Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Makundi ya muqawama Palestina: Tutalipiza kisasi cha mauaji ya Jenin

    Makundi ya muqawama Palestina: Tutalipiza kisasi cha mauaji ya Jenin

    Jul 04, 2023 03:46

    Makundi ya muqawama wa Palestina yameapa kuwa yatalipiza kisasi cha damu za Wapalestina waliouawa shahidi katika mashambulizi ya kinyama ya jeshi la utawala wa Kizayuni katika mji wa Jenin, eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • OIC:Jinai za Jenin ni mwendelezo wa ugaidi ulioratibiwa wa Israel/Baraza la Usalama linapaswa kuchukua hatua

    OIC:Jinai za Jenin ni mwendelezo wa ugaidi ulioratibiwa wa Israel/Baraza la Usalama linapaswa kuchukua hatua

    Jul 04, 2023 01:01

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu (OIC) imelaani vikali jinai zinazotekelezwa na jeshi la utawala wa Kizayuni katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuzitaja kuwa ni mwendelezo wa ugaidi ulioratibiwa na utawala huo.

  • Iran: Mapatano ya amani na Israel hayawezi kukomesha ukatili wa utawala huo

    Iran: Mapatano ya amani na Israel hayawezi kukomesha ukatili wa utawala huo

    Jul 04, 2023 00:05

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali mashambulizi ya jinai ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa mji wa Jenin, huko kaskazini mwa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu.

  • Mwakilishi wa UAE katika Umoja wa Mataifa: Israel inapasa kusitisha haraka ujenzi wa vitongoji

    Mwakilishi wa UAE katika Umoja wa Mataifa: Israel inapasa kusitisha haraka ujenzi wa vitongoji

    Jun 28, 2023 04:28

    Mwakilishi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) katika Umoja wa Mataifa ameutaka utawala wa Kizayuni kusimamisha haraka iwezekanavyo ujenzi wa vitingoji vya walowezi na mashambulizi dhidi ya Wapalestina ili kutolitumbukiza eneo katika mivutano zaidi.

  • HAMAS yafanyia majaribio kombora lake jipya Ukanda wa Gaza

    HAMAS yafanyia majaribio kombora lake jipya Ukanda wa Gaza

    Jun 27, 2023 04:08

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imefanyia majaribio kombora lake jipya katika Ukanda wa Gaza.

  • UN yatahadharisha kuhusu mashambulizi ya walowezi wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina

    UN yatahadharisha kuhusu mashambulizi ya walowezi wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina

    Jun 24, 2023 06:54

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameonya kuhusu hali ya isiyodhibitiwa katika eneo la Ukingo wa Magharibi linalokaliwa kwa mabavu kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni ya walowezi wa Kiyahudi katika maeneo kadhaa ya Wapalestina.

  • Mashirika: Ni kosa kutoiweka Israel kwenye orodha ya fedheha ya UN

    Mashirika: Ni kosa kutoiweka Israel kwenye orodha ya fedheha ya UN

    Jun 23, 2023 07:32

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekosolewa vikali na mashirika ya kutetea haki za binadamu kwa kutoliweke jina la utawala haramu wa Israel kwenye orodha ya tawala wauaji wa watoto.

  • Walowezi wa Kizayuni wavamia msikiti Nablus, wachoma moto Qurani

    Walowezi wa Kizayuni wavamia msikiti Nablus, wachoma moto Qurani

    Jun 23, 2023 06:24

    Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo mikali ya kufurutu ada wamevamia msikiti mmoja na kuvunjia heshima Qurani Tukufu katika mji wa Nablus, eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Iran: Utawala wa Kizayuni unapanda upepo, ujue utavuna kimbunga

    Iran: Utawala wa Kizayuni unapanda upepo, ujue utavuna kimbunga

    Jun 22, 2023 06:32

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuhusu mashambulio ya kinyama ya utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wasio na hatia wa Palestina kwamba, jinai za utawala huo dhalimu na uhalifu wake unazidi kuipunguzia uhai Israel katika ramani ya dunia.

  • Spika wa Bunge la Tunisia asifu misimamo ya kimapinduzi ya Iran kuhusu suala la Palestina.

    Spika wa Bunge la Tunisia asifu misimamo ya kimapinduzi ya Iran kuhusu suala la Palestina.

    Jun 22, 2023 03:38

    Spika mpya wa Baraza la Wawakilishi la Tunisia ameshukuru na kusifu misimamo chanya na ya kimapinduzi ya Iran kuhusu kadhia ya Palestina na kusisitiza utayarifu wa nchi yake wa kuimarisha uhusiano wa pande mbili na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS