Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Hamas yajibu vitisho vya Israel, yasema maandamano yataendelea

    Hamas yajibu vitisho vya Israel, yasema maandamano yataendelea

    Apr 10, 2018 03:00

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema maandamano makubwa ya amani yataendelea hadi pale mzingiro wa kibaguzi katika Ukanda wa Gaza utakapoondolewa.

  • Arab League yalaani jinai za karibuni za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina

    Arab League yalaani jinai za karibuni za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina

    Apr 09, 2018 02:42

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) amelaani jinai za wanajeshi wa utawala wa Kizayuni dhidi ya raia wa Palestina.

  • Palestina yataka jamii ya kimataifa ichukue hatua imara kukabiliana na kura ya turufu ya Marekani

    Palestina yataka jamii ya kimataifa ichukue hatua imara kukabiliana na kura ya turufu ya Marekani

    Apr 08, 2018 09:25

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imetoa taarifa na kuitaka jamii ya kimatiafa itafute mbinu mpya ya kukabiliana na namna Marekani inavyotumia vibaya kura yake ya turufu au veto katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mtaifa kwa ajili ya kuutetea utawala wa Kizyauni wa Israel unaotenda jinai dhidi ya Wapalestina.

  • Israel: Tutaishambulia Hamas iwapo maandamano ya Gaza yataendelea

    Israel: Tutaishambulia Hamas iwapo maandamano ya Gaza yataendelea

    Apr 08, 2018 03:19

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umetishia kuishambulia Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas, iwapo Wapalestina wataendelea na maandamano yao katika mpaka wa Gaza.

  • Chama cha Leba cha UK chalaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina

    Chama cha Leba cha UK chalaani ukatili wa Israel dhidi ya Wapalestina

    Apr 08, 2018 03:10

    Jeremy Corbyn, Kiongozi wa Chama cha Leba cha nchini Uingereza amelaani vikali kimya cha nchi za Magharibi mbele ya mauaji ya makumi ya Wapalestina yaliyofanywa na vikosi katili vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika mpaka wa Ghaza.

  • Tunisia yawazuia wanamichezo wa Israel kuingia nchini humo

    Tunisia yawazuia wanamichezo wa Israel kuingia nchini humo

    Apr 07, 2018 22:48

    Mahakama moja nchini Tunisia imewapiga marufuku wanamichezo wa taekwondo wa utawala wa Kizayuni wa Israel kuingia nchini humo.

  • Siku ya Watoto Wapalestina, Watoto Ambao ni Waathirika wa Jinai za Israel

    Siku ya Watoto Wapalestina, Watoto Ambao ni Waathirika wa Jinai za Israel

    Apr 07, 2018 03:22

    Aprili Tano ilikuwa Siku ya Kimataifa ya Watoto wa Palestina. Katika siku hii, Wapalestina walisisitiza kuhusu kutetea haki za watoto na pia walikumbusha ukiukwaji mkubwa wa haki za watoto unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israeli ikiwa ni pamoja na kutiwa mbaroni, kuteswa na kuuawa.

  • Taarifa ya NAM ya kulaani jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Taarifa ya NAM ya kulaani jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Apr 07, 2018 03:09

    Taarifa ya mwisho ya mkutano wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM) uliofunga shughuli zake jana Ijumaa katika mji mkuu wa Azerbaijan Baku, imelaani sera zilizo kinyume cha sheria za utawala wa Kizayuni wa Israel, huku ikisisitiza juu ya udharura wa kuwepo jitihada za pamoja za kutamatisha ukaliaji wa mabavu wa ardhi za Palestina.

  • Wapalestina waandamana katika Ijumaa ya pili ya maandamano ya

    Wapalestina waandamana katika Ijumaa ya pili ya maandamano ya "Haki ya Kurejea"

    Apr 06, 2018 09:34

    Maelfu ya Wapalestina wamejitokeza leo na kuandamana huko Gaza Palestina katika Ijumaa ya pili ya maandamano ya "Haki ya Kurejea".

  • "Marekani imemshurutisha Bin Salman kuufanya wa kawaida uhusiano wa Saudia na Israel"

    Apr 06, 2018 09:26

    Imebainika kuwa Marekani imempa Mohammad Bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia masharti kadhaa ikiwemo kuufanya wa kawaida uhusiano wa Riyadh na Tel Aviv, ili imsadie kutwaa kiti hicho bila pingamizi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS