Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Naibu Spika wa Palestina: Uingiliaji wa Kamati ya Kimataifa katika maridhiano ya kitaifa ni wa

    Naibu Spika wa Palestina: Uingiliaji wa Kamati ya Kimataifa katika maridhiano ya kitaifa ni wa "kutupiliwa mbali".

    Oct 27, 2017 23:08

    Naibu Spika wa Bunge la Palestina amesema, uingiliaji wa Kamati ya Kimataifa ya pande nne ya amani katika maridhiano ya kitaifa ya Wapalestina haukubaliki na kwamba wito wa kamati hiyo na utawala wa Kizayuni wa kutaka Hamas ipokonywe silaha ni wa "kutupiliwa mbali".

  • Naibu Mkuu wa HAMAS: Israel ndio

    Naibu Mkuu wa HAMAS: Israel ndio "Hatari Kuu"

    Oct 26, 2017 11:46

    Naibu Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amezitaka nchi na pande zote za eneo la Mashariki ya Kati zikubaliane na fikra kwamba utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ndio "Hatari Kuu".

  • Walowezi wa Kizayuni wauhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa

    Walowezi wa Kizayuni wauhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa

    Oct 22, 2017 11:02

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni leo wameuhujumu Msikiti wa Al Aqsa na kuvunjia heshima eneo hilo takatifu la Kiislamu.

  • Abu Zuhri: Kinachoipambanua Iran na nchi nyingine, ni uungaji mkono wake wa wazi kwa taifa la Palestina

    Abu Zuhri: Kinachoipambanua Iran na nchi nyingine, ni uungaji mkono wake wa wazi kwa taifa la Palestina

    Oct 22, 2017 04:08

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, jambo liloipambanua Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi nyingine ni uungaji mkono wake wa wazi kwa malengo matukufu ya Palestina.

  • Hamas: Hakuna wa kutushurutisha tuvunje jeshi letu au tuitambue Israel

    Hamas: Hakuna wa kutushurutisha tuvunje jeshi letu au tuitambue Israel

    Oct 20, 2017 04:28

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema hakuna mtu mwenye uwezo wa kuishurutisha harakati hiyo ya muqawama kuvunja tawi lake la kijeshi au kuutambua utawala haramu wa Israel kama masharti ya kukubali mapatano ya kitaifa ya Wapalestina.

  • Wapalestina: Uingereza iliombe radhi taifa la Palestina kwa Azimio la Balfour

    Wapalestina: Uingereza iliombe radhi taifa la Palestina kwa Azimio la Balfour

    Oct 19, 2017 12:44

    Wakati serikali ya Uingereza inatazamiwa kusherehekea maadhimisho ya miaka 100 tangu kutolewa Azimio la Balfour, makundi ya Kipalestina yamesisitizia ulazima wa serikali ya London kuliomba radhi taifa la Palestina kwa sababu ya kutoa azimio hilo.

  • Mbunge wa Kuwait akemea vikali ujumbe wa Israel katika mkutano wa mabunge + Video

    Mbunge wa Kuwait akemea vikali ujumbe wa Israel katika mkutano wa mabunge + Video

    Oct 19, 2017 04:08

    Spika wa Bunge la Kuwait ameukemea vikali ujumbe wa bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel na kuulazimisha kuondoka katika mkutano wa kimataifa nchini Russia.

  • Radiamali ya Wapalestina kwa njama za Israel za kukwamisha maridhiano ya kitaifa ya Palestina

    Radiamali ya Wapalestina kwa njama za Israel za kukwamisha maridhiano ya kitaifa ya Palestina

    Oct 19, 2017 00:30

    Habari kutoka Palestina zinaonyesha juu ya kuendelea njama na ukwamishaji mambo wa Israel katika njia ya mwenendo wa maridhiano ya kitaifa ya Wapalestina.

  • Radiamali ya Hamas kwa masharti ya utawala wa Kizayuni ili kukubali mapatano ya Wapalestina

    Radiamali ya Hamas kwa masharti ya utawala wa Kizayuni ili kukubali mapatano ya Wapalestina

    Oct 18, 2017 04:21

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema kuwa inapinga mashatri yaliyotolewa na utawala wa Kizayuni ili kukubali mapatano ya kitaifa ya Wapalestina na kusisitiza kuwa mashatri hayo ni uingiliaji wa masuala ya Palestina.

  • Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Waarabu zakaribisha mapatano ya Wapalestina

    Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Waarabu zakaribisha mapatano ya Wapalestina

    Oct 13, 2017 04:05

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu wamekaribisha mwafaka wa maridhiano yaliyofikiwa nchini Misri kati ya makundi ya Kipalestina ya HAMAS na Fat'h.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS