Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Bin Salman amshinikiza Abbas akubali mpango wa Trump wa mapatano na Israel

    Bin Salman amshinikiza Abbas akubali mpango wa Trump wa mapatano na Israel

    Nov 14, 2017 12:22

    Gazeti la Times la Uingereza limefichua kuwa, katika jitihada mpya za kutaka kubadili ramani ya kisiasa ya Mashariki ya Kati kwa maslahi ya Marekani na Israel, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman anamshinikiza Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas ili akubaliane na mpango mpya wa eti amani ya Mashariki ya Kati uliobuniwa na timu ya Rais Donald Trump wa Marekani.

  • Wapalestina wakabiliana mara 290 na Wazayuni mwezi Oktoba 2017

    Wapalestina wakabiliana mara 290 na Wazayuni mwezi Oktoba 2017

    Nov 05, 2017 00:06

    Wapalestina wanaoishi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Quds tukufu wamekabiliana mara 290 na Wazayuni katika mwezi uliopita wa Oktoba.

  • Taarifa ya mwisho ya kongamano la kimataifa la Umoja wa Wanazuoni wa Mapambano

    Taarifa ya mwisho ya kongamano la kimataifa la Umoja wa Wanazuoni wa Mapambano

    Nov 03, 2017 23:10

    Kikao cha pili cha kimataifa cha Umoja wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Mapambano kimemalizika huko Beirut mji mkuu wa Lebanon kwa kutoa taarifa inayotetea na kuunga mkono Suasla la Palestina.

  • Richard Falk wa UN: Kurejea amani Palestina ni sharti kwanza ufutwe utawala wa kibaguzi wa Israel

    Richard Falk wa UN: Kurejea amani Palestina ni sharti kwanza ufutwe utawala wa kibaguzi wa Israel

    Nov 03, 2017 03:58

    Ripota maalumu wa zamani wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu sambamba na kuashiria kuwa, umoja huo hauna haki ya kuainisha mustakbali wa taifa la Palestina, amesema kuwa ili kurejea usalama na amani katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, ni sharti kwanza kuondoshwa utawala wa kibaguzi wa Israel ambao unazikalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina.

  • Hizbullah: Muqawama ndilo chaguo la pekee la Wapalestina

    Hizbullah: Muqawama ndilo chaguo la pekee la Wapalestina

    Nov 02, 2017 04:27

    Afisa wa ngazi ya juu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuna haja ya kuendeleza mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa Wapalestina hawana chaguo jingine ghairi ya muqawama.

  • Sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu kuendelea mapambano anuia dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel

    Sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu kuendelea mapambano anuia dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel

    Nov 02, 2017 04:23

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei ametuma ujumbe katika Mkutano wa Pili wa Muungano wa Kimataifa wa Maulama wa Muqawama unaofanyika huko Lebanon akisistiza kudumishwa mapambano ya aina mbalimbali dhidi ya utawala vamizi na wa Kizayuni wa Israel kwa wale wote wanaohisi kubeba dhima na wajibu huo mkubwa.

  • Ismail Haniya: jaribio la Israel la kumuua afisa mkuu wa HAMAS limefeli

    Ismail Haniya: jaribio la Israel la kumuua afisa mkuu wa HAMAS limefeli

    Oct 28, 2017 04:34

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndio umehusika katika jaribio la mauaji lililofeli dhidi ya afisa wa ngazi ya juu wa harakati hiyo.

  • Naibu Spika wa Palestina: Uingiliaji wa Kamati ya Kimataifa katika maridhiano ya kitaifa ni wa

    Naibu Spika wa Palestina: Uingiliaji wa Kamati ya Kimataifa katika maridhiano ya kitaifa ni wa "kutupiliwa mbali".

    Oct 27, 2017 23:08

    Naibu Spika wa Bunge la Palestina amesema, uingiliaji wa Kamati ya Kimataifa ya pande nne ya amani katika maridhiano ya kitaifa ya Wapalestina haukubaliki na kwamba wito wa kamati hiyo na utawala wa Kizayuni wa kutaka Hamas ipokonywe silaha ni wa "kutupiliwa mbali".

  • Naibu Mkuu wa HAMAS: Israel ndio

    Naibu Mkuu wa HAMAS: Israel ndio "Hatari Kuu"

    Oct 26, 2017 11:46

    Naibu Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amezitaka nchi na pande zote za eneo la Mashariki ya Kati zikubaliane na fikra kwamba utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ndio "Hatari Kuu".

  • Walowezi wa Kizayuni wauhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa

    Walowezi wa Kizayuni wauhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa

    Oct 22, 2017 11:02

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni leo wameuhujumu Msikiti wa Al Aqsa na kuvunjia heshima eneo hilo takatifu la Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS