Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon, Palestina wasusia 'Muamala wa Karne'

    Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon, Palestina wasusia 'Muamala wa Karne'

    Jun 24, 2019 08:18

    Wanazuoni na wasomi wa Kiislamu wa Lebanon na Palestina wamelaani njama ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina iliyopewa jina la 'Muamala wa Karne'.

  • Wapalestina 79 wajeruhiwa katika maandamano ya  'Haki ya Kurejea'

    Wapalestina 79 wajeruhiwa katika maandamano ya 'Haki ya Kurejea'

    Jun 22, 2019 02:47

    Wizara ya Afya ya Palestina imesema Wapalestina 79 wamejeruhiwa katika Ijumaa ya 63 ya maandamano makubwa ya 'Haki ya Kurejea' katika Ukanda wa Ghaza.

  • Wafanyabiashara wa Kipalestina wasusia mkutano wa Trump, Bahrain

    Wafanyabiashara wa Kipalestina wasusia mkutano wa Trump, Bahrain

    Jun 21, 2019 00:08

    Wafanyabiashara na wawekezaji mashuhuri wa Kipalestina wametangaza bayana kuwa hawatoshiriki mkutano wa 'kiuchumi wa Manama' nchini Bahrain ulioitishwa na Marekani, wenye lengo la kuzindua 'Muamala wa Karne', wakisisitiza kuwa kile ambacho Wapalestina wanahitajia ni uhuru wao na wala sio fedha.

  • Watunisia waandamana dhidi ya Israel, waiunga mkono Palestina

    Watunisia waandamana dhidi ya Israel, waiunga mkono Palestina

    Jun 16, 2019 02:29

    Makumi ya wanaharakati wa kisiasa na kijamii wa nchini Tunisia kwa mara nyingine wamefanya maandamano katika barabara za mji mkuu Tunis, kulaani mpango wowote wa kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel, sambamba na kuonyesha uungaji mkono wao kwa wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Umoja wa Mataifa waunga mkono kuhitimishwa ukaliwaji mabavu ardhi za Palestina

    Umoja wa Mataifa waunga mkono kuhitimishwa ukaliwaji mabavu ardhi za Palestina

    Jun 15, 2019 06:19

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameunga mkono kuhitimishwa kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina.

  • Romania yasema haina mpango wa kuuhamishia ubalozi wake Quds

    Romania yasema haina mpango wa kuuhamishia ubalozi wake Quds

    Jun 15, 2019 03:34

    Katibu katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Romania amesema nchi hiyo ya Ulaya haina mpango wowote wa kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu, kutoka Tel Aviv.

  • Maulama wa Palestina: Kikao cha Bahrain kina lengo la kuifuta Palestina na kusambaratisha matukufu ya Wapalestina

    Maulama wa Palestina: Kikao cha Bahrain kina lengo la kuifuta Palestina na kusambaratisha matukufu ya Wapalestina

    Jun 13, 2019 21:54

    Jumatano yana Jumuiya ya maulama wa Palestina ilifanya kikao kilichopewa jina la 'Maulama wa Palestina katika Kukabiliana na Mpango wa Muamala wa Karne wa Trump' huko Ukanda wa Gaza kwa lengo la kujadili malengo ya mkutano wa kiuchumi wa nchini Bahrain.

  • Utawala wa Kizayuni wateketeza mashamba ya mizaituni na mabwawa ya maji Ukingo wa Magharibi

    Utawala wa Kizayuni wateketeza mashamba ya mizaituni na mabwawa ya maji Ukingo wa Magharibi

    Jun 11, 2019 08:57

    Katika mwendelezo wa jinai na ukatili wake, utawala haramu wa Kizayuni umeteketeza zaidi ya miti 550 ya mizaituni yenye matunda na mabwawa kadhaa ya kuhifadhia maji katika mkoa wa Tubas, kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Ufaransa yakosoa mpango wa 'Muamala wa Karne'

    Ufaransa yakosoa mpango wa 'Muamala wa Karne'

    Jun 11, 2019 00:51

    Licha ya juhudi kuibwa zinazofanywa na Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kufanikisha mpango wa 'Muamala wa Karne' ambao unalenga kudhamini maslahi ya utawala haramu wa Israel kwa madhara ya Wapalestina, lakini washirika wa Ulaya wa Washington ikiwemo Ufaransa, wanaendelea kuukosoa mpango huo.

  • Kiongozi Muadhamu: Nchi za Kiislamu zipambane na adui ghasibu anayetenda jinai Palestina

    Kiongozi Muadhamu: Nchi za Kiislamu zipambane na adui ghasibu anayetenda jinai Palestina

    Jun 05, 2019 07:25

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, nchi za Kiislamu zina wajibu wa kukabiliana na adui ghasibu anayetenda jinai huko Palestina na sio kuzozana zenyewe kwa zenyewe.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS