Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Az-Zahar: Kuwa na uratibu wa kiusalama na Israel ni kuisaliti Palestina

    Az-Zahar: Kuwa na uratibu wa kiusalama na Israel ni kuisaliti Palestina

    Dec 06, 2020 04:35

    Mahmoud Az-Zahar, kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, watu wanaoitakidi kwamba, kuwa na uratibu wa kiusalama na Israel ni mkakati wa kitaifa wanaisaliti ardhi ya Palestina, watu wake na matukufu yake.

  • Wamorocco wachoma moto bendera ya Israel katika kuonyesha mshikamano wao na Palestina

    Wamorocco wachoma moto bendera ya Israel katika kuonyesha mshikamano wao na Palestina

    Dec 01, 2020 04:05

    Wananchi wa Morocco wamechoma bendera ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kushikana na Taifa la Palestina.

  • Uturuki yakosoa mpango wa nchi za Kiarabu wa kufungua balozi zao Baitul Muqaddas

    Uturuki yakosoa mpango wa nchi za Kiarabu wa kufungua balozi zao Baitul Muqaddas

    Nov 28, 2020 04:37

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Mevlut Cavusoglu amesema mpango wa nchi za Kiarabu wa kufungua balozi zao katika mji wa Baitul Muqaddas, utadhoofisha uwezekano wa kuundwa nchi ya Palestina.

  • Hatimaye Maher al Akhras aachiwa huru baada ya kugoma kula kwa muda mrefu

    Hatimaye Maher al Akhras aachiwa huru baada ya kugoma kula kwa muda mrefu

    Nov 26, 2020 04:49

    Maher al Akhras mateka wa Kipalestina ambaye alikabiliana pakubwa na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kugoma kula kwa muda mrefu hatimaye ameaachiwa huru kutoka katika jela za utawala huo.

  • Wanawake wa Kipalestina zaidi ya elfu 15 watiwa mbaroni na Israel kuanzia mwaka 1967 hadi sasa

    Wanawake wa Kipalestina zaidi ya elfu 15 watiwa mbaroni na Israel kuanzia mwaka 1967 hadi sasa

    Nov 26, 2020 01:04

    Kituo kimoja cha Utafiti Maalumu wa Masuala ya Mateka wa Kipalestina kimeripoti kuwa, zaidi ya wanawake wa Kipalestina elfu 15 wametiwa mbaroni na utawala wa Kizayuni tangu mwaka 1967 hadi sasa.

  • Waziri Mkuu wa Morocco: Wamorocco wanaiunga mkono Palestina kwa karne kadhaa sasa

    Waziri Mkuu wa Morocco: Wamorocco wanaiunga mkono Palestina kwa karne kadhaa sasa

    Nov 23, 2020 01:00

    Waziri Mkuu wa Morocco amesema kuwa wananchi wa Morocco wanaiunga mkono Palestina kwa karne kadhaa sasa.

  • Jeshi la Israel limeua watoto 3,000 wa Palestina tokea Intifadha ya 2

    Jeshi la Israel limeua watoto 3,000 wa Palestina tokea Intifadha ya 2

    Nov 20, 2020 23:06

    Wizara ya Habari ya Palestina imeripoti kuwa, maelfu ya watoto wa Kipalestina wameuawa shahidi mikononi mwa askari katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel tangu ilipoanza Intifadha ya Pili ya Palestina hadi sasa.

  • Umoja wa Mataifa wapasisha azimio la haki ya Wapalestina ya kujiainisha hatima yao

    Umoja wa Mataifa wapasisha azimio la haki ya Wapalestina ya kujiainisha hatima yao

    Nov 20, 2020 04:17

    Umoja wa Mataifa umepasisha azimio linalotilia mkazo haki walionayo Wapalestina ya kujiainishia hatima na mustakabali wao.

  • Kamati za Muqawama Palestina: Watawala wa Bahrain wamelisaliti taifa la Palestina

    Kamati za Muqawama Palestina: Watawala wa Bahrain wamelisaliti taifa la Palestina

    Nov 20, 2020 03:27

    Msemaji wa Kamati za Muqawama za Palestina amelaani vikali safari ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Bahrain katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na zilizopewa jina bandia la Israel.

  • Ndege za kivita za Israel zashambulia kwa mabomu Ukanda wa Gaza

    Ndege za kivita za Israel zashambulia kwa mabomu Ukanda wa Gaza

    Nov 15, 2020 08:30

    Ndege za kivita za utawala haramu wa Israel zimeshambulia ngome za Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika Ukanda wa Gaza mapema leo Jumapili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS