Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Wapalestina wakaribisha uungaji mkono wa kamanda wa Kikosi cha Quds cha Iran

    Wapalestina wakaribisha uungaji mkono wa kamanda wa Kikosi cha Quds cha Iran

    Dec 13, 2017 00:20

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Wananchi kwa ajili ya Ukombozi wa Palestina amekaribisha kauli ya kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu Meja Jenerali Qassem Suleimani ambaye ametangaza kuunga mkono harakati za ukombozi wa Palestina.

  • Wapalestina wapatao 1,800 wamejeruhiwa tangu Trump atoe tangazo kuhusu Quds, 6 wameshauawa shahidi Gaza

    Wapalestina wapatao 1,800 wamejeruhiwa tangu Trump atoe tangazo kuhusu Quds, 6 wameshauawa shahidi Gaza

    Dec 12, 2017 13:11

    Shirika la Hilali Nyekundu la Palestina limetangaza kuwa tangu yalipoanza maandamano ya kupinga uamuzi wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kuitangaza Baitul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni, hadi sasa Wapalestina 1,795 wamejeruhiwa katika Ukanda wa Gaza na Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Jenerali Qassem Soleimani: Iran iko tayari kuvisaidia vikosi vya Muqawama vya Palestina kwa kila hali

    Jenerali Qassem Soleimani: Iran iko tayari kuvisaidia vikosi vya Muqawama vya Palestina kwa kila hali

    Dec 12, 2017 12:48

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) ametangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kutoa msukumo na kuvisaidia kwa kila hali vikosi vya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina.

  • Trump, Quds inayokaliwa kwa mabavu na sheria za kimataifa

    Trump, Quds inayokaliwa kwa mabavu na sheria za kimataifa

    Dec 09, 2017 03:32

    Tukiachilia mbali kujadili ni matokeo gani hasi na mabaya utakuwa nayo uamuzi aliochukua Donald Trump kuitangaza Baitul Muqaddas inayokaliwa kwa mabavu kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni, kuuhakiki uamuzi huo katika mtazamo wa sheria za kimataifa kuna umuhimu mkubwa.

  • Mahojiano ya Salum Bendera na Sheikh Ali Ammar Mwazoa kuhusu uamuzi wa Trump kuhusiana na Quds + SAUTI

    Mahojiano ya Salum Bendera na Sheikh Ali Ammar Mwazoa kuhusu uamuzi wa Trump kuhusiana na Quds + SAUTI

    Dec 08, 2017 13:45

    Waislamu na wapenda haki kote ulimwenguni, jumuiya na asasi za kimataifa zimeendelea kupaza sauti kulalamikia na kuulaani uamuzi wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kuitangaza Beitul-Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala ghasibu wa Israe.

  • Katibu Mkuu wa Ansarullah Yemen: Marekani inashiriki kuikalia kwa mabavu Palestina

    Katibu Mkuu wa Ansarullah Yemen: Marekani inashiriki kuikalia kwa mabavu Palestina

    Dec 08, 2017 01:17

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesisitiza kuwa Washington inashirikiana na utawala wa Kizayuni kuikalia kwa mabavu Palestina.

  • Mahojiano ya Salum Bendera na Ustadh Muhammad Qassim kuhusu uamuzi wa Trump kuhusiana na Quds + SAUTI

    Mahojiano ya Salum Bendera na Ustadh Muhammad Qassim kuhusu uamuzi wa Trump kuhusiana na Quds + SAUTI

    Dec 07, 2017 13:21

    Uamuzi wa rais wa Marekani wa kuutangaza mji mtakatifu wa Quds wenye Kibla cha Kwanza cha Waislamu kuwa eti ni mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel umeendelea kulaaniwa na hata waitifaki wa karibu wa Marekani katika kila kona ya dunia.

  • Hizbullah: Mapambano ndio njia pekee ya Wapalestina kupata ushindi

    Hizbullah: Mapambano ndio njia pekee ya Wapalestina kupata ushindi

    Dec 07, 2017 11:26

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, hatua ya Rais wa Marekani ya kuutangaza mji wa Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala haramu wa Israel, utakuwa ni msukumo kwa watu waliokuwa kando, lakini kwa sasa wanapaswa kuingia katika medani bila ya kisingizio chochote.

  • Rais wa Iran asisitiza juu ya Waislamu kuwa macho na Ubeberu na Uzayuni

    Rais wa Iran asisitiza juu ya Waislamu kuwa macho na Ubeberu na Uzayuni

    Dec 06, 2017 22:13

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya udharura wa Waiskamu kuwa macho na njama za maadui.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Bila shaka Palestina itakombolewa tu

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Bila shaka Palestina itakombolewa tu

    Dec 06, 2017 11:05

    Ayatullah Ali Khamanei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezitaja Marekani na utawala haramu wa Israel kuwa Mafirauni wa zama na dunia ya leo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS