Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Waarabu zakaribisha mapatano ya Wapalestina

    Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Waarabu zakaribisha mapatano ya Wapalestina

    Oct 13, 2017 04:05

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu wamekaribisha mwafaka wa maridhiano yaliyofikiwa nchini Misri kati ya makundi ya Kipalestina ya HAMAS na Fat'h.

  • Marekani kujiondoa UNESCO Disemba mwaka huu

    Marekani kujiondoa UNESCO Disemba mwaka huu

    Oct 12, 2017 10:47

    Marekani imetangaza kuwa itajiondoa kwenye Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) kuanzia Disemba 31 mwaka huu.

  • Hamas yasema mahasimu Palestina wafikia maelewano ya kitaifa

    Hamas yasema mahasimu Palestina wafikia maelewano ya kitaifa

    Oct 12, 2017 03:08

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imetangaza kufikia mapatano ya maelewano ya kitaifa na chama cha Fat'h kwa lengo la kuhitimisha mgogoro wa kisiasa wa muongo mmoja kuhusu utawala wa Ukanda wa Ghaza.

  • HAMAS yasisitizia mapambano na Wazayuni ili kulinda matukufu ya Palestina

    HAMAS yasisitizia mapambano na Wazayuni ili kulinda matukufu ya Palestina

    Oct 10, 2017 04:38

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa suala la kupambana na Wazayuni maghasibu ambao wanayakalia kwa mabavu maeneo matakatifu ya Waislamu huko Palestina kama vile Masjidul Aqswa na Haram ya Nabii Ibrahim AS katika mji wa al Khalil wa kusini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, ni muhimu sana.

  • Mchakato wa mapatano ya kitaifa ya Wapalestina na vitisho vinavyowakabili

    Mchakato wa mapatano ya kitaifa ya Wapalestina na vitisho vinavyowakabili

    Oct 07, 2017 23:09

    Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imetahadharisha kuhusu mipango ya kimataifa ya kutaka kutumiwa vibaya mapatano ya kitaifa ya Wapalestina lengo likiwa ni kufutilia mbali kadhia ya Palestina.

  • Hamas: Ukombozi wa Palestina unahijatia umoja wa kitaifa

    Hamas: Ukombozi wa Palestina unahijatia umoja wa kitaifa

    Sep 30, 2017 12:57

    Naibu Mkuu wa Idara ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, ukombozi wa Palestina na Quds tukufu na kukomeshwa uvamizi wa utawala haramu wa Israel kunahitaji umoja na mshikamano wa kitaifa.

  • Palestina yakubaliwa kuwa mwanachama wa Interpol

    Palestina yakubaliwa kuwa mwanachama wa Interpol

    Sep 27, 2017 10:38

    Palestina imekubaliwa kuwa mwanachama kamili wa Polisi ya Kimataifa (Interpol), katika hatua inayoonekana ni pigo la kidiplomasia kwa utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani.

  • UN yasikitishwa na kushtadi ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni, Palestina

    UN yasikitishwa na kushtadi ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni, Palestina

    Sep 26, 2017 04:08

    Umoja wa Mataifa umekosoa mwenendo wa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi za Wapalestina licha ya Baraza la Usalama la umoja huo kupasisha azimio la kulaani na kutaka kusimamishwa ujenzi huo mwishoni mwa mwaka jana.

  • UN yasikitishwa na kushtadi ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni, Palestina

    UN yasikitishwa na kushtadi ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni, Palestina

    Sep 26, 2017 01:19

    Umoja wa Mataifa umekosoa mwenendo wa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi za Wapalestina licha ya Baraza la Usalama la umoja huo kupasisha azimio la kulaani na kutaka kusimamishwa ujenzi huo mwishoni mwa mwaka jana.

  • Hamas yaipongeza UN kwa kuiweka Israel katika orodha nyeusi

    Hamas yaipongeza UN kwa kuiweka Israel katika orodha nyeusi

    Sep 25, 2017 04:22

    Harakari ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imepongeza hatua ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa ya kuiweka Israel katika orodha nyesi ya nchi zinazokiuka haki za binadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS