Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Maandamano ya Waislamu nchini Pakistan

    Maandamano ya Waislamu nchini Pakistan

    Jul 23, 2016 09:17

    Maelfu ya wananchi wa Pakistan wameandamana katika miji mbalimbali ya nchi hiyo kupinga mauaji ya Waislamu wenzao wa madhehebu ya Shia na serikali ya nchi hiyo kushindwa kuwachukulia hatua wahusika wa mauaji hayo.

  • Zaidi ya 44 wauawa katika mapigano Kashmir inayodhibitiwa na India

    Zaidi ya 44 wauawa katika mapigano Kashmir inayodhibitiwa na India

    Jul 19, 2016 23:23

    Zaidi ya watu 44 wameuawa kufikia Jumanne katika mapigano yalianza Julai 9 katika eneo la Kashmir linalodhibitiwa na India.

  • Kiongozi wa Taliban, Mullah Mansour auawa katika hujuma ya drone

    Kiongozi wa Taliban, Mullah Mansour auawa katika hujuma ya drone

    May 22, 2016 11:50

    Kiongozi wa kundi la kigaidi la Taliban, Mullah Akhtar Mohammad Mansour ameuawa katika shambulio la ndege isiyo na rubani ya Marekani katika mkoa wa Baluchistan, mpakani mwa Afghanistan na Pakistan.

  • Larijani: Ukosefu wa usalama katika Ulimwengu wa Kiislamu ni kwa maslahi ya Israel

    Larijani: Ukosefu wa usalama katika Ulimwengu wa Kiislamu ni kwa maslahi ya Israel

    Mar 29, 2016 23:39

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesema ukosefu wa usalama na wimbi la mashambulio ya kigaidi katika Ulimwengu wa Kiislamu vinafanywa na wale wanaotumikia maslahi ya utawala wa kizayuni wa Israel.

  • Iran yalaani hujuma za kigaidi Pakistan na Iraq

    Iran yalaani hujuma za kigaidi Pakistan na Iraq

    Mar 28, 2016 03:50

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani hujuma za hivi karibuni za kigaidi katika mji wa Lahore Pakistan na karibu na Baghdad mji mkuu wa Iraq.

  • Zaidi ya watu 50 wauawa katika mripuko wa bomu Pakistan

    Zaidi ya watu 50 wauawa katika mripuko wa bomu Pakistan

    Mar 27, 2016 22:30

    Kwa akali watu 52 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa kwenye mripuko wa bomu uliotikisa mji wa Lahore, kaskazini mashariki mwa Pakistan.

  • Iran na Pakistan kuimarisha ushirikiano dhidi ya ugaidi

    Iran na Pakistan kuimarisha ushirikiano dhidi ya ugaidi

    Mar 26, 2016 03:37

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza umuhimu wa kuimarishwa ushirikiano kati ya Tehran na Islamabad katika nyuga mbalimbali hususan katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Viongozi  wa Iran na Pakistan wakutana Islamabad

    Viongozi wa Iran na Pakistan wakutana Islamabad

    Mar 25, 2016 11:21

    Rais Hassan Rouhani wa Iran na Nawaz Shariff Waziri Mkuu wa Pakistan wamekutana na kufanya mazungumzo na kujadili uimarishwaji uhusiano wa pande mbili hasa wa kiuchumi, masuala ya kieneo na kimataifa.

  • Kuachiliwa huru kiongozi wa kigaidi nchini Pakistan

    Kuachiliwa huru kiongozi wa kigaidi nchini Pakistan

    Mar 16, 2016 22:21

    Katika hali ambayo wananchi wa Pakistan walikuwa wakisubiria kuona vyombo vya mahakama vya nchi hiyo vikiwachukulia hatua kali wahusika wa vitendo vya kigaidi, ndio kwanza vimemuachilia huru kiongozi wa kundi la ukufurishaji na la kigaidi la 'Sepah Sahabah' kutoka jela.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS