-
Mamia waandamana London, Uingereza dhidi ya utawala haramu wa Israel
Mar 30, 2019 22:42Mamia ya watu wamejitokeza katika barabara za London, mji mkuu wa Uingereza kushiriki maandamano dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Umoja wa Kitaifa, wa Kiislamu na wa Kibinadamu; masharti ya lazima ya ushindi wa Wapalestina
Mar 30, 2019 22:01Ubalozi wa Palestina mjini Tehran umetoa taarifa kwa munasaba wa Siku ya Ardhi Palestina na kusisitiza kuhusu udharura wa kuwepo umoja wa kitaifa, wa Kiislamu na wa Kibinadamu kama masharti yasiyoepukika kwa ajili ya kupatikana ushindi mbele ya njama hatari za maadui.
-
Askari wa Israel waua shahidi Wapalestina wawili katika maandamano Ghaza
Mar 30, 2019 11:20Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewapiga risasi na kuwaua shahidi Wapalestina wawili na kuwajeruhi wengine kadhaa katika Ukanda wa Ghaza wakati wa maandamano ya amani yaliyoitishwa kwa lengo la kuadhimisha kuanza 'Maandamano Makubwa ya Kurejea' na 'Siku ya Ardhi ya Palestina.'
-
Umuhimu wa pande kadhaa wa maadhimisho ya mwaka wa 43 wa Siku ya Ardhi huko Palestina
Mar 30, 2019 06:11Jumamosi ya leo ya tarehe 30 Machi 2019, inasadifiana na kuwadia mwaka wa 43 wa Siku ya Ardhi huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala vamizi wa Israel.
-
Iran: Amani ya kudumu itapatikana kwa kutamatishwa ukaliaji wa mabavu wa adhi za Palestina
Mar 30, 2019 03:27Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka mmoja ya Maandamano ya Wapalestina ya "Haki ya Kurejea" yaliyoanza rasmi tarehe 30 Machi mwaka jana 2018.
-
Ubalozi wa Palestina Tehran: Kulaani kwa maneno tu hakutoshi, lazima zichukuliwe hatua kukabiliana na Israel
Mar 28, 2019 00:08Ubalozi wa Palestina mjini Tehran umetoa taarifa maalumu inayosisitiza kwamba: Kutazama tu unyama unaofanywa na kuulaani kwa maneno matupu utawala wa Kizayuni wa Israel si dawa ya kutibu machungu, bali kuna ulazima wa kukabiliana kivitendo na utawala huo haramu.
-
Jihadul Islami yawaonya Wazayuni wasithubutu kushambulia Ghaza
Mar 25, 2019 09:05Katibu Mkuu wa harakati ya Jihadul Islami ya Palestina ameuonya utawala wa Kizayuni wa Israel usithubutu kufanya shambulio lolote dhidi ya Ukanda wa Ghaza.
-
Haniyeh: Israel inakabiliwa na mazingira magumu sana ya baadaye
Mar 23, 2019 21:58Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS, Ismail Haniyeh amesema kuwa, utawala haramu wa Israel unatakiwa kufahamu ujumbe wa maandamano ya kurejea yanayoendelea katika mpaka wa Ukanda wa Ghaza na ardhi nyingine za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na ambazo zimepachikwa jina bandia la Israel na kwamba kinyume na hivyo basi utakabiliwa na mustakbali mgumu zaidi.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman: Marekani haiwezi kulazimisha kwa mabavu mpango wake wa "Muamala wa Karne"
Mar 19, 2019 23:03Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman Yusuf bin Alawi amesema: Marekani haiwezi kuutekeleza mpango wa "Muamala wa Karne" pasi na kukubali kuwepo nchi huru ya Palestina.
-
UN yailaani Israel kwa kuwapokonya Wapalestina rasilimali
Mar 18, 2019 23:34Mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya haki za binadamu katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Palestina Michael Lynk amesema upokonyaji wa maliasili za Wapalestina unaofanywa na utawala haramu wa Israel katika maeneo ya Palestina ni uporaji wa wazi.