Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Kamisheni: Israel imewakamata watoto 16,500 wa Kipalestina

    Kamisheni: Israel imewakamata watoto 16,500 wa Kipalestina

    May 26, 2019 23:52

    Ripoti mpya imefichua kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umewatia mbaroni watoto 16,500 tangu ilipoanza Intifadha ya Pili mwishoni mwa mwaka 2000.

  • Qatar: Amani ya Palestina sharti ijumuishe suluhu inayokubaliwa na Wapalestina

    Qatar: Amani ya Palestina sharti ijumuishe suluhu inayokubaliwa na Wapalestina

    May 25, 2019 05:48

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar sambamba na kukosoa mpango wa kufanyika mkutano wa Marekani wa kuzindua hatua ya mwanzo ya utekelezaji wa 'Muamala wa Karne' mwezi ujao wa Juni nchini Bahrain, imesema matakwa ya wananchi wa Palestina lazima yajumuishe kwenye mipango yoyote ya amani na maendeleo inayowahusu.

  • Kufungwa UNRWA; takwa jipya la Marekani dhidi ya Palestina

    Kufungwa UNRWA; takwa jipya la Marekani dhidi ya Palestina

    May 24, 2019 00:11

    Rais Donald Trump wa Marekani alipoingia katika ikulu ya nchi hiyo White House, alichukua msimamo wa kuiunga mkono Israel bila ya masharti yoyote na wakati huo huo kudhihirisha uhasama wa waziwazi dhidi ya Wapalestina.

  • Waziri Mkuu wa Malaysia: Amani ya dunia inategemea amani ya Palestina

    Waziri Mkuu wa Malaysia: Amani ya dunia inategemea amani ya Palestina

    May 23, 2019 23:11

    Waziri Mkuu wa Malaysia, Mahathir Mohammed amesema iwapo dunia inataka kushuhudiwa amani endelevu, sharti kadhia ya Palestina ipatiwe ufumbuzi.

  • Palestina: Mkutano wa US nchini Bahrain ni wa kuboresha uhusiano wa Waarabu na Israel

    Palestina: Mkutano wa US nchini Bahrain ni wa kuboresha uhusiano wa Waarabu na Israel

    May 22, 2019 03:39

    Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imekosoa vikali mpango wa kufanyika mkutano wa Marekani wa kuzindua hatua ya mwanzo ya utekelezaji wa 'Muamala wa Karne' mwezi ujao wa Juni nchini Bahrain ikisisitiza kuwa kongamano hilo halina lengo jingine ghairi ya kuandaa mazingira ya kuimarisha na kufanya wa kawaida uhusiano kati ya Waarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Jordan yaombwa isishiriki mkutano wa Marekani nchini Bahrain

    Jordan yaombwa isishiriki mkutano wa Marekani nchini Bahrain

    May 21, 2019 23:13

    Serikali ya Jordan imetakiwa kutoshiriki mkutano wa Marekani wenye lengo la kuzindua hatua ya mwanzo ya utekelezaji wa 'Muamala wa Karne' unaotazamiwa kufanyika mwezi ujao wa Juni nchini Bahrain.

  • Visa vya Wazayuni kuwagonga kwa gari Wapalestina kwa makusudi vyaongezeka

    Visa vya Wazayuni kuwagonga kwa gari Wapalestina kwa makusudi vyaongezeka

    May 21, 2019 09:26

    Mlowezi wa Kizayuni amemgonga kwa gari Mpalestina kwa makusudi na kumuua shahidi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan unaokaliwa kwa mabavu.

  • Riyadh al-Maliki: Mpango wa

    Riyadh al-Maliki: Mpango wa "Muamala wa Karne" ni sawa na kurejea katika ukoloni

    May 18, 2019 20:50

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa, kuukubali mpango wa amani wa Marekani katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel unaojulikana kama "Muamala wa Karne" ni kurejea katika kipindi cha ukoloni.

  • Iran: Israel ndiyo sababu ya migogoro yote ya kibinadamu Asia Magharibi

    Iran: Israel ndiyo sababu ya migogoro yote ya kibinadamu Asia Magharibi

    May 14, 2019 03:22

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndilo chimbuko la migogoro yote ya kibinadamu katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).

  • Rais Mahmoud Abbas: Taifa la Palestina halitaukubali mpango wa 'Muamala wa Karne'

    Rais Mahmoud Abbas: Taifa la Palestina halitaukubali mpango wa 'Muamala wa Karne'

    May 13, 2019 02:46

    Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa, taifa la Palestina halitaukubali mpango wa Marekani wa 'Muamala ya Karne' kwa namna yoyote ile.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS