Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Wapalestina wakumbuka ukatili wa Israel huko Deir Yassin

    Wapalestina wakumbuka ukatili wa Israel huko Deir Yassin

    Apr 09, 2016 11:34

    Wapalestina leo wamekumbuka mwaka wa 68 wa mauaji ya raia 270 wa Kipalestina mikononi mwa kundi la kigaidi la Wazayuni kwenye mji wa Deir Yassin katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Wapalestina waandaa azimio jipya dhidi ya Israel

    Wapalestina waandaa azimio jipya dhidi ya Israel

    Apr 08, 2016 03:50

    Ujumbe wa Palestina katika Umoja wa Mataifa umeandaa rasimu ya azimio jipya la kulaani hatua ya utawala haramu wa Israel kuendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa kizayuni katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu.

  • Askari wa Kizayuni wamewatia nguvuni mamia ya watoto wa Kipalestina

    Askari wa Kizayuni wamewatia nguvuni mamia ya watoto wa Kipalestina

    Apr 05, 2016 09:33

    Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewatia nguvuni watoto 1,899 wa Kipalestina tangu ilipoanza Intifadha ya Quds hadi sasa.

  • EU yatakiwa kususia bidhaa zinazozalishwa na Wazayuni

    EU yatakiwa kususia bidhaa zinazozalishwa na Wazayuni

    Apr 05, 2016 03:13

    Umoja wa Ulaya umetakiwa kususia bidhaa zinazozalishwa na utawala wa kizayuni wa Israel.

  • UN yapinga maonyesho ya kipropaganda ya Israel

    UN yapinga maonyesho ya kipropaganda ya Israel

    Apr 03, 2016 23:08

    Umoja wa Mataifa umepinga maonyesho ya picha za kipropaganda za utawala wa Kizayuni wa Israel katika makao makuu ya umoja huo mjini New York.

  • Wazayuni wazuia kusomwa adhana katika Haram ya Nabii Ibrahim AS

    Wazayuni wazuia kusomwa adhana katika Haram ya Nabii Ibrahim AS

    Apr 03, 2016 03:01

    Wizara ya Wakfu ya Palestina imetangaza kuwa, mwezi uliopita wa Machi, wanajeshi wa utawala wa Kizayuni walizuia mara chungu nzima kusomwa adhana katika Haram ya Nabii Ibrahim AS mjini Alkhalil.

  • Hamas yasisitiza kukombolewa Palestina

    Hamas yasisitiza kukombolewa Palestina

    Mar 30, 2016 23:50

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesema kuwa mapambano ndio njia pekee ya kukomboa ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu na Wazayuni wa Isarel.

  • Fat-h na Hamas zaafikiana kutekeleza maelewano ya kitaifa

    Fat-h na Hamas zaafikiana kutekeleza maelewano ya kitaifa

    Mar 30, 2016 02:31

    Mwakilishi wa Harakati ya Fat-h huko Ghaza amesema kuwa hakuna makubaliano mapya katika ajenda ya kazi, bali kile kilichopo ni kufikiwa makubaliano kuhusu utekelezaji wa maelewano ya kitaifa ya Palestina.

  • Mahmoud Abbas asisitiza kuundwa nchi huru ya Palestina

    Mahmoud Abbas asisitiza kuundwa nchi huru ya Palestina

    Mar 29, 2016 23:40

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesisitiza juu ya kuundwa nchi huru ya Palestina.

  • Umoja wa Mataifa watakiwa kuchunguza mauaji yanayofanywa dhidi ya Wapalestina

    Umoja wa Mataifa watakiwa kuchunguza mauaji yanayofanywa dhidi ya Wapalestina

    Mar 28, 2016 23:51

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina imeutaka Umoja wa Mataifa kufanya uchunguzi kuhusu mauaji ya kidhalimu yanayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS