-
Hizbullah: Mapambano ndio njia pekee ya Wapalestina kupata ushindi
Dec 07, 2017 11:26Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, hatua ya Rais wa Marekani ya kuutangaza mji wa Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala haramu wa Israel, utakuwa ni msukumo kwa watu waliokuwa kando, lakini kwa sasa wanapaswa kuingia katika medani bila ya kisingizio chochote.
-
Rais wa Iran asisitiza juu ya Waislamu kuwa macho na Ubeberu na Uzayuni
Dec 06, 2017 22:13Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya udharura wa Waiskamu kuwa macho na njama za maadui.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Bila shaka Palestina itakombolewa tu
Dec 06, 2017 11:05Ayatullah Ali Khamanei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezitaja Marekani na utawala haramu wa Israel kuwa Mafirauni wa zama na dunia ya leo.
-
Wapalestina walaani mpango wa kihaini wa mrithi wa ufalme wa Saudia
Dec 05, 2017 12:38Wanaharakati wa Kiplaestina katika mitandao ya kijamii wamelaani mpango wa mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia wa kutatua kadhia ya Palestina.
-
PLO: Kuuhamishia Quds ubalozi wa Marekani ni 'busu la mauti'
Dec 05, 2017 04:31Mwakilishi wa Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) nchini Marekani ameonya kuhusu madhara ya mpango wa Washington wa kuuhamisha ubalozi wake mjini Tel Aviv na kuupeleka katika mji mtakatifu wa Quds.
-
Arab League yaionya Marekani dhidi ya kuuhamishia ubalozi wake Quds
Dec 03, 2017 10:56Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeonya kuwa, kuhamishiwa ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi mji mtukufu wa Quds hakutakuwa na natija nyingine ghairi ya kuibua ghasia na kuvuruga zaidi hali ya mambo.
-
Sisitizo la kuendelezwa mapambano ya Wapalestina dhidi ya maghasibu wa Kizayuni
Nov 29, 2017 00:53Shakhsia na taasisi zisizo za kiserikali za nchini Algeria wamesisitiza kuendelezwa mapambano ya Wapalestina dhidi ya vitendo vya mabavu na ukandamizaji wa maghasibu wa Kizayuni.
-
Hamas: Silaha zetu ni mstari mwekundu, hazina mjadala
Nov 28, 2017 04:07Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imepinga mwito wa kuitaka iweke chini silaha kama sehemu ya maridhiano ya kitaifa kati yake na harakati ya Fat'h.
-
Umoja wa Ulaya walalamikia jinai za Israel
Nov 27, 2017 12:03Umoja wa Ulaya umeutaka utawala ghasibu wa Kizayuni ukomeshe kuvunja nyumba za Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Saudia ipo tayari 'kuitoa kafara' Palestina ili kuimarisha uhusiano na Israel
Nov 26, 2017 23:33Mshauri wa zamani wa Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema utawala wa Aal-Saud wa Saudi Arabia uko tayari 'kuitoa kafara' Palestina kwa lengo la kuimarisha uhusiano wake na Tel Aviv.