-
Balozi wa Iran UN: Uingereza imekuwa na nafasi kuu katika mateso ya muda mrefu ya wananchi wa Palestina
Dec 05, 2023 08:15Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amelaani tuhuma zisizo na msingi wowote dhidi ya Iran zilizotolewa na Mwakilishi wa Uingereza na kusisitiza kuwa: Uingereza imekuwa na nafasi kuu katika kuteseka na kutaabika kwa muda mrefu raia wa Palestina.
-
Israel yashambulia kwa mabomu shule 2 Gaza, 50 wauawa shahidi
Dec 05, 2023 03:24Vikosi vya utawala haramu wa Israel vimeshambulia kwa mabomu shule mbili katika Ukanda wa Gaza na kuua shahidi makumi ya Wapalestina.
-
Mashirika ya haki Palestina yaonya kuhusu 'Nakba ya Pili' Gaza
Dec 05, 2023 03:22Mashirika matatu ya kutetea haki za binadamu ya Palestina yameashiria hatua ya Israel ya kuwafukuza kwa umati Wapalestina katika Ukanda wa Gaza na kutahadharisha kuwa, utawala huo wa Kizayuni unapanga kukariri Nakba ya pili katika eneo hilo lililozingirwa.
-
Piga nikupige baada ya usitisjai vita wa muda katika Ukanda wa Ghaza
Dec 04, 2023 03:57Hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kushambulia kinyama kambi ya wakimbizi ya Jabalia katika Ukanda wa Ghaza kwa kutumia mabomu ya fosforasi na sambamba na kutumwa mabomu mapya kutoka Marekani kwa utawala huo ghasibu ni miongoni mwa matukio ya hivi karibuni kuhusiana na Palestina.
-
Raisi: Msingi wa uungaji mkono wa Iran kwa Palestina ni Katiba
Dec 03, 2023 09:03Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu ndio msingi wa taifa hili kuiunga mkono Palestina na Ukanda wa Gaza ambao hivi sasa unakabiliwa na mashambulizi ya Wazayuni.
-
Mufti wa Yemen: Kimbunga cha al-Aqsa, kipigo cha karne dhidi ya Uzayuni
Dec 03, 2023 07:11Mufti Mkuu wa Yemen amesema Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa imedhihirisha msimamo thabiti na uwezo mkubwa wa mrengo wa muqawama wa Palestina, na kwamba operesheni hiyo kilikuwa kipigo cha karne dhidi ya utawala wa Kizayuni.
-
Kan'ani Chafi: Mashambulio mapya dhidi ya Gaza ni kashfa kubwa ya kimaadili kwa Marekani
Dec 02, 2023 23:45Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran ameandika katika kujibu idhini ya Marekani kwa mashambulizi mapya yanayofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza kwamba, hii ni kashfa kubwa ya kimaadili kwa serikali ya Marekani na imeonyesha sura halisi ya haki za binadamu ya Washington kwa walimwengu.
-
Nukta nne za kistratijia katika matamshi ya Kiongozi Muadhamu kuhusu Asia Magharibi na kadhia ya Palestina.
Dec 02, 2023 00:50Akizungumza siku ya Jumatano tarehe 29 Novemba katika kikao na askari wa kujitolea mashuhuri kama Basij kutoka pembe zote za nchi, Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amegusia nukta kadhaa muhimu kuhusu operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa na stratijia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na kadhia ya Palestina.
-
Israel yaanza tena kumwaga damu za Wapalestina Gaza, makumi wauawa shahidi
Dec 01, 2023 04:25Miripuko kadhaa na milio ya risasi imesikika kaskazini mwa Ukanda wa Gaza baada ya utawala haramu wa Israel kuanzisha tena hujuma na mashambulizi yake ya kinyama dhidi ya Wapalestina wa eneo hilo linalokaliwa kwa mabavu, baada ya muda wa usitishaji vita kumalizika mapema leo.
-
Waziri Mkuu wa Uhispania: Israel haiheshimu sheria za kimataifa za ubinadamu
Dec 01, 2023 03:16Waziri Mkuu wa Uhispania amesema kwamba, kwa kuzingatia idadi ya raia wakiwemo watoto wadogo ambao ni wahanga wa vita vya wiki kadhaa vya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza, ni wazi kuwa Tel Aviv haiheshimu sheria za kimataifa za ubinadamu.