-
Wapalestina walaani mpango wa kihaini wa mrithi wa ufalme wa Saudia
Dec 05, 2017 12:38Wanaharakati wa Kiplaestina katika mitandao ya kijamii wamelaani mpango wa mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia wa kutatua kadhia ya Palestina.
-
PLO: Kuuhamishia Quds ubalozi wa Marekani ni 'busu la mauti'
Dec 05, 2017 04:31Mwakilishi wa Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) nchini Marekani ameonya kuhusu madhara ya mpango wa Washington wa kuuhamisha ubalozi wake mjini Tel Aviv na kuupeleka katika mji mtakatifu wa Quds.
-
Arab League yaionya Marekani dhidi ya kuuhamishia ubalozi wake Quds
Dec 03, 2017 10:56Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeonya kuwa, kuhamishiwa ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi mji mtukufu wa Quds hakutakuwa na natija nyingine ghairi ya kuibua ghasia na kuvuruga zaidi hali ya mambo.
-
Sisitizo la kuendelezwa mapambano ya Wapalestina dhidi ya maghasibu wa Kizayuni
Nov 29, 2017 00:53Shakhsia na taasisi zisizo za kiserikali za nchini Algeria wamesisitiza kuendelezwa mapambano ya Wapalestina dhidi ya vitendo vya mabavu na ukandamizaji wa maghasibu wa Kizayuni.
-
Hamas: Silaha zetu ni mstari mwekundu, hazina mjadala
Nov 28, 2017 04:07Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imepinga mwito wa kuitaka iweke chini silaha kama sehemu ya maridhiano ya kitaifa kati yake na harakati ya Fat'h.
-
Umoja wa Ulaya walalamikia jinai za Israel
Nov 27, 2017 12:03Umoja wa Ulaya umeutaka utawala ghasibu wa Kizayuni ukomeshe kuvunja nyumba za Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Saudia ipo tayari 'kuitoa kafara' Palestina ili kuimarisha uhusiano na Israel
Nov 26, 2017 23:33Mshauri wa zamani wa Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema utawala wa Aal-Saud wa Saudi Arabia uko tayari 'kuitoa kafara' Palestina kwa lengo la kuimarisha uhusiano wake na Tel Aviv.
-
Tamko la mwisho la kikao cha kimataifa cha wapenzi wa Ahlul Bayt AS mjini Tehran
Nov 24, 2017 00:46Washiriki wa kikao cha kimataifa cha wapenzi wa Ahlul Bayt wa kizazi kitoharifu cha Bwana Mtume Muhammad SAW kilichofanyika hapa mjini Tehran, wamemaliza kikao chao cha siku mbili kwa kutoa tamko lenye vipengee 10 na ndani yake kusisitizia umuhimu wa Palestina na udharura wa kukombolewa Quds tukufu.
-
Hamas: Kitu pekee kinachoitia kiwewe Israel ni nguvu za kijeshi za Iran na muqawama
Nov 23, 2017 04:00Mkuu wa zamani wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, hali hivi sasa imekuwa mbaya kiasi kwamba baadhi ya tawala za Kiarabu hazioni haya tena kuifanya muhanga kadhia ya Palesitna kwa ajili ya kulinda tawala zao.
-
Hamas yasisitiza hatima ya pamoja ya muqawama wa Palestina na Hizbullah
Nov 20, 2017 10:38Naibu Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema katika radiamali yake kwa taarifa ya karibuni ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) dhidi ya chama cha Hizbullah kuwa hatima ya muqawama wa Palestina na Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imefungamana pamoja.