Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Raisi: Leo taifa la Palestina linahitaji zaidi uungaji mkono athirifu wa walimwengu hasa wa nchi za Kiislamu kuliko wakati wowote ule

    Raisi: Leo taifa la Palestina linahitaji zaidi uungaji mkono athirifu wa walimwengu hasa wa nchi za Kiislamu kuliko wakati wowote ule

    Oct 28, 2023 23:31

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mazungumzo ya simu aliyofanya na Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad bin Khalifa Al Thani kwamba, leo taifa la Palestina linahitaji zaidi uungaji mkono athirifu wa walimwengu na hasa wa nchi za Kiislamu kuliko wakati wowote ule.

  • Wapalestina 100 wameuawa shahidi katika hujuma mpya ya Israel huko Ghaza

    Wapalestina 100 wameuawa shahidi katika hujuma mpya ya Israel huko Ghaza

    Oct 28, 2023 04:03

    Sambamba na kuanza operesheni ndogo ya nchi kavu ya jeshi katili la utawala haramu Israel kwa lengo la kujipenyeza Ghaza usiku wa kuamkia leo, zaidi ya raia 100 Wapalestina wameuawa shahidi huku utawala huo ukilaaniwa kote duniani kwa kutekeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina.

  • Idadi ya Wapalestina waliouawa Gaza yapindukia 7000

    Idadi ya Wapalestina waliouawa Gaza yapindukia 7000

    Oct 26, 2023 09:41

    Ofisi ya Habari ya serikali huko Gaza Palestina imetangaza kuwa, idadi ya Wapalestina waliouawa shahidi tangu utawala haramu wa Israel ulipoanza kufanya mashambulio ya anga katika Ukanda wa Gaza imepindukia 7000 huku makumi ya maelfu ya wengine wakiwa wamejeruhiwa au kutoweka.

  • Brigedi za Qassam zatungua helikopta ya Israel Ukanda wa Gaza

    Brigedi za Qassam zatungua helikopta ya Israel Ukanda wa Gaza

    Oct 26, 2023 08:53

    Brigedi za Izzuddin Qassam, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS zimetangaza habari ya kufanikiwa kutungua helikopta ya utawala haramu wa Israel, ikiwa ni kuendelea kujibu jinai za Wazayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Erdogan: HAMAS si kundi la magaidi, bali wapigania ukombozi

    Erdogan: HAMAS si kundi la magaidi, bali wapigania ukombozi

    Oct 26, 2023 08:53

    Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amefuta safari yake ya kuzitembelea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kupachikwa jina bandia la Israel na kusisitiza kuwa, Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS si kundi la magaidi, bali ni kundi la wapigania ukombozi.

  • Ajuza Muisrael aliyekuwa mateka asimulia alivyokirimiwa na wapiganaji wa HAMAS+VIDEO

    Ajuza Muisrael aliyekuwa mateka asimulia alivyokirimiwa na wapiganaji wa HAMAS+VIDEO

    Oct 24, 2023 11:02

    Mwanamke mzee Muisrael aliyeachiliwa huru na wapiganaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema alikirimiwa na kutendewa wema katika muda wa wiki mbili alipokuwa ameshikiliwa mateka na kundi hilo la wanamapambano wa Palestina.

  • Amir wa Qatar: Dunia isiipe Israel leseni ya kuwaua Wapalestina

    Amir wa Qatar: Dunia isiipe Israel leseni ya kuwaua Wapalestina

    Oct 24, 2023 10:24

    Amir wa Qatar amesema anatiwa wasiwasi na hatua ya Israel ya kushadidisha jinai na mashambulizi katika Ukanda wa Gaza huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu, na kuiasa jamii ya kimataifa isiupe leseni utawala huo wa Kizayuni ya kuwaua shahidi wananchi wa Palestina.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran asisitiza kusitishwa haraka jinai za utawala wa Kizayuni; azungumza na Hania na Al Nakhaleh

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran asisitiza kusitishwa haraka jinai za utawala wa Kizayuni; azungumza na Hania na Al Nakhaleh

    Oct 23, 2023 09:11

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amezungumza kwa simu kwa nyakati tofauti na viongozi wa muqawama wa Palestina na kusisitiza kusitishwa haraka iwezekanavyo jinai za utawala wa Kizayuni za mauaji dhidi ya raia wa Palestina.

  • Idadi ya mashahidi wa Gaza Palestina yafikia 5087

    Idadi ya mashahidi wa Gaza Palestina yafikia 5087

    Oct 23, 2023 08:40

    Wizara ya Afya ya Palestina katika Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa, zaidi ya Wapalestina 5,000 wameuawa shahidi na wengine zaidi ya 15,000 kujeruhiwa kutokana na hujuma na mashambulio ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Viongozi wa nchi za Kiarabu walaani mashambulizi ya Israel huko Gaza, wahimiza juhudi mpya za amani Palestina

    Viongozi wa nchi za Kiarabu walaani mashambulizi ya Israel huko Gaza, wahimiza juhudi mpya za amani Palestina

    Oct 21, 2023 23:50

    Viongozi wa nchi za Kiarabu wametoa wito wa kuanzishwa upya juhudi za amani kati ya Israel na Palestina ili kukomesha uvamizi wa Israel na kutatua mzozo unoendelea kwa miongo kadhaa kati ya pande hizo mbili, huku utawala haramu Israel ukiendeleza mashambulizi ya kikatili dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS