-
Walowezi 200 wa Kizayuni wavamia Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa
Sep 29, 2019 09:49Walowezi wapatao 200 leo wamevamia Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa wakiitikia wito wa makuhani wa utawala ghasibu wa Israel huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Makundi ya Palestina katika njia ya umoja
Sep 29, 2019 08:36Katika siku za hivi karibuni pamewasilishwa mpango wa kiubunifu wa makundi ya Palestina kwa ajili ya kufikiwa maridhiano na umoja wa kitaifa, ambao pia umepokelewa na makundi ya Kipalestina ikiwemo Harakati ya Mapambano ya Kiislamu (HAMAS).
-
Polisi ya Israel yamtia mbaroni Waziri wa Masuala ya Quds wa Palestina
Sep 26, 2019 00:44Askari polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemtia mbaroni Waziri wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina.
-
Radiamali ya Uturuki dhidi ya matamshi ya Netanyahu kuhusiana na Palestina
Sep 17, 2019 06:02Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Uturuki amesema kuwa, matamshi ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel kuhusiana na kutaka kuliunganisha eneo la Ukingo wa Magharibi na ardhi nyingine zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo ni ya kijeuri na kifidhuli.
-
Mwanachama mwingine mwandamizi wa HAMAS amewekwa kizuizini nchini Saudi Arabia
Sep 17, 2019 03:42Duru za Palestina zimetangaza kuwa mwanachama mwingine mwandamizi na muhimu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amekamatwa na kuwekwa kizuizini nchini Saudi Arabia.
-
Iran: Uchu wa madaraka wa 'Hitler mdogo' chachu ya kuangamizwa mapema Israel
Sep 15, 2019 03:19Msaidizi Maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amemtaja Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, kama 'Hitler mdogo' na kusisitiza kuwa uchu wa madaraka wa Benjamin Netanyahu utakuwa mwanzo wa kuporomoka na kusambaratika utawala huo haramu.
-
Wanamuqawama wa Palestina watungua drone ya Israel Ukanda wa Gaza
Sep 14, 2019 23:06Vikosi vya muqawama vya Palestina vimefanikiwa kutungua ndege isiyo na rubani ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
Qatar: Palestina ni kadhia muhimu zaidi ya nchi za Kiislamu na Kiarabu
Sep 12, 2019 07:16Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amelaani hatua ya Wazayuni kukiuka haki za taifa la Palestina na kusema: "Palestina ni kipaumbele cha kwanza kwa nchi za Kiislamu na Kiarabu."
-
Malengo ya safari ya waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni huko Al Khalil
Sep 06, 2019 01:34Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Utawala wa Kizayuni wa Israel Septemba Nne, kwa mara ya kwanza alifika katika mji wa Al Khalil (Hebron) katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kisha akaingia katika msikiti maarufu wa Masjid Ibrahimi katika mji huo. Kabla ya safari hiyo ya Netanyahu, rais wa utawala wa Kizayuni Reuven Rivlin naye pia alifika katika mji wa Al Khalil na kutembelea Masjid Ibrahimi.
-
Makumi ya Wapalestina wajeruhiwa kwa risasi katika maandamano ya "Haki ya Kurejea"
Aug 31, 2019 03:12Makumi ya Wapalestina wamejeruhiwa kwa risasi katika Ijumaa ya 72 ya maandamano ya 'Haki ya Kurejea' yaliyofanyika kwa kaulimbiu ya "Utiifu kwa Mashahidi.