Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Wataalamu wa US: Mapigano ya Al-Shifa yanaonyesha wapiganaji Wapalestina wangali wako imara

    Wataalamu wa US: Mapigano ya Al-Shifa yanaonyesha wapiganaji Wapalestina wangali wako imara

    Mar 28, 2024 06:39

    Wataalamu wa masuala ya vita wa Marekani wamesema, wapiganaji wa Kipalestina wamefanya mashambulizi yapatayo 70 dhidi ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel karibu na hospitali ya al-Shifa katika mji wa Ghaza tangu Machi 18 wakati jeshi la utawala huo ghasibu liliporejea katika eneo hilo.

  • Rais wa Iran: Palestina sasa ni kadhia ya ulimwengu wa ubinadamu

    Rais wa Iran: Palestina sasa ni kadhia ya ulimwengu wa ubinadamu

    Mar 27, 2024 23:41

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kutokana na muqawama au mapambano ya Kiislamu na misimamo imara ya wananchi wanaodhulumiwa na wenye nguvu wa Gaza, kadhia ya Palestina sasa imevuka mipaka ya ulimwengu wa Kiislamu na kuwa suala la ulimwengu wa ubinadamu.

  • Ulimwengu waunga mkono ripoti ya UN kuhusu mauaji ya kimbari ya Israel Ukanda wa Gaza

    Ulimwengu waunga mkono ripoti ya UN kuhusu mauaji ya kimbari ya Israel Ukanda wa Gaza

    Mar 27, 2024 08:36

    Tathmini iliyofanywa na Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Palestina ambayo imezitaja jinai za utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Gaza kuwa ni mauaji ya kimbari imeungwa mkono pakubwa na nchi mbalimbali katika umoja huo.

  • Soda ya 'Palestine Cola' yazinduliwa, mashirika ya Magharibi yaendelea kususiwa

    Soda ya 'Palestine Cola' yazinduliwa, mashirika ya Magharibi yaendelea kususiwa

    Mar 26, 2024 22:38

    Ndugu wawili wa Kipalestina wamezindua soda waliyoipa jina la 'Palestine Cola' na kusema kuwa, faida zote zitakazotokana na mauzo ya kinywaji hicho zitawaendea Wapalestina.

  • Shirikisho la Soka la Iran likaribisha pendekezo la Wapalestina la kuwekewa vikwazo Shirikisho la soka la Israel

    Shirikisho la Soka la Iran likaribisha pendekezo la Wapalestina la kuwekewa vikwazo Shirikisho la soka la Israel

    Mar 25, 2024 08:14

    Mkuu wa Shirikisho la Soka la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtumia barua Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), akikaribisha mpango uliopendekezwa wa Shirikisho la Soka la Palestina kuhusu kuwekewa vikwazo Shirikisho la Soka la utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wairani waandamana kulaani jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza

    Wairani waandamana kulaani jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza

    Mar 24, 2024 23:21

    Wananchi wa Iran wamefanya maandamano makubwa katika sehemu mbalimbali za nchi ukiwemo mji mkuu Tehran, kutangaza mshikamano na wananchi madhulumu wa Palestina wanaoendelea kuuawa, sambamba na kulaani jinai za kutisha zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Wapalestina 72 wameuawa shahidi Ukanda wa Gaza katika masaa 24 yaliyopita

    Wapalestina 72 wameuawa shahidi Ukanda wa Gaza katika masaa 24 yaliyopita

    Mar 23, 2024 23:22

    Wizara ya Afya ya Palestina jana ilitangaza kuwa Wapalestina wasiopungua 72 wameuawa shahidi na wengine 114 kujeruhiwa katika masaa 24 yaliyopita kufuatia mauaji ya kimbari yanayondelea kufanywa na Israel dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Gaza.

  • Israel yapora ekari 2,000 za ardhi ya Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Israel yapora ekari 2,000 za ardhi ya Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Mar 23, 2024 04:10

    Utawala ghasibu wa Israel umetangaza habari ya kunyakua ekari karibu 2,000 (hektari 800) za ardhi ya Palestina katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu na utawala huo haramu.

  • Palestina: Safari za Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani katika eneo hazina tija yoyote

    Palestina: Safari za Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani katika eneo hazina tija yoyote

    Mar 21, 2024 10:37

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imesema diplomasia inayofanywa na Waziri wa Mambo ya Nje ya Marekani Anthony Blinken katika Mashariki ya Kati (Asia Magharibi) bado haijatoa "matokeo yoyote ya kuonekana" kwa ajili ya Ghaza.

  • Ukosoaji wa Afrika Kusini dhidi ya Israel kwa kukaidi uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki

    Ukosoaji wa Afrika Kusini dhidi ya Israel kwa kukaidi uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki

    Mar 21, 2024 04:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amesema kuwa kutotekelezwa maamuzi ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki dhidi ya Israel kunaidhoofisha mahakama hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS