-
Wapalestina wakumbuka ukatili wa Israel huko Deir Yassin
Apr 09, 2016 11:34Wapalestina leo wamekumbuka mwaka wa 68 wa mauaji ya raia 270 wa Kipalestina mikononi mwa kundi la kigaidi la Wazayuni kwenye mji wa Deir Yassin katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Wapalestina waandaa azimio jipya dhidi ya Israel
Apr 08, 2016 03:50Ujumbe wa Palestina katika Umoja wa Mataifa umeandaa rasimu ya azimio jipya la kulaani hatua ya utawala haramu wa Israel kuendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa kizayuni katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu.
-
Askari wa Kizayuni wamewatia nguvuni mamia ya watoto wa Kipalestina
Apr 05, 2016 09:33Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewatia nguvuni watoto 1,899 wa Kipalestina tangu ilipoanza Intifadha ya Quds hadi sasa.
-
EU yatakiwa kususia bidhaa zinazozalishwa na Wazayuni
Apr 05, 2016 03:13Umoja wa Ulaya umetakiwa kususia bidhaa zinazozalishwa na utawala wa kizayuni wa Israel.
-
UN yapinga maonyesho ya kipropaganda ya Israel
Apr 03, 2016 23:08Umoja wa Mataifa umepinga maonyesho ya picha za kipropaganda za utawala wa Kizayuni wa Israel katika makao makuu ya umoja huo mjini New York.
-
Wazayuni wazuia kusomwa adhana katika Haram ya Nabii Ibrahim AS
Apr 03, 2016 03:01Wizara ya Wakfu ya Palestina imetangaza kuwa, mwezi uliopita wa Machi, wanajeshi wa utawala wa Kizayuni walizuia mara chungu nzima kusomwa adhana katika Haram ya Nabii Ibrahim AS mjini Alkhalil.
-
Hamas yasisitiza kukombolewa Palestina
Mar 30, 2016 23:50Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesema kuwa mapambano ndio njia pekee ya kukomboa ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu na Wazayuni wa Isarel.
-
Fat-h na Hamas zaafikiana kutekeleza maelewano ya kitaifa
Mar 30, 2016 02:31Mwakilishi wa Harakati ya Fat-h huko Ghaza amesema kuwa hakuna makubaliano mapya katika ajenda ya kazi, bali kile kilichopo ni kufikiwa makubaliano kuhusu utekelezaji wa maelewano ya kitaifa ya Palestina.
-
Mahmoud Abbas asisitiza kuundwa nchi huru ya Palestina
Mar 29, 2016 23:40Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesisitiza juu ya kuundwa nchi huru ya Palestina.
-
Umoja wa Mataifa watakiwa kuchunguza mauaji yanayofanywa dhidi ya Wapalestina
Mar 28, 2016 23:51Mamlaka ya Ndani ya Palestina imeutaka Umoja wa Mataifa kufanya uchunguzi kuhusu mauaji ya kidhalimu yanayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina.