Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Hizbullah: Mapambano ndio njia pekee ya Wapalestina kupata ushindi

    Hizbullah: Mapambano ndio njia pekee ya Wapalestina kupata ushindi

    Dec 07, 2017 11:26

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, hatua ya Rais wa Marekani ya kuutangaza mji wa Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala haramu wa Israel, utakuwa ni msukumo kwa watu waliokuwa kando, lakini kwa sasa wanapaswa kuingia katika medani bila ya kisingizio chochote.

  • Rais wa Iran asisitiza juu ya Waislamu kuwa macho na Ubeberu na Uzayuni

    Rais wa Iran asisitiza juu ya Waislamu kuwa macho na Ubeberu na Uzayuni

    Dec 06, 2017 22:13

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya udharura wa Waiskamu kuwa macho na njama za maadui.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Bila shaka Palestina itakombolewa tu

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Bila shaka Palestina itakombolewa tu

    Dec 06, 2017 11:05

    Ayatullah Ali Khamanei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezitaja Marekani na utawala haramu wa Israel kuwa Mafirauni wa zama na dunia ya leo.

  • Wapalestina walaani mpango wa kihaini wa mrithi wa ufalme wa Saudia

    Wapalestina walaani mpango wa kihaini wa mrithi wa ufalme wa Saudia

    Dec 05, 2017 12:38

    Wanaharakati wa Kiplaestina katika mitandao ya kijamii wamelaani mpango wa mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia wa kutatua kadhia ya Palestina.

  • PLO: Kuuhamishia Quds ubalozi wa Marekani ni 'busu la mauti'

    PLO: Kuuhamishia Quds ubalozi wa Marekani ni 'busu la mauti'

    Dec 05, 2017 04:31

    Mwakilishi wa Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) nchini Marekani ameonya kuhusu madhara ya mpango wa Washington wa kuuhamisha ubalozi wake mjini Tel Aviv na kuupeleka katika mji mtakatifu wa Quds.

  • Arab League yaionya Marekani dhidi ya kuuhamishia ubalozi wake Quds

    Arab League yaionya Marekani dhidi ya kuuhamishia ubalozi wake Quds

    Dec 03, 2017 10:56

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeonya kuwa, kuhamishiwa ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi mji mtukufu wa Quds hakutakuwa na natija nyingine ghairi ya kuibua ghasia na kuvuruga zaidi hali ya mambo.

  • Sisitizo la kuendelezwa mapambano ya Wapalestina dhidi ya maghasibu wa Kizayuni

    Sisitizo la kuendelezwa mapambano ya Wapalestina dhidi ya maghasibu wa Kizayuni

    Nov 29, 2017 00:53

    Shakhsia na taasisi zisizo za kiserikali za nchini Algeria wamesisitiza kuendelezwa mapambano ya Wapalestina dhidi ya vitendo vya mabavu na ukandamizaji wa maghasibu wa Kizayuni.

  • Hamas: Silaha zetu ni mstari mwekundu, hazina mjadala

    Hamas: Silaha zetu ni mstari mwekundu, hazina mjadala

    Nov 28, 2017 04:07

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imepinga mwito wa kuitaka iweke chini silaha kama sehemu ya maridhiano ya kitaifa kati yake na harakati ya Fat'h.

  • Umoja wa Ulaya walalamikia jinai za Israel

    Umoja wa Ulaya walalamikia jinai za Israel

    Nov 27, 2017 12:03

    Umoja wa Ulaya umeutaka utawala ghasibu wa Kizayuni ukomeshe kuvunja nyumba za Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Saudia ipo tayari 'kuitoa kafara' Palestina ili kuimarisha uhusiano na Israel

    Saudia ipo tayari 'kuitoa kafara' Palestina ili kuimarisha uhusiano na Israel

    Nov 26, 2017 23:33

    Mshauri wa zamani wa Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema utawala wa Aal-Saud wa Saudi Arabia uko tayari 'kuitoa kafara' Palestina kwa lengo la kuimarisha uhusiano wake na Tel Aviv.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS