Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Jordan: Ufunguo wa amani Asia Magharibi ni kutoghusubiwa ardhi za Wapalestina

    Jordan: Ufunguo wa amani Asia Magharibi ni kutoghusubiwa ardhi za Wapalestina

    Sep 12, 2020 06:57

    Jordan imesema njia pekee ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Palestina na kupatikana amani ya kudumu katika eneo la Asia Magharibi ni kukomesha mienendo ya utawala wa Kizayuni wa Israel wa kupora na kukalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina.

  • "Arab League ni wenzo tu wa nchi za wasaliti"

    Sep 10, 2020 07:12

    Harakati ya Wananchi kwa ajili ya Ukombozi wa Palestina imesema kuwa, Jumuiya ya Nchi za Kiarbu (Arab League) ni wenzo tu unaotumiwa na nchi za wasaliti kwa ajili ya kufanikisha malengo ya kisaliti.

  • Mtifuano wa ana kwa ana kati ya Palestina na asasi za Waarabu kuhusu Makubaliano ya Abraham

    Mtifuano wa ana kwa ana kati ya Palestina na asasi za Waarabu kuhusu Makubaliano ya Abraham

    Sep 09, 2020 09:06

    Kikao cha leo cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Arab League kimefanyika wakati msimamo ulioonyeshwa na jumuiya hiyo pamoja na Baraza Kuu la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi GCC, hususan katika siku za karibuni kuhusu mapatano yaliyofikiwa kati ya Imarati na utawala wa Kizayuni wa Israel umethibitisha kuwa, tajiriba ya uchukuaji maamuzi kitaasisi katika Ulimwengu wa Kiarabu imefeli;

  • Palestina yasisitiza kuvunja uhusiano na nchi zitakazohamishia balozi zao Baitul Muqaddas

    Palestina yasisitiza kuvunja uhusiano na nchi zitakazohamishia balozi zao Baitul Muqaddas

    Sep 06, 2020 23:05

    Katibu Mkuu wa Kamati ya Utendaji ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) amesema, Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina itavunja uhusiano na nchi zitakazo hamishia balozi zao katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem).

  • Harakati ya PFLP yataka kutimuliwa Imarati katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Harakati ya PFLP yataka kutimuliwa Imarati katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Sep 05, 2020 21:56

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Wananchi kwa ajili ya Ukombozi wa Palestina (PFLP) amesema kuwa, hatua ya Imarati ya kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel inakinzana na uamuzi wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu hivyo ametoa wito wa kutimuliwa nchi hiyo sambamba na kurejeshwa Syria katika jumuiya hiyo.

  • Iran yakaribisha mkutano wa makundi ya Wapalestina huko Beirut

    Iran yakaribisha mkutano wa makundi ya Wapalestina huko Beirut

    Sep 05, 2020 06:45

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kikao cha pamoja cha makundi ya Wapalestina kilichofanyika katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut ni ishara kwamba viongozi wa Palestina wapo macho na wamesimama kidete mkabala wa utawala wa Kizayuni wa Israel pamoja na washirika wake.

  • Kikao cha kiistratijia cha Beirut, sauti moja ya Wapalestina

    Kikao cha kiistratijia cha Beirut, sauti moja ya Wapalestina

    Sep 05, 2020 01:53

    Makundi ya Palestina yameitisha kikao cha pamoja mjini Beirut, Lebanon na kulaani njama mbalimbali zinazofanywa dhidi ya Palestina na wamesisitiza kuwa kitu kimoja na kuendelea na muqawama katika kukabiliana na njama za Kiarabu/Kimagharibi na Kizayuni.

  • HAMAS yasisitizia umoja wa Wapalestina mkabala wa njama za Israel-Marekani

    HAMAS yasisitizia umoja wa Wapalestina mkabala wa njama za Israel-Marekani

    Sep 04, 2020 02:37

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS, Ismail Haniya kwa mara nyingine tena amesisitiza udharura wa kuungana na kushirikiana makundi yote ya kisiasa na kijamii ya Palestina kwa lengo kuzima njama za maadui zao, yaani utawala wa Kizayuni wa Israel, Marekani na baadhi ya tawala za kizandiki za Kiarabu.

  • Ripota Maalumu wa UN katika masuala ya Palestina aukosoa vikali utawala wa Kizayuni

    Ripota Maalumu wa UN katika masuala ya Palestina aukosoa vikali utawala wa Kizayuni

    Sep 03, 2020 06:23

    Ripota Maalumu na Mtaalamu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Palestina amekosoa vikali hatua ya utawala wa Kizayuni ya kuuzingira Ukanda wa Ghaza.

  • Arab League yawaacha mkono Wapalestina na kuunga mkono mapatano ya UAE na Wazayuni

    Arab League yawaacha mkono Wapalestina na kuunga mkono mapatano ya UAE na Wazayuni

    Sep 03, 2020 03:38

    Katika hatua inayoonyesha kuipiga vita na kuiacha mkono Palestina na badala yake kuunga mkono hatua ya Umoja wa Falme za Kiarabu ya kufanya mapatano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imelikataa ombi la Palestina la kuitishwa kikao cha dharura cha jumuiya hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS