na Afghanistan umemalizika leo hapa mjini Tehran kwa taarifa ya pamoja ya kuimarisha uhusiano katika kupambana na ugaidi na kuongeza ushirikiano wao wa kieneo.

  • Pakistan: Hatutaendelea kuwa kibaraka wa Marekani

    Pakistan: Hatutaendelea kuwa kibaraka wa Marekani

    Dec 07, 2018 11:03

    Waziri Mkuu wa Pakistan, Imran Khan ameeleza namna nchi hiyo inavyojuta kwa namna ilivyoamiliana vizuri na Marekani huko nyuma, akisisitiza kuwa Islamabad haitaendelea kuwa kibaraka wa Washington.

  • Kongamano la

    Kongamano la "Rehma kwa Walimwengu" latoa sisitizo kwa Waislamu kuhuisha Uislamu wa Asili

    Nov 23, 2018 01:08

    Taarifa ya mwishoni mwa kongamano la siku mbili lililofanyika mjini Islamabad, Pakistan kwa anuani ya "Rehma kwa Walimwengu" limetoa sisitizo juu ya ulazima wa Waislamu duniani kushikamana na Uislamu wa asili kwa mujibu wa mafundisho ya Bwana Mtume Muhammad SAW.

  • Wapakistani waendelea kuandamana kupinga kuachiwa huru mwanamke aliyevunjia heshima matukufu ya Kiislamu

    Wapakistani waendelea kuandamana kupinga kuachiwa huru mwanamke aliyevunjia heshima matukufu ya Kiislamu

    Nov 01, 2018 12:49

    Maelfu ya watu nchini Pakistan kwa siku ya pili mtawalia hii leo wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ukiwemo mji mkuu Islamabad wakilalamikia kuachiwa huru mwanamke mmoja raia wa nchi hiyo aliyeyavunjia heshima matukufu ya Kiislamu.

  • Utayari wa maulamaa wa Pakistan wa kusaidia mchakato wa amani nchini Afghanistan

    Utayari wa maulamaa wa Pakistan wa kusaidia mchakato wa amani nchini Afghanistan

    Oct 07, 2018 03:27

    Maulamaa wa Pakistan wametangaza utayari wao wa kusaidia kuhitimisha vita nchini Afghanistan na kurejesha amani ya kudumu katika nchi hiyo.

  • Maulamaa wa Pakistan na Afghanistan wafikia mwafaka wa kufanya kikao cha pamoja ili kukomesha vita Afghanistan

    Maulamaa wa Pakistan na Afghanistan wafikia mwafaka wa kufanya kikao cha pamoja ili kukomesha vita Afghanistan

    Oct 04, 2018 04:50

    Maulamaa wa Pakistan na Afghanistan wamefikia mwafaka juu ya kufanya kikao cha pamoja kwa madhumuni ya kuhitimisha vita na mapigano nchini Afghanistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS