-
Israel yalegeza msimamo baada ya majibu makali ya wanamapambano wa Palestina
May 31, 2018 10:18Baada ya wanamapambano wa Palestina kutoa majibu makali dhidi ya mashambulizi ya kivamizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni, hatimaye baraza la masuala ya usalama la Israel limesema kuwa, utawala huo hauna nia yoyote ya kuukalia tena kwa mabavu Ukanda wa Ghaza.
-
Mufti wa Palestina: Nchi za Kiislamu zivunje uhusiano na nchi zinazoitambua Quds kuwa mji mkuu wa Israel
May 31, 2018 03:29Mufti wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu amezitaka nchi za Kiarabu na Kiislamu zivunje uhusiano wao na nchi zinazoitambua Quds tukufu kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Kukaribia Siku ya Kimataifa ya Quds; kuunga mkono taifa madhulumu la Palestina na majukumu ya Kimataifa
May 31, 2018 00:48"Ulimwengu wa Kiislamu leo unapaswa kuwa na nafasi ya kimsingi katika masuala muhimu na usiruhusu uzoefu mchungu wa miongo iliyopita na kuenea satwa ya madola makubwa na athari zake za muda mrefu kukaririwa."
-
HRW: Benki za Israel zinafadhili jinai za kivita dhidi ya Wapalestina
May 30, 2018 03:45Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limesema benki za Israel zinafadhili jinai za kivita za utawala huo wa Kizayuni dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.
-
Israel yawakamata wanaharakati na boti zao Ukanda wa Ghaza
May 30, 2018 03:06Vikosi vya baharini vya utawala wa Kizayuni wa Israel jana vimeusimamisha msafara wa boti za wanaharakati wa Kipalestina waliokuwa na nia ya kuvunja mzingiro wa kidhalimu wa miaka 11 katika Ukanda wa Ghaza.
-
Askari wa Israel wampiga risasi na kumjeruhi vibaya mwanamke kiziwi wa Palestina
May 28, 2018 21:13Askari polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemmiminia risasi na kumjeruhi vibaya mwanamke asiye na uwezo wa kusikia wa Kipalestina katika mji mtukufu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.
-
Gazeti la al Manar la Palestina: Israel imetuma madaktari kumtibu bin Salman
May 28, 2018 21:06Gazeti la al Manar linalochapishwa Baytul Muqaddas huko Palestina limeandika kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umetuma timu maalumu ya madaktari mjini Riyadh Saudi Arabia kwenda kusimamia matibabu ya mrithi wa kiti cha ufalme wa nchi hiyo, Muhammad bin Salman aliyejeruhiwa vibaya kwa risasi.
-
Wanaharakati wa haki za binadamu Ulaya wawaunga mkono mashahidi wa Palestina
May 28, 2018 10:29Wanaharakati wa haki za binadamu mjini Brussels Ubelgiji wameweka pea 4500 za viatu mbele ya jengo la Baraza la Umoja wa Ulaya ikiwa ni katika kuwaunga mkono wananchi wa Palestina wanaouliwa shahidi kila leo na wanajeshi katili wa Israel.
-
Hatua kwa hatua kuelekea Siku ya Kimataifa ya Quds; Palestina imeanzia Mto Jordan hadi Bahari ya Sham!
May 28, 2018 07:06Palestina ni suala kuu na la kwanza la Ulimwengu wa Kiislamu; na kufanyika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds katika Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani kunatilia mkazo suala hilo muhimu na la kihistoria.
-
Kifaru cha Israel chaua shahidi Wapalestina 3 Gaza
May 27, 2018 09:13Kwa akali Wapalestina watatu wameuawa shahidi kufuatia shambulizi la kifaru cha utawala wa Kizayuni wa Israel mashariki mwa mji wa Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza.