Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Marekani yapata pigo jingine, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa launga mkono Quds

    Marekani yapata pigo jingine, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa launga mkono Quds

    Dec 22, 2017 00:57

    Licha ya vitisho vilivyotolewa na Marekani dhidi ya wanachama wa Umoja wa Mataifa, lakini Baraza Kuu la umoja huo limepasisha kwa kauli moja azimio linaloitaka Marekani kufuta kauli yake ya kuitambua Quds kuwa eti ni mji mkuu wa Israel.

  • Syria yaahidi kujibu jinai zote za Israel nchini humo

    Syria yaahidi kujibu jinai zote za Israel nchini humo

    Dec 22, 2017 00:54

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria ameuonya utawala wa Kizayuni na kuuhakikishia kuwa Damascus itajibu mashambulizi yote yanayofanywa na Israel katika ardhi ya Syria.

  • Mabunge ya nchi za Kiislamu yatakiwa kuingilia kadhia ya Palestina

    Mabunge ya nchi za Kiislamu yatakiwa kuingilia kadhia ya Palestina

    Dec 20, 2017 23:12

    Mkuu wa Taasisi ya Utafiti ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) ameyataka mabunge ya nchi za Kiislamu kuingia kadhia ya Quds na Palestina ili kukabiliana na njama za Marekani za kutaka kuwapora Waislamu Kibla chao cha Kwanza.

  • Haniya: Quds ni Mji Mkuu wa Palestina na Waislamu wote

    Haniya: Quds ni Mji Mkuu wa Palestina na Waislamu wote

    Dec 20, 2017 04:43

    Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesema kuwa, "Quds Tukuf (Jerusalem) ni mji mmoja usioweza kugawanywa pande mbili za Mashariki na Magharibi na ni mji mkuu wa Wapalaestina na Waislamu wote."

  • Biashara ya Aal Saud na Marekani: Tutaiunga mkono Israel; mtuachie tufanye jinai Yemen

    Biashara ya Aal Saud na Marekani: Tutaiunga mkono Israel; mtuachie tufanye jinai Yemen

    Dec 19, 2017 02:45

    Vitendo na misimamo ya ukoo wa Aal Saud kuhusiana na Quds na Yemen inathibitisha kwamba serikali za Saudia na Marekani zimefikia makubaliano maalumu ambayo matokeo yake ni kuwa, ukoo wa Aal Saud utaishia patupu.

  • Kamati ya Palestina ya Muungano wa Mambunge ya Kiislamu yalaani hatua ya Trump kuhusu Quds

    Kamati ya Palestina ya Muungano wa Mambunge ya Kiislamu yalaani hatua ya Trump kuhusu Quds

    Dec 18, 2017 23:20

    Kamati ya Palestina ya Muungano wa Mabunge ya Nchi za Kiislamu imesisitiza kuwa, hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuitangaza Beitul-Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala ghasibu wa Israel ni ukiukaji wa wazi wa haki za wananchi wa Palestina.

  • Utawala wa Kizayuni na utumiaji wa gesi za sumu dhidi ya Wapalestina

    Utawala wa Kizayuni na utumiaji wa gesi za sumu dhidi ya Wapalestina

    Dec 18, 2017 08:00

    Kitendo cha kiuadui cha rais wa Marekani, Donald Trump cha kuitangaza Quds tukufu kuwa eti ni mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kimekiuka sheria na makubaliano yote ya kimataifa na kuandaa uwanja wa kufutwa kikamilifu taifa la Palestina katika uso wa dunia.

  • Kikao cha dharura cha kamati ya Palestina ya Muungano wa Mabunge ya Kiislamu kufanyika kesho Tehran

    Kikao cha dharura cha kamati ya Palestina ya Muungano wa Mabunge ya Kiislamu kufanyika kesho Tehran

    Dec 17, 2017 10:43

    Kikao cha dharura cha kamati ya Palestina ya Muungano wa Kimataifa wa Mabunge ya nchi za Kiislamu kinatarajiwa kufanyika kesho hapa mjini Tehran kwa kuhudhuriwa na Maspika wa Mabunge ya nchi tatu za Iran, Mali na Iraq.

  • Wananchi wa Indonesia waandamana kuwaunga mkono Wapalestina

    Wananchi wa Indonesia waandamana kuwaunga mkono Wapalestina

    Dec 17, 2017 04:39

    Makumi ya maelfu ya wananchi wa Indonesia wamefanya maandamano Jumapili ya leo kulaani uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kuitangaza Quds kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel sambamba na kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Hamas: Hakuna nchi inayoitwa 'Israel' hata mji mkuu wake uwe 'Quds'

    Hamas: Hakuna nchi inayoitwa 'Israel' hata mji mkuu wake uwe 'Quds'

    Dec 14, 2017 12:31

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani vikali uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump wa kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa, hakuna dola linaloitwa Israel hata mji mkuu wake uwe Quds tukufu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS