-
Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Waarabu zakaribisha mapatano ya Wapalestina
Oct 13, 2017 04:05Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu wamekaribisha mwafaka wa maridhiano yaliyofikiwa nchini Misri kati ya makundi ya Kipalestina ya HAMAS na Fat'h.
-
Marekani kujiondoa UNESCO Disemba mwaka huu
Oct 12, 2017 10:47Marekani imetangaza kuwa itajiondoa kwenye Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) kuanzia Disemba 31 mwaka huu.
-
Hamas yasema mahasimu Palestina wafikia maelewano ya kitaifa
Oct 12, 2017 03:08Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imetangaza kufikia mapatano ya maelewano ya kitaifa na chama cha Fat'h kwa lengo la kuhitimisha mgogoro wa kisiasa wa muongo mmoja kuhusu utawala wa Ukanda wa Ghaza.
-
HAMAS yasisitizia mapambano na Wazayuni ili kulinda matukufu ya Palestina
Oct 10, 2017 04:38Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa suala la kupambana na Wazayuni maghasibu ambao wanayakalia kwa mabavu maeneo matakatifu ya Waislamu huko Palestina kama vile Masjidul Aqswa na Haram ya Nabii Ibrahim AS katika mji wa al Khalil wa kusini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, ni muhimu sana.
-
Mchakato wa mapatano ya kitaifa ya Wapalestina na vitisho vinavyowakabili
Oct 07, 2017 23:09Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imetahadharisha kuhusu mipango ya kimataifa ya kutaka kutumiwa vibaya mapatano ya kitaifa ya Wapalestina lengo likiwa ni kufutilia mbali kadhia ya Palestina.
-
Hamas: Ukombozi wa Palestina unahijatia umoja wa kitaifa
Sep 30, 2017 12:57Naibu Mkuu wa Idara ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, ukombozi wa Palestina na Quds tukufu na kukomeshwa uvamizi wa utawala haramu wa Israel kunahitaji umoja na mshikamano wa kitaifa.
-
Palestina yakubaliwa kuwa mwanachama wa Interpol
Sep 27, 2017 10:38Palestina imekubaliwa kuwa mwanachama kamili wa Polisi ya Kimataifa (Interpol), katika hatua inayoonekana ni pigo la kidiplomasia kwa utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani.
-
UN yasikitishwa na kushtadi ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni, Palestina
Sep 26, 2017 04:08Umoja wa Mataifa umekosoa mwenendo wa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi za Wapalestina licha ya Baraza la Usalama la umoja huo kupasisha azimio la kulaani na kutaka kusimamishwa ujenzi huo mwishoni mwa mwaka jana.
-
UN yasikitishwa na kushtadi ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni, Palestina
Sep 26, 2017 01:19Umoja wa Mataifa umekosoa mwenendo wa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi za Wapalestina licha ya Baraza la Usalama la umoja huo kupasisha azimio la kulaani na kutaka kusimamishwa ujenzi huo mwishoni mwa mwaka jana.
-
Hamas yaipongeza UN kwa kuiweka Israel katika orodha nyeusi
Sep 25, 2017 04:22Harakari ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imepongeza hatua ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa ya kuiweka Israel katika orodha nyesi ya nchi zinazokiuka haki za binadamu.