Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • HAMAS yaonya kuhusu njama ya kuuyahudisha Msikiti wa Ibrahim (as)

    HAMAS yaonya kuhusu njama ya kuuyahudisha Msikiti wa Ibrahim (as)

    Aug 09, 2020 03:43

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ametoa onyo dhidi ya hatua unazopanga kuchukua utawala wa Kizayuni wa Israel za kuuyahudisha Msikiti wa Nabii Ibrahim (as) ulioko katika mji wa Al Khalil huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Palestina yalaani mpango wa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni kaskazini mwa Quds

    Palestina yalaani mpango wa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni kaskazini mwa Quds

    Aug 02, 2020 05:27

    Serikali ya Palestina imelaani hatua ya utawala ghasibu wa Israel ya kupasisha mpango wa ujenzi wa vitongoji vipya vya walowezi wa Kizayuni huko kaskazini mwa mji wa Quds (Jerusalem).

  • Vijana wa Kipalestina wakabiliana na Wazayuni waliotaka kuvamia Msikiti wa al-Aqswa

    Vijana wa Kipalestina wakabiliana na Wazayuni waliotaka kuvamia Msikiti wa al-Aqswa

    Jul 30, 2020 03:02

    Vijana wa Kipalestina wamekabiliana na walowezi wa Kizayuni waliokuwa wakifanya juhudi za kuvamia na kuingia katika Msikiti wa al-Aqswa.

  • Makundi ya Palestina yaonya kuhusu uhusiano wa baadhi ya nchi za Kiarabu na Israel

    Makundi ya Palestina yaonya kuhusu uhusiano wa baadhi ya nchi za Kiarabu na Israel

    Jul 26, 2020 21:00

    Makundi ya mapambano huko Palestina yameonya hatua ya baadhi ya mataifa ya Kiarabu ya kutaka kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Wazayuni wamebomoa nyumba zaidi ya 2,000 za Wapalestina katika mwaka 2019

    Wazayuni wamebomoa nyumba zaidi ya 2,000 za Wapalestina katika mwaka 2019

    Jul 24, 2020 03:27

    Utawala haramu na dhalimu wa Kizayuni wa Israel ulibomoa nyumba zaidi ya 2,000 za Wapalestina katika mwaka uliopita wa 2019.

  • Hamas na Fat'h kuendeleza ushirikiano kwa ajili ya kukabiliana na uvamizi wa Israel

    Hamas na Fat'h kuendeleza ushirikiano kwa ajili ya kukabiliana na uvamizi wa Israel

    Jul 23, 2020 08:31

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, harakati hiyo itaendeleza ushirikiano wake na Chama cha Fat'h kwa ajili ya kuanza mapambano yenye malengo dhidi ya utawala vamizi wa Israel.

  • Rais wa China: Kadhia ya Palestina ndiyo kuu zaidi Asia Magharibi

    Rais wa China: Kadhia ya Palestina ndiyo kuu zaidi Asia Magharibi

    Jul 21, 2020 22:01

    Rais Xi jingping wa China amesema kadhia ya Palestina ndilo swala kuu zaidi hivi sasa katika eneo la Asia Magharibi.

  • Hamas: Bomoabomoa ya nyumba za Wapalestina; utekelezaji kivitendo mpango wa kutwaa ardhi za Palestina

    Hamas: Bomoabomoa ya nyumba za Wapalestina; utekelezaji kivitendo mpango wa kutwaa ardhi za Palestina

    Jul 21, 2020 06:33

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesisitiza kuwa utawala wa Kizayuni unabomoa nyumba za wananchi wa Palestinana hivyo inatekeleza kivitendo mpango wake wa kuikalia kwa mabavu sehemu kubwa ya ardhi ya Ukingo wa Mgharibi wa Mto Jordan.

  • Jihadul Islami ya Palestina yalalamikia njama mpya za

    Jihadul Islami ya Palestina yalalamikia njama mpya za "Google" na "Apple"

    Jul 19, 2020 06:18

    Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imekosoa vikali kitendo cha mashirika ya intaneti ya Google na Apple ya Marekani ya kuondoa neno "Palestina" katika ramani zao za dunia.

  • Makundi ya Palestina yasisitiza kuwa tayari kukabiliana na uvamizi mpya wa Wazayuni

    Makundi ya Palestina yasisitiza kuwa tayari kukabiliana na uvamizi mpya wa Wazayuni

    Jul 19, 2020 02:22

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina amesisitiza kuwa, vikosi vya muqawama wa Kiislamu Palestina vimejiandaa kikamilifu kwa ajili ya kukabiliana na uvamizi mpya wa Wazayuni maghasibu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS