Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Wapalestina waishukuru Iran kwa kuinua uwezo wa kijeshi wa muqawama

    Wapalestina waishukuru Iran kwa kuinua uwezo wa kijeshi wa muqawama

    May 09, 2019 00:01

    Msemaji Rasmi wa Brigedi ya Quds, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesema kuwa utumiwaji wa makombora aina ya Badr 3, unaonyesha ustawi wa uwezo katika sekta ya kijeshi ya muqawama wa Palestina.

  • Ubalozi wa Palestina Tehran: Trump ni kijakazi cha Netanyahu

    Ubalozi wa Palestina Tehran: Trump ni kijakazi cha Netanyahu

    May 08, 2019 23:46

    Ubalozi wa Palestina katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kukosoa vikali sera za Rais Donald Trump wa Marekani za kuunga mkono na kuukingia kifua utawala wa Kizayuni wa Israel, umebainisha kuwa Trump anapokea na kutekeleza maagizo kutoka kwa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel.

  • Iran: Nchi za Kiislamu zinapaswa kusimamisha mauaji ya Israel dhidi ya Wapalestina

    Iran: Nchi za Kiislamu zinapaswa kusimamisha mauaji ya Israel dhidi ya Wapalestina

    May 07, 2019 03:09

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi za Kiislamu zinapaswa kuchua hatua zote kuhakikisha kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel unakomesha mauaji ya halaiki dhidi ya Wapalestina.

  • Utawala wa Kizayuni umelazimika kukubali usitishaji vita kati yake na Palestina

    Utawala wa Kizayuni umelazimika kukubali usitishaji vita kati yake na Palestina

    May 06, 2019 09:02

    Duru za habari za Palestina zimetangaza kuwa utawala wa Kizayuni hatimaye umekubali kusimamisha vita ulivyovianzisha huko Ukanda wa Ghaza kutokana na mashinikizo ya fikra za walimwengu kutoka nchi mbalimbali duniani.

  • Wamagharibi wakasirishwa na uwezo wa kujihami Wapalestina; Uturuki yailaani Israel kwa kushambulia ofisi yake Ghaza

    Wamagharibi wakasirishwa na uwezo wa kujihami Wapalestina; Uturuki yailaani Israel kwa kushambulia ofisi yake Ghaza

    May 05, 2019 03:07

    Serikali ya Marekani imefumbia macho jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Palestina na badala yake imelaani mashambulizi ya kujihami kwa makombora yanayofanywa na wanamapambano wa Kiislamu huko Ghaza.

  • Hamas: Mamlaka ya Ndani ya Palestina sio mwakilishi wa Wapalestina

    Hamas: Mamlaka ya Ndani ya Palestina sio mwakilishi wa Wapalestina

    Apr 17, 2019 09:51

    Mahmoud al-Zahar, mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas amesema kuwa, Mamlaka ya Ndani ya Palestina sio mwakilishi wa Wapalestina.

  • EU yatakiwa kupinga njama za Marekani dhidi ya Wapalestina

    EU yatakiwa kupinga njama za Marekani dhidi ya Wapalestina "Muamala wa Karne"

    Apr 16, 2019 09:45

    Viongozi na wanasiasa waandamizi wa zamani wa Ulaya wameuandikia barua Umoja wa Ulaya, wakiuasa usikubali kuunga mkono mpango wa Marekani wenye njama dhidi ya Wapalestina uliopewa jina la "Muamala wa Karne".

  • Hamas: Serikali mpya ya Abbas itasahilisha utekelezaji wa

    Hamas: Serikali mpya ya Abbas itasahilisha utekelezaji wa "Muamala wa Karne"

    Apr 14, 2019 02:56

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imekosoa uundwaji wa serikali mpya Palestina inayotawaliwa na wanachama wa chama chake cha Fath, ikisisitiza kuwa serikali ya namna hiyo itawepesisha utekeleza wa njama za Marekani dhidi ya Wapalestina zilizopewa jina "Muamala wa Karne".

  • Waziri aongoza walowezi wa Kizayuni kuuhujumu Msikiti wa al Aqsa mjini Quds

    Waziri aongoza walowezi wa Kizayuni kuuhujumu Msikiti wa al Aqsa mjini Quds

    Apr 12, 2019 00:01

    Waziri mmoja wa utawala wa Kizayuni wa Israel ameliongoza genge la walowezi wa Kizayuni katika kushambulia na kuvunjia heshima Msikiti mtukufu wa al-Aqsa na kibla cha kwanza cha Waislamu wote duniani.

  • Wizara: Israel inatumia gesi za sumu dhidi ya waandamanaji wa Kipalestina

    Wizara: Israel inatumia gesi za sumu dhidi ya waandamanaji wa Kipalestina

    Apr 09, 2019 10:08

    Msemaji wa Wizara ya Afya ya Gaza amesema utawala wa Kizayuni wa Israel umekuwa ukitumia gesi za sumu dhidi ya waandamanaji wa Kipalestina katika ukanda huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS