-
Haniya: Quds ni Mji Mkuu wa Palestina na Waislamu wote
Dec 20, 2017 04:43Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesema kuwa, "Quds Tukuf (Jerusalem) ni mji mmoja usioweza kugawanywa pande mbili za Mashariki na Magharibi na ni mji mkuu wa Wapalaestina na Waislamu wote."
-
Biashara ya Aal Saud na Marekani: Tutaiunga mkono Israel; mtuachie tufanye jinai Yemen
Dec 19, 2017 02:45Vitendo na misimamo ya ukoo wa Aal Saud kuhusiana na Quds na Yemen inathibitisha kwamba serikali za Saudia na Marekani zimefikia makubaliano maalumu ambayo matokeo yake ni kuwa, ukoo wa Aal Saud utaishia patupu.
-
Kamati ya Palestina ya Muungano wa Mambunge ya Kiislamu yalaani hatua ya Trump kuhusu Quds
Dec 18, 2017 23:20Kamati ya Palestina ya Muungano wa Mabunge ya Nchi za Kiislamu imesisitiza kuwa, hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuitangaza Beitul-Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala ghasibu wa Israel ni ukiukaji wa wazi wa haki za wananchi wa Palestina.
-
Utawala wa Kizayuni na utumiaji wa gesi za sumu dhidi ya Wapalestina
Dec 18, 2017 08:00Kitendo cha kiuadui cha rais wa Marekani, Donald Trump cha kuitangaza Quds tukufu kuwa eti ni mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kimekiuka sheria na makubaliano yote ya kimataifa na kuandaa uwanja wa kufutwa kikamilifu taifa la Palestina katika uso wa dunia.
-
Kikao cha dharura cha kamati ya Palestina ya Muungano wa Mabunge ya Kiislamu kufanyika kesho Tehran
Dec 17, 2017 10:43Kikao cha dharura cha kamati ya Palestina ya Muungano wa Kimataifa wa Mabunge ya nchi za Kiislamu kinatarajiwa kufanyika kesho hapa mjini Tehran kwa kuhudhuriwa na Maspika wa Mabunge ya nchi tatu za Iran, Mali na Iraq.
-
Wananchi wa Indonesia waandamana kuwaunga mkono Wapalestina
Dec 17, 2017 04:39Makumi ya maelfu ya wananchi wa Indonesia wamefanya maandamano Jumapili ya leo kulaani uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kuitangaza Quds kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel sambamba na kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina.
-
Hamas: Hakuna nchi inayoitwa 'Israel' hata mji mkuu wake uwe 'Quds'
Dec 14, 2017 12:31Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani vikali uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump wa kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa, hakuna dola linaloitwa Israel hata mji mkuu wake uwe Quds tukufu.
-
Erdogan: Israel ni dola vamizi na la kigaidi
Dec 13, 2017 12:43Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema kuwa, kuwa na nguvu na kumiliki silaha si dalili kuwa Marekani ina nguvu, na maamuzi yake yatasababisha matatizo makubwa katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Jumuiya ya NAM yakosoa hatua ya Marekani dhidi ya Quds
Dec 13, 2017 11:55Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM) imekosoa vikali hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuitambua Quds kuwa eti mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Nchi za kaskazini mwa Afrika zaunga mkono pakubwa suala la Quds
Dec 13, 2017 04:18Nchi na taasisi za Kiislamu za Kiafrika zimetangaza uungaji mkono wao kwa Quds Tukufu na wananchi wa Palestinan kupitia hatua mbalimbali.