-
Erdogan: Israel ni dola vamizi na la kigaidi
Dec 13, 2017 12:43Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema kuwa, kuwa na nguvu na kumiliki silaha si dalili kuwa Marekani ina nguvu, na maamuzi yake yatasababisha matatizo makubwa katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Jumuiya ya NAM yakosoa hatua ya Marekani dhidi ya Quds
Dec 13, 2017 11:55Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM) imekosoa vikali hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuitambua Quds kuwa eti mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Nchi za kaskazini mwa Afrika zaunga mkono pakubwa suala la Quds
Dec 13, 2017 04:18Nchi na taasisi za Kiislamu za Kiafrika zimetangaza uungaji mkono wao kwa Quds Tukufu na wananchi wa Palestinan kupitia hatua mbalimbali.
-
Wapalestina wakaribisha uungaji mkono wa kamanda wa Kikosi cha Quds cha Iran
Dec 13, 2017 00:20Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Wananchi kwa ajili ya Ukombozi wa Palestina amekaribisha kauli ya kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu Meja Jenerali Qassem Suleimani ambaye ametangaza kuunga mkono harakati za ukombozi wa Palestina.
-
Wapalestina wapatao 1,800 wamejeruhiwa tangu Trump atoe tangazo kuhusu Quds, 6 wameshauawa shahidi Gaza
Dec 12, 2017 13:11Shirika la Hilali Nyekundu la Palestina limetangaza kuwa tangu yalipoanza maandamano ya kupinga uamuzi wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kuitangaza Baitul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni, hadi sasa Wapalestina 1,795 wamejeruhiwa katika Ukanda wa Gaza na Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Jenerali Qassem Soleimani: Iran iko tayari kuvisaidia vikosi vya Muqawama vya Palestina kwa kila hali
Dec 12, 2017 12:48Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) ametangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kutoa msukumo na kuvisaidia kwa kila hali vikosi vya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina.
-
Trump, Quds inayokaliwa kwa mabavu na sheria za kimataifa
Dec 09, 2017 03:32Tukiachilia mbali kujadili ni matokeo gani hasi na mabaya utakuwa nayo uamuzi aliochukua Donald Trump kuitangaza Baitul Muqaddas inayokaliwa kwa mabavu kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni, kuuhakiki uamuzi huo katika mtazamo wa sheria za kimataifa kuna umuhimu mkubwa.
-
Mahojiano ya Salum Bendera na Sheikh Ali Ammar Mwazoa kuhusu uamuzi wa Trump kuhusiana na Quds + SAUTI
Dec 08, 2017 13:45Waislamu na wapenda haki kote ulimwenguni, jumuiya na asasi za kimataifa zimeendelea kupaza sauti kulalamikia na kuulaani uamuzi wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kuitangaza Beitul-Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala ghasibu wa Israe.
-
Katibu Mkuu wa Ansarullah Yemen: Marekani inashiriki kuikalia kwa mabavu Palestina
Dec 08, 2017 01:17Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesisitiza kuwa Washington inashirikiana na utawala wa Kizayuni kuikalia kwa mabavu Palestina.
-
Mahojiano ya Salum Bendera na Ustadh Muhammad Qassim kuhusu uamuzi wa Trump kuhusiana na Quds + SAUTI
Dec 07, 2017 13:21Uamuzi wa rais wa Marekani wa kuutangaza mji mtakatifu wa Quds wenye Kibla cha Kwanza cha Waislamu kuwa eti ni mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel umeendelea kulaaniwa na hata waitifaki wa karibu wa Marekani katika kila kona ya dunia.