Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Walowezi 200 wa Kizayuni wavamia Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Walowezi 200 wa Kizayuni wavamia Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Sep 29, 2019 09:49

    Walowezi wapatao 200 leo wamevamia Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa wakiitikia wito wa makuhani wa utawala ghasibu wa Israel huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Makundi ya Palestina katika njia ya umoja

    Makundi ya Palestina katika njia ya umoja

    Sep 29, 2019 08:36

    Katika siku za hivi karibuni pamewasilishwa mpango wa kiubunifu wa makundi ya Palestina kwa ajili ya kufikiwa maridhiano na umoja wa kitaifa, ambao pia umepokelewa na makundi ya Kipalestina ikiwemo Harakati ya Mapambano ya Kiislamu (HAMAS).

  • Polisi ya Israel yamtia mbaroni Waziri wa Masuala ya Quds wa Palestina

    Polisi ya Israel yamtia mbaroni Waziri wa Masuala ya Quds wa Palestina

    Sep 26, 2019 00:44

    Askari polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemtia mbaroni Waziri wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina.

  • Radiamali ya Uturuki dhidi ya matamshi ya Netanyahu kuhusiana na Palestina

    Radiamali ya Uturuki dhidi ya matamshi ya Netanyahu kuhusiana na Palestina

    Sep 17, 2019 06:02

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Uturuki amesema kuwa, matamshi ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel kuhusiana na kutaka kuliunganisha eneo la Ukingo wa Magharibi na ardhi nyingine zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo ni ya kijeuri na kifidhuli.

  • Mwanachama mwingine mwandamizi wa HAMAS amewekwa kizuizini nchini Saudi Arabia

    Mwanachama mwingine mwandamizi wa HAMAS amewekwa kizuizini nchini Saudi Arabia

    Sep 17, 2019 03:42

    Duru za Palestina zimetangaza kuwa mwanachama mwingine mwandamizi na muhimu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amekamatwa na kuwekwa kizuizini nchini Saudi Arabia.

  • Iran: Uchu wa madaraka wa 'Hitler mdogo' chachu ya kuangamizwa mapema Israel

    Iran: Uchu wa madaraka wa 'Hitler mdogo' chachu ya kuangamizwa mapema Israel

    Sep 15, 2019 03:19

    Msaidizi Maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amemtaja Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, kama 'Hitler mdogo' na kusisitiza kuwa uchu wa madaraka wa Benjamin Netanyahu utakuwa mwanzo wa kuporomoka na kusambaratika utawala huo haramu.

  • Wanamuqawama wa Palestina watungua drone ya Israel Ukanda wa Gaza

    Wanamuqawama wa Palestina watungua drone ya Israel Ukanda wa Gaza

    Sep 14, 2019 23:06

    Vikosi vya muqawama vya Palestina vimefanikiwa kutungua ndege isiyo na rubani ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Qatar: Palestina ni kadhia  muhimu zaidi ya nchi za Kiislamu na Kiarabu

    Qatar: Palestina ni kadhia muhimu zaidi ya nchi za Kiislamu na Kiarabu

    Sep 12, 2019 07:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amelaani hatua ya Wazayuni kukiuka haki za taifa la Palestina na kusema: "Palestina ni kipaumbele cha kwanza kwa nchi za Kiislamu na Kiarabu."

  • Malengo ya safari ya waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni huko Al Khalil

    Malengo ya safari ya waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni huko Al Khalil

    Sep 06, 2019 01:34

    Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Utawala wa Kizayuni wa Israel Septemba Nne, kwa mara ya kwanza alifika katika mji wa Al Khalil (Hebron) katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kisha akaingia katika msikiti maarufu wa Masjid Ibrahimi katika mji huo. Kabla ya safari hiyo ya Netanyahu, rais wa utawala wa Kizayuni Reuven Rivlin naye pia alifika katika mji wa Al Khalil na kutembelea Masjid Ibrahimi.

  • Makumi ya Wapalestina wajeruhiwa kwa risasi katika maandamano ya

    Makumi ya Wapalestina wajeruhiwa kwa risasi katika maandamano ya "Haki ya Kurejea"

    Aug 31, 2019 03:12

    Makumi ya Wapalestina wamejeruhiwa kwa risasi katika Ijumaa ya 72 ya maandamano ya 'Haki ya Kurejea' yaliyofanyika kwa kaulimbiu ya "Utiifu kwa Mashahidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS