Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Al-Wefaq: Bahrain imewasaliti Wapalestina kwa kujiunga na muungano wa US

    Al-Wefaq: Bahrain imewasaliti Wapalestina kwa kujiunga na muungano wa US

    Dec 22, 2023 22:57

    Chama kikuu cha upinzani nchini Bahrain cha al-Wefaq kimesema hatua ya utawala wa Aal-Khalifa ya kujiunga na muungano wa baharini wa Marekani katika Bahari Nyekundu ni kusaliti kadhia ya Palestina.

  • Msaada wa Marekani kwa Israel watajwa kuwa sababu kuu ya jinai dhidi ya Wapalestina

    Msaada wa Marekani kwa Israel watajwa kuwa sababu kuu ya jinai dhidi ya Wapalestina

    Dec 22, 2023 04:37

    Washiriki katika mkutano wa mabunge ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (PUIC) wamesisitiza kuwa misaada na uungaji mkono wa Marekani kwa utawala wa Kizayuni wa Israel ndio sababu kuu ya kuendelea jinai dhidi ya wananchi wa Palestina.

  • Human Rights Watch: Meta inazuia sauti zinazowatetea Wapalestina kwenye Instagram na Facebook

    Human Rights Watch: Meta inazuia sauti zinazowatetea Wapalestina kwenye Instagram na Facebook

    Dec 21, 2023 23:36

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kuwa sera za kamupini ya Meta zimezidi kuziba na kunyamazisha sauti zinazoiunga mkono Palestina kwenye mitandao ya kijamii ya Instagram na Facebook kutokana na vita vya Israel dhidi ya Gaza.

  • Hizbullah yauvurumishia maroketi mji unaokaliwa kwa mabavu na Israel karibu na Lebanon

    Hizbullah yauvurumishia maroketi mji unaokaliwa kwa mabavu na Israel karibu na Lebanon

    Dec 21, 2023 07:53

    Wanamuqawama wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon wameendeleza mashambulizi yao dhidi ya maeneo ya Israel, na mara hii wameuvurumishia maroketi mji wa kaskazini unaokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel karibu na mpaka wa Lebanon.

  • Rais wa Afrika Kusini aitaka mahakama ya ICC ichunguze haraka jinai za kivita za Israel

    Rais wa Afrika Kusini aitaka mahakama ya ICC ichunguze haraka jinai za kivita za Israel

    Dec 19, 2023 23:58

    Rais wa Afrika Kusini ameitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) yenye makao yake huko Hague Uholanzi ichunguze haraka iwezekanavyo jinai za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel huko Ukanda wa Gaza.

  • Mashambulio ya anga ya Israel yaua Wapalestina 100 Jabalia

    Mashambulio ya anga ya Israel yaua Wapalestina 100 Jabalia

    Dec 18, 2023 06:49

    Wapalestina zaidi ya 100 wameuawa shahidi katika mashambulizi mapya ya utawala wa Kizayuni wa Israel yaliyolenga kambi ya wakimbizi ya Jabalia katika Ukanda wa Gaza.

  • Wanajeshi 20 wa jeshi la kigaidi la Israel waangamizwa al-Shujaiya Gaza

    Wanajeshi 20 wa jeshi la kigaidi la Israel waangamizwa al-Shujaiya Gaza

    Dec 16, 2023 08:42

    Jeshl la kigaidi la Israel limekiri kuwa, wanajeshi wake 20 wameuawa katika kipindi cha wiki moja iliyopita katika mapigano kati yao na vikosi vya muqawama wa Palestina katika eneo la al-Shujaiya katika Ukanda wa Gaza.

  • Maspika wa mabunge ya Iran na Algeria wasisitiza kusitishwa jinai za Wazayuni Ukanda wa Gaza

    Maspika wa mabunge ya Iran na Algeria wasisitiza kusitishwa jinai za Wazayuni Ukanda wa Gaza

    Dec 14, 2023 23:28

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ametangaza utayarifu wa Bunge la Iran kufanya kikao cha dharura cha Kamati ya Kudumu ya Palestina katika ngazi ya maspika wa mabunge ya nchi za Kiislamu kwa ajili ya kuchunguza njia za kivitendo za kuwaunga mkono wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina.

  • Mwanakriketi wa Australia: 'Nitapambana' na uamuzi wa kunizuia nisivae viatu vya kuonyesha mshikamano na Palestina

    Mwanakriketi wa Australia: 'Nitapambana' na uamuzi wa kunizuia nisivae viatu vya kuonyesha mshikamano na Palestina

    Dec 14, 2023 03:32

    Mchezaji wa kriketi wa Australia Usman Khawaja ameahidi "kupambana" na uamuzi wa bodi ya usimamizi wa mchezo huo ambayo anasema imemzuia kuonyesha ujumbe wa kuunga mkono "wale ambao hawana sauti".

  • Hizbullah: Tutaendelea kuishambulia Israel hadi ikomeshe jinai zake Gaza

    Hizbullah: Tutaendelea kuishambulia Israel hadi ikomeshe jinai zake Gaza

    Dec 13, 2023 07:46

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imesema kundi hilo la muqawama wa Kiislamu litaendelea kufanya mashambulizi ya ulipizaji kisasi dhidi ya Israel, madhali utawala huo wa Kizayuni unaendelea kumwaga damu za Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS