Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • HAMAS: Intifadha itaendelea hadi malengo ya Wapalestina yafikiwe

    HAMAS: Intifadha itaendelea hadi malengo ya Wapalestina yafikiwe

    Mar 25, 2016 21:12

    Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema Intifadha ya Quds itaendelea hadi malengo ya Wapalestina yafikiwe.

  • Israel yaendeleza ukatili wake, yaua shahidi Wapalestina 2

    Israel yaendeleza ukatili wake, yaua shahidi Wapalestina 2

    Mar 24, 2016 10:36

    Askari wa utawala wa kizayuni wa Israel wameua shahidi Wapestina wawili kwa kuwafyatulia risasi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Hamas yatunisha misuli yake Ukanda wa Gaza

    Hamas yatunisha misuli yake Ukanda wa Gaza

    Mar 23, 2016 21:42

    Wapiganaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas wamefanya mazoezi ya kijeshi katika eneo la Ukanda wa Gaza kwa shabaha ya kuzidisha utayarifu wao kwa ajili ya kukabiliana na mashambulizi ya aina yoyote ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Afisa mkuu wa UN ajiuzulu kutokana na jinai za Israel

    Afisa mkuu wa UN ajiuzulu kutokana na jinai za Israel

    Mar 21, 2016 11:42

    Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya haki za binadamu huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huo, kutokana na kile alichokitaja kuwa ukosefu wa ushirikiano wa utawala wa kizayuni wa Israel.

  • Ukosoaji wa Wapalestina kwa utendaji dhaifu wa UNRWA

    Ukosoaji wa Wapalestina kwa utendaji dhaifu wa UNRWA

    Mar 21, 2016 00:20

    Ali Baraka, mwakilishi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina HAMAS nchini Lebanon amekosoa utendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Ajira kwa ajili ya Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) kuhusiana na wananchi wa Palestina.

  • Israeli yazidisha hujuma dhidi ya vyombo vya habari Palestina

    Israeli yazidisha hujuma dhidi ya vyombo vya habari Palestina

    Mar 19, 2016 04:20

    Shirika moja la kutetea uhuru wa kujieleza na haki za waandishi wa habari limefichua kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umeshadidisha hujuma zake dhidi ya taasisi hiyo muhimu huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Jamii ya kimataifa yaendelea kuilaani Israel kwa kupora ardhi zaidi za Palestina

    Jamii ya kimataifa yaendelea kuilaani Israel kwa kupora ardhi zaidi za Palestina

    Mar 19, 2016 00:03

    Umoja wa Ulaya umejiunga na Umoja wa Mataifa katika kulaani hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kupora ardhi zaidi za Wapalestina.

  • Uanachama rasmi wa Palestina katika Mahakama ya Kudumu ya Usuluhishi (PCA)

    Uanachama rasmi wa Palestina katika Mahakama ya Kudumu ya Usuluhishi (PCA)

    Mar 16, 2016 03:23

    Palestina imekuwa mwanachama rasmi wa Mahakama ya Kudumu ya Usuluhishi (PCA) yenye makao yake mjini The Hague, Uholanzi.

  • Israel yanyakua ardhi zaidi za Wapalestina

    Israel yanyakua ardhi zaidi za Wapalestina

    Mar 15, 2016 23:27

    Israel imenyakua kipande kikubwa cha ardhi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan hatua ambayo inakiuka sheria za kimataifa zinazoitaka iache kujitanua katika ardhi za Wapalestina.

  • Wazayuni wamzuia Waziri wa Mambo ya Nje wa Indonesia kuingia Palestina

    Wazayuni wamzuia Waziri wa Mambo ya Nje wa Indonesia kuingia Palestina

    Mar 13, 2016 21:54

    Utawala wa kizayuni wa Israel umemzuia Waziri wa Mambo ya Nje wa Indonesia, Retno Marsudi kuingia katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu, ambapo alitazamiwa kukutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS