Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Seneta Sanders: Washington ni mshirika wa jinai za Israel huko Gaza

    Seneta Sanders: Washington ni mshirika wa jinai za Israel huko Gaza

    Jan 25, 2024 08:12

    Seneta wa jimbo la Vermont nchini Marekani amesema serikali ya Washington ni mshirika katika jinai za kutisha za Israel huko Ukanda wa Gaza kutokana na uungaji mkono wake kwa utawala huo unaokalia kwa mabavu ardhi za Palestina.

  • Palestina: Kwa siku 108, Israel imeua watoto 11,000 na wanawake 7,500 Gaza

    Palestina: Kwa siku 108, Israel imeua watoto 11,000 na wanawake 7,500 Gaza

    Jan 23, 2024 03:08

    Mamlaka za Palestina zimetangaza kuwa, jeshi vamizi la utawala wa Kizayuni wa Israel limeua watoto 11,000 na wanawake 7,500 katika Ukanda wa Gaza na kuongeza kuwa jeshi hilo katili limedondosha zaidi ya tani 65,000 za mada za miripuko katika vita vya upande mmoja lilivyoanzisha dhidi ya Wapalestina waliowekewa mzingiro.

  • Misri yaionya Israel kutoudhibiti Ukanda wa Philadelphi kwenye mpaka wa Palestina

    Misri yaionya Israel kutoudhibiti Ukanda wa Philadelphi kwenye mpaka wa Palestina

    Jan 23, 2024 02:04

    Misri imeuonya utawala wa Kizayuni wa Israel kwamba jaribio lolote la kuikalia kwa mabavu sehemu ya ardhi inayotenganisha eneo la Wapalestina lililozingirwa la Ukanda wa Gaza na Misri, linalojulikana kama Korido ya Philadelphi, litakuwa ni "tishio kubwa" kwa uhusiano kati ya pande hizo mbili.

  • Mufti wa Oman: Kujitahidi kwa Ukombozi wa Al-Aqsa ni wajibu kwa Waislamu wote

    Mufti wa Oman: Kujitahidi kwa Ukombozi wa Al-Aqsa ni wajibu kwa Waislamu wote

    Jan 22, 2024 04:01

    Mufti Mkuu wa Oman kwa mara nyingine amesisitiza umuhimu wa Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel na akasema kuukomboa ni jukumu la Waislamu wote duniani.

  • Mapendekezo ya Iran kwa ajili ya amani ya kudumu huko Palestina yawasilishwa NAM

    Mapendekezo ya Iran kwa ajili ya amani ya kudumu huko Palestina yawasilishwa NAM

    Jan 21, 2024 23:27

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Mokhber, amewasilisha mapendekezo ya Iran kwa ajili ya kutatua suala la Palestina katika mkutano wa 19 wa Harakati ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM) unaofanyika Kampala, nchini Uganda.

  • Iran na Sudan zatilia mkazo kuiunga mkono Palestina

    Iran na Sudan zatilia mkazo kuiunga mkono Palestina

    Jan 21, 2024 04:19

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan wameisitiza ulazima wa kuliunga mkono taifa la Palestina mkabala wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • UN: Maelfu ya Wapalestina wa Gaza waliokamatwa na askari wa Israel wanateswa

    UN: Maelfu ya Wapalestina wa Gaza waliokamatwa na askari wa Israel wanateswa

    Jan 20, 2024 03:52

    Umoja wa Mataifa umesema huenda vikosi vya jeshi la Israel vimewakamata maelfu ya Wapalestina wakazi wa Ukanda wa Gaza, huku utawala huo wa Kizayuni ukiendeleza mauaji na jinai za kutisha dhidi ya wakazi wa eneo hilo uliolizingira.

  • Jihadul Islami: Vikwazo vipya vya EU vimechochewa kisiasa

    Jihadul Islami: Vikwazo vipya vya EU vimechochewa kisiasa

    Jan 20, 2024 03:50

    Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imeukosoa vikali Umoja wa Ulaya kwa kuwawekea vikwazo maafisa wa kundi hilo la muqawama pamoja na wenzao wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina(HAMAS).

  • Mtaalamu wa UN: Hakuna kinachoweza kuhalalisha ilichokifanya Israel Gaza

    Mtaalamu wa UN: Hakuna kinachoweza kuhalalisha ilichokifanya Israel Gaza

    Jan 19, 2024 08:17

    Mtalaamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa ameashiria ukiukaji wa sheria za kimataifa uliofanywa mara chungu nzima na utawala wa Israel katika Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, hakuna kitu kinachoweza kuhalalisha vita vya mauaji ya kimbari vya Israel katika eneo hilo lilozingirwa.

  • Mexico na Chile zaitaka ICC ichunguze jinai za Israel Gaza

    Mexico na Chile zaitaka ICC ichunguze jinai za Israel Gaza

    Jan 19, 2024 08:16

    Serikali za Mexico na Chile zimeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuchunguza na kuwashtaki maafisa wa utawala wa Israel ambao wamehusika katika jinai za kivita dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS