-
Mamia ya maelfu ya Wayemen wafanya maandamano ya kuiunga mkono Palestina
Dec 20, 2024 23:26Mamia ya maelfu ya wananchi wa Yemen kwa mara nyingine tena wamemiminika barabarani kufanya maandamano makubwa ya kuwaunga mkono wananchi wa Palestina na kuupinga utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Jeshi la Kizayuni lamuua Babu mtu wa Kipalestina aliyegusa nyoyo za walimwengu mitandaoni
Dec 17, 2024 02:35Shambulio la kinyama la makombora lililofanywa na jeshi la Kizayauni katika Ukanda wa Ghaza limemuua Khaled Nabhan, Mpalestina ambaye amefahamika sana kwenye mitandao ya kijamii kutokana na video iliyomuonyesha akibusu macho ya mjukuu wake aliyeuliwa na kumwita "roho ya roho yangu".
-
Ripoti ya kila mwaka ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu uliofanywa na Marekani na Uingereza
Dec 16, 2024 03:22Kwa mujibu wa ripoti ya kila mwaka ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa Marekani na Uingereza, ripoti ambayo imeandaliwa kwa kutelekeza mswada uliopitishwa na Bunge la Iran mwaka 1391 Hijria Shamsia,
-
Droni za Yemen zahepa mifumo ya utunguaji ya utawala wa Kizayuni, zapiga Tel Aviv na Ashkelon
Dec 14, 2024 02:57Vikosi vya Jeshi la Yemen vimetangaza kuwa vimefanya mashambulizi ya ndege zisizo na rubani kulenga mji wa Jaffa karibu na Tel Aviv pamoja na mji wa Ashkelon katika eneo la kati la ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu katika operesheni mpya dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mradi wa Wazayuni na Marekani wa kubadilisha jina la mashariki ya Palestina kuwa "Yuda na Samaria" utaishia wapi?
Dec 12, 2024 23:28Kadiri wakati wa kuapishwa rasmi Donald Trump kuwa rais wa Marekani unavyozidi kukaribia, ndivyo mipango na njama za Washington za kuunga mkono sera za kujitanua zaidi utawala ghasibu wa Israel zinavyohiri na kuonekana wazi zaidi.
-
Netanyahu asema, Miinuko ya Golan ya Syria itakaliwa kinyume cha sheria na Israel hadi 'milele'
Dec 10, 2024 08:01Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni amesema, Miinuko ya Golan ya Syria inayokaliwa kwa mabavu itabaki "milele kuwa sehemu isiyoweza kutenganishwa" na Israel.
-
Vyama vya upinzani Namibia vyapinga ushindi wa SWAPO katika uchaguzi wa rais
Dec 06, 2024 22:55Kiongozi wa Chama cha Wazalendo Wanaojitegemea kwa ajili ya Mabadiliko (Independant Patriots for Change) nchini Nambia IPC Panduleni Itula amesisitiza kuwa hawayakubali matokeo ya uchaguzi wa rais yanayoonyesha mgombea wa chama tawala SWAPO ameshinda kwa zaidi ya 57% ya kura akiuita uchaguzi huo kuwa ni wa "fujo".
-
Morocco yachapisha stempu ya Gaza kuwaunga mkono Wapalestina
Dec 03, 2024 03:45Idara ya posta ya Morocco imechukua hatua ya kuwaunga mkono Wapalestina dhidi ya utawala wa Kizayuni kwa kuchapisha stempu yenye anuani "Pamoja na Gaza".
-
Licha ya kutolewa waranti wa kumkamata, Gallant apanga safari ya kutembelea Marekani
Nov 26, 2024 03:12Waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel Yoav Gallant anapanga kusafiri kuelekea Marekani licha ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kutoa hati ya kumkamata kwa kuhusika na jinai za kivita katika Ukanda wa Ghaza.
-
Mkuu wa hospitali ya Gaza aliyejeruhiwa aomba msaada huku Israel ikitekeleza maangamizi
Nov 25, 2024 09:47Mkurugenzi wa hospitali ya Gaza ambayo imezingirwa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kuhitimisha maangamizi inayoendelea kufanywa na utawala huo kaskazini mwa Palestina.