-
Pakistan yapinga kuhamishwa ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv kwenda Quds
Jan 19, 2017 10:55Mwakilishi wa Kudumu wa Pakistan katika Umoja wa Mataifa amepinga hatua yoyote ya uhamishaji wa ubalozi wa Marekani kutoka Tel-Aviv, Israel kwenda Baytul-Muqaddas na kwamba, kitendo hicho ni ukiukaji wa wazi wa azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Iran yalaani hujuma ya kigaidi nchini Pakistan
Nov 13, 2016 12:38Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani shambulio la kigaidi lililotokea jana Jumamosi katika mkoa wa Baluchestan nchini Pakistan, ambapo makumi ya watu waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa.
-
Magaidi washambulia chuo cha polisi na kuua 55 nchini Pakistan
Oct 25, 2016 01:08Makumi ya makurutu wameuawa baada ya genge la kigaidi kushambulia chuo cha kutoa mafunzo ya polisi kusini magharibi mwa Pakistan.
-
Magaidi wawili raia wa Pakistan wakamatwa nchini Iran
Sep 20, 2016 23:15Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) limetangaza habari ya kutiwa mbaroni raia wawili wa Pakistan katika mji wa Saravan wa mkoa wa Sistan va Baluchestan kwenye mpaka wa Iran na Pakistan.
-
Mgogoro wa Kashmiri na juhudi za Pakistan za kuufanya kuwa wa kimataifa
Sep 20, 2016 09:31Katika hali ambayo eneo lenye Waislamu wengi la Kashmiri, upande unaodhibitiwa na India, linaendelea kushuhudia malalamiko ya wananchi Waislamu, viongozi wa serikali ya Pakistan wanafanya juhudi za kuufanya mgogoro huo kuwa wa kimataifa kupitia kuishawishi jamii ya kimataifa iingilie kati.
-
Shambulio la kigaidi msikitini laua makumi ya watu Pakistan
Sep 16, 2016 22:10Watu wasiopungua 23 wameuawa na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililofanywa ndani ya msikiti katika Sala ya Ijumaa wilayani Mohmand nchini Pakistan.
-
UN yazitaka India na Pakistan ziruhusu uchunguzi Kashmir
Aug 17, 2016 23:09Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza masikitiko ya umoja huo baada ya serikali za Pakistana na India kukataa kuwapa kibali maofisa wa UN kulitembelea eneo lenye mzozo la Kashmir, katika mpaka wa nchi mbili hizo.
-
Iran: Undumakuwili ndio umeupa nguvu ugaidi duniani
Aug 09, 2016 23:19Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani hujuma ya kigaidi yaliyofanywa dhidi ya hospitali katika mji wa Quetta nchini Pakistan na kusisitiza kuwa, usuasa za kindumakuwili ndizo zimekuza na kuzipa nguvu harakati za kigaidi katika kona mbalimbali za dunia.
-
Iran yalaani shambulio la kigaidi katika hospitali ya Quetta, Pakistan
Aug 08, 2016 10:13Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amelaani shambulio la kigaidi lililofanywa katika hospitali ya mji wa Quetta nchini Pakistan.
-
Shambulizi la bomu dhidi ya hospitali Pakistan laua 50
Aug 08, 2016 03:38Makumi ya watu wameuawa katika mlipuko wa bomu uliolenga hospitali kuu ya mji wa Quetta, kusini magharibi mwa Pakistan.